Mimi ni kijana wa miaka 29 kama kawaida kilo zangu hazipungui ni zile zile 96, Kibonge flani hivi, mweusi, Kitambi cha kufutia simu (Utambulisho tu)
Naombeni ushauri jamani. Kuna mdada Nimetokea kumpenda sana sana, nimekutana nae miezi miwili nyuma, nimejenga nae mahusiano na nishaanza process...