Habari za humu.
Mi navichora tu, vikifika 35+ ndo vinaanza kutia tia huruma, maana vitakuwa vinatafuta mume bila mafanikio.
Kitoto unakitongoza hakitaki, kila ukikapigia simu, kanalalamika mara nina njaa, mara sina bando, unakatoa out siku zingine kanakuja, siku zingine hajaji(na pesa...