Wabunge wetu mnasikitisha sana

Magufuli 05

JF-Expert Member
May 7, 2023
942
1,986
Wabunge wetu mnawawakilisha wananchi wapi? Mbona mmeshindwa kuwawakilisha dukuduku lao la bandari? Je, mlichaguliwa kwenda kumsifu chifu tu? Hivi walioeleza dosari za mkataba ule wote walikuwa na nia ovu kweli?

Kwanini katika bunge la kujadili mkataba/makubaliano hayo hamkujadili issues badala yake mkajikita kushambulia (personalities)

Wabunge wetu nani mnamuwakilisha? Mnasikitisha sana. Nani aliwatuma kwenda kumsifu chifu tu? Kwanini hamhoji mambo ya msingi? Mbunge unaitisha press unatamba weee, nina ndege, nina magari ya bei ghali. Sisi inatuhusu nini? Utajiri ni wako, nchi ni ya kwetu sote.

Yaani kila mbunge anayesimama anasifu tu, ana sifu tu. Kwani chifu ni malaika? Yeye hakosei? Matumbo yenu na uoga wenu ndiyo unaleta yote haya.

Nani kwenye kikao cha bunge maalumu la kujadili mkataba huo aliingia na mkataba whether kwenye hard copy au soft copy walau akasoma hata kipengele kimoja ambacho hakina maslahi kwa taifa letu ili kirekebishwe?

Je, mnadhani wenzetu walioanzisha kampuni hiyo ya usimamizi wa bandari, wana bunge na wabunge kama nyingi?

Wabunge wetu mnasikitisha. Aibu yenu mmehalalisha maoni yenu na si ya wananchi. Kama mkataba huu utaiingiza nchi kwenye hasara kubwa huko mbeleni tutawasaka mmoja mmoja tuwahoji na Watanzania watawapiga mawe.

Mwisho, kama mlichohalalisha jana kina manufaa kwa nchi na hakiidhulumu, Mungu awabariki. Ila kama hamkujali maslahi ya nchi na uzalendo mkawa wazalendo wa matumbo yenu, nawashtaki kwa Mwenyezi Mungu 2025 mkashindwe nyingi wote na chama chenu chote. Narudia mkashindwe kabisa.

Mungu ibariki Tanzania 🇹🇿
 
Wabunge wa CCM tambueni hii Dunia tunapita na siku moja tutakufa tu hebu tendeni wema mkiwa hai.yuko wapi Mzee wa chato.watanzania wanalia Kwa ajili yenu ila nyie mnachukulia poa.mnamwogopa bosi wenu.sisi yetu macho ila mkumbuke kuwa wote tutakufa siku moja.
 
WABUNGE WETU.
Mnawawakilisha wananchi wapi?
Mbona mmeshindwa kuwawakilisha dukuduku lao la bandari?
Je, mlichaguliwa kwenda kumsifu chifu tu?
Hivi walioeleza dosari za mkataba ule wote walikuwa na nia ovu kweli?
Kwanini katika bunge la kujadili mkataba/makubaliano hayo hamkujadili issues badala yake mkajikita kushambulia( personalities)
WABUNGE WETU,nani mnamuwakilisha?
Mnasikitisha Sana. Nani aliwatuma kwenda kumsifu chifu tuuu?
Kwanini hamhoji mambo ya msingi?
Mbunge unaitisha press unatamba weee, Nina ndege,Nina magari ya bei ghali. Sisi inatuhusu Nini? Utajiri ni wako, nchi ni ya kwetu sote.
Yaani kila mbunge anayesimama anasifu tu,ana sifu tu. Kwani chifu ni malaika? Yeye hakosei?
Matumbo yenu na uoga wenu ndiyo unaleta yote haya.
Nani kwenye kikao cha bunge maalumu la kujadili mkataba huo aliingia na mkataba whether kwenye hard copy au soft copy walau akasoma hata kipengele kimoja ambacho hakina maslahi kwa taifa letu ili kirekebishwe?
Je mnadhani Wenzetu walioanzisha kampuni hiyo ya usimamizi wa bandari Wana bunge na wabunge kama nyingi?
WABUNGE WETU mnasikitisha.
Aibu yenu
Mmehalalisha maoni yenu na si ya wananchi.
Kama mkataba huu utaiingiza nchi kwenye hasara kubwa huko mbeleni tutawasaka mmoja mmoja tuwahoji. Na Watanzania watawapiga mawe.
Mwisho. Kama mlichohalalisha Jana kina manufaa kwa nchi na hakiidhulumu, mungu awabariki.
Ila kama hamkujali maslahi ya nchi na uzalendo mkawa wazalendo wa matumbo yenu, nawashtaki kwa MWENYEZI Mungu 2025 mkashindwe nyingi wote na chama chenu chote. Narudia mkashindwe kabisa.
Mungu ibariki Tanzania
Unauliza wabunge waliowekwa na mtu au waliochaguliwa na wananchi?.ukinijibu, halafu uniambie unadhani wamtumikie nani? Siku zote kuna kuchaghua na kusalaula. Sasa lipi lilifanyika kuwapata??
 
Mbunge kama Masache Njelu Kasaka, hajawahi kufaulu shule, atapinga nini zaidi ya kumuunga mkono tu mama yake
Sasa kigezo chenyewe cha kuwa Mbunge, eti ni kujua tu kusoma na kuandika!! Yaani tupo kwenye ya 21, halafu tunakubali kuwakilishwa na Wabunge vilaza.
 
Wabunge wetu mnawawakilisha wananchi wapi? Mbona mmeshindwa kuwawakilisha dukuduku lao la bandari? Je, mlichaguliwa kwenda kumsifu chifu tu? Hivi walioeleza dosari za mkataba ule wote walikuwa na nia ovu kweli?

Kwanini katika bunge la kujadili mkataba/makubaliano hayo hamkujadili issues badala yake mkajikita kushambulia (personalities)

Wabunge wetu nani mnamuwakilisha? Mnasikitisha sana. Nani aliwatuma kwenda kumsifu chifu tu? Kwanini hamhoji mambo ya msingi? Mbunge unaitisha press unatamba weee, nina ndege, nina magari ya bei ghali. Sisi inatuhusu nini? Utajiri ni wako, nchi ni ya kwetu sote.

Yaani kila mbunge anayesimama anasifu tu, ana sifu tu. Kwani chifu ni malaika? Yeye hakosei? Matumbo yenu na uoga wenu ndiyo unaleta yote haya.

Nani kwenye kikao cha bunge maalumu la kujadili mkataba huo aliingia na mkataba whether kwenye hard copy au soft copy walau akasoma hata kipengele kimoja ambacho hakina maslahi kwa taifa letu ili kirekebishwe?

Je, mnadhani wenzetu walioanzisha kampuni hiyo ya usimamizi wa bandari, wana bunge na wabunge kama nyingi?

Wabunge wetu mnasikitisha. Aibu yenu mmehalalisha maoni yenu na si ya wananchi. Kama mkataba huu utaiingiza nchi kwenye hasara kubwa huko mbeleni tutawasaka mmoja mmoja tuwahoji na Watanzania watawapiga mawe.

Mwisho, kama mlichohalalisha jana kina manufaa kwa nchi na hakiidhulumu, Mungu awabariki. Ila kama hamkujali maslahi ya nchi na uzalendo mkawa wazalendo wa matumbo yenu, nawashtaki kwa Mwenyezi Mungu 2025 mkashindwe nyingi wote na chama chenu chote. Narudia mkashindwe kabisa.

Mungu ibariki Tanzania
MAGUFULI wenu alipowateua kuwa Wabunge mlishangilia sana CCM imepata Wabunge wenye Akili tulijua hakuna cha Wabunge bali kuna Wajumbe ndani ya majengo la Bunge Tanzania IMELAANIWA ndio maana mambo hayaendi Nchi ina Raslimali kila Kona lakini WANANCHI wake ni MASIKINI sana mpaka Roho zao
 
Wabunge wetu mnawawakilisha wananchi wapi? Mbona mmeshindwa kuwawakilisha dukuduku lao la bandari? Je, mlichaguliwa kwenda kumsifu chifu tu? Hivi walioeleza dosari za mkataba ule wote walikuwa na nia ovu kweli?

Kwanini katika bunge la kujadili mkataba/makubaliano hayo hamkujadili issues badala yake mkajikita kushambulia (personalities)

Wabunge wetu nani mnamuwakilisha? Mnasikitisha sana. Nani aliwatuma kwenda kumsifu chifu tu? Kwanini hamhoji mambo ya msingi? Mbunge unaitisha press unatamba weee, nina ndege, nina magari ya bei ghali. Sisi inatuhusu nini? Utajiri ni wako, nchi ni ya kwetu sote.

Yaani kila mbunge anayesimama anasifu tu, ana sifu tu. Kwani chifu ni malaika? Yeye hakosei? Matumbo yenu na uoga wenu ndiyo unaleta yote haya.

Nani kwenye kikao cha bunge maalumu la kujadili mkataba huo aliingia na mkataba whether kwenye hard copy au soft copy walau akasoma hata kipengele kimoja ambacho hakina maslahi kwa taifa letu ili kirekebishwe?

Je, mnadhani wenzetu walioanzisha kampuni hiyo ya usimamizi wa bandari, wana bunge na wabunge kama nyingi?

Wabunge wetu mnasikitisha. Aibu yenu mmehalalisha maoni yenu na si ya wananchi. Kama mkataba huu utaiingiza nchi kwenye hasara kubwa huko mbeleni tutawasaka mmoja mmoja tuwahoji na Watanzania watawapiga mawe.

Mwisho, kama mlichohalalisha jana kina manufaa kwa nchi na hakiidhulumu, Mungu awabariki. Ila kama hamkujali maslahi ya nchi na uzalendo mkawa wazalendo wa matumbo yenu, nawashtaki kwa Mwenyezi Mungu 2025 mkashindwe nyingi wote na chama chenu chote. Narudia mkashindwe kabisa.

Mungu ibariki Tanzania 🇹🇿
Wengi hawana uhalali wa kuwepo mule kwa namna uchaguzi ulivyobakwa
 
We wale kazi yao kushiba tu na kujambiana mle ndani.
Kugonga meza, na mwisho kuunga mkono hoja.
Shughuli imeisha
 
mnapiga tu kelele za bure.haziwezi kusaidia chochote au kubadili chochote.fanyeni mpango muwatoe ccm.hyo ndio dawa.sio kulalamika
 
Back
Top Bottom