Wilaya ya Ludewa Tunasema Asante Sana Mhe. Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan

Stephano Mgendanyi

JF-Expert Member
May 16, 2020
1,897
941

LUDEWA TUNASEMA ASANTE MHE. RAIS DKT. SAMIA SULUHU HASSAN

Wilaya ya Ludewa tunamshukuru Rais wa Jamhuri wa Muugano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu Hasani kwa kuipatia fedha Halmashauri ya Wilaya ya Ludewa Milioni 977,600,000/= chini ya mradi wa Boost katika kipindi cha mwaka wa fedha 2022/2023.

Wilaya ya Ludewa imepokea fedha hizo na zimeelekea moja kwa moja kwenye maeneo ya miradi husika kama ifuatavyo:

1. Kata ya Mavanga imepokea fedha ya kujenga shule ya msingi mpya eneo la Ruhuhu Darajani kiasi cha jumla ya shilingi milioni 347,500,000/=. Aidha shule ya msingi Mbugani imepokea kiasi cha jumla ya shilingi 81,000,000/= kwa ajili ya ujenzi wa vyumba 3 vya madarasa na matundu 3 ya choo.

2. Kata ya Ludewa imepokea fedha ya kujenga madarasa 2 ya elimu ya awali katika shule ya msingi Ludewa Mjini kiasi cha jumla ya shilingi 69,100,000/=

3. Kata ya Milo imepokea fedha ya kujenga madarasa 3 na matundu 3 ya choo katika shule ya msingi Mapogoro kiasi cha jumla ya shilingi 81,000,000/=

4. Kata ya Ludende imepokea fedha ya kujenga madarasa 3 na matundu 3 ya choo katika shule ya msingi Maholong’wa kiasi cha jumla ya shilingi 81,000,000/=

5. Kata ya Mlangali imepokea fedha ya kujenga madarasa 4 na matundu 3 ya choo katika shule ya msingi Mlangali kiasi cha jumla ya shilingi 106,000,000/=

6. Kata ya Mundindi imepokea fedha ya kujenga darasa 1 na matundu 3 ya choo katika shule ya msingi ya elimu maalumu Mundindi kiasi cha jumla ya shilingi 31,000,000/=

7. Kata ya Lupingu imepokea fedha kiasi cha jumla ya shilingi 181,000,000/= kwaajili ya ujenzi wa madarasa 3, ujenzi wa matundu 3 ya choo na nyumba mbili za walimu katika Shule ya Msingi ya Nindi

Aidha, Tunaishukuru Serikali ya awamu ya Sita inayoongozwa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu Hassan kwa kutuletea fedha kwaajili ya kuboresha elimu ya Kidato cha Tano na Sita Wilayani Ludewa kwa kuongeza idadi ya Wanafunzi kwenye Shule ya Sekondari Mundindi Iliyopo Tarafa ya Liganga, Kata ya Mundindi

Tumepewa Mchanganuo wa miundombinu kama ifuatavyo; Madarasa 9, Mabweni 4, na Matundu ya vyoo 14 yenye Jumla ya Shilingi Milioni 773,000,000/= ambapo Muda wa Ujenzi ni Siku 90 tu.

Ofisi ya Mkuu wa Wilaya tunaendelea kusimama thabiti na wananchi wa Kata ya Mundindi kwa usimamizi na kutoa ushirikiano wote ili miradi hiyo ikamilike ndani ya muda uliopangwa na kuleta tija iliyokusudiwa na kuonesha thamani ya fedha.

Ludewa Yetu, Maendeleo Yetu.
 

Attachments

  • WhatsApp Image 2023-06-11 at 17.13.17.jpeg
    WhatsApp Image 2023-06-11 at 17.13.17.jpeg
    52.5 KB · Views: 5
  • WhatsApp Image 2023-06-11 at 17.13.18.jpeg
    WhatsApp Image 2023-06-11 at 17.13.18.jpeg
    67.8 KB · Views: 3
  • FwZ5McXXoAMfyka.jpg
    FwZ5McXXoAMfyka.jpg
    62.6 KB · Views: 8
Huyu DC wa Ludewa anatumia chawa wake ku post post habari zake aonekane anafanya kazi sana, Mama Samia atamla kichwa muda si mrefu, mark my word.
 

LUDEWA TUNASEMA ASANTE MHE. RAIS DKT. SAMIA SULUHU HASSAN

Wilaya ya Ludewa tunamshukuru Rais wa Jamhuri wa Muugano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu Hasani kwa kuipatia fedha Halmashauri ya Wilaya ya Ludewa Milioni 977,600,000/= chini ya mradi wa Boost katika kipindi cha mwaka wa fedha 2022/2023.

Wilaya ya Ludewa imepokea fedha hizo na zimeelekea moja kwa moja kwenye maeneo ya miradi husika kama ifuatavyo:

1. Kata ya Mavanga imepokea fedha ya kujenga shule ya msingi mpya eneo la Ruhuhu Darajani kiasi cha jumla ya shilingi milioni 347,500,000/=. Aidha shule ya msingi Mbugani imepokea kiasi cha jumla ya shilingi 81,000,000/= kwa ajili ya ujenzi wa vyumba 3 vya madarasa na matundu 3 ya choo.

2. Kata ya Ludewa imepokea fedha ya kujenga madarasa 2 ya elimu ya awali katika shule ya msingi Ludewa Mjini kiasi cha jumla ya shilingi 69,100,000/=

3. Kata ya Milo imepokea fedha ya kujenga madarasa 3 na matundu 3 ya choo katika shule ya msingi Mapogoro kiasi cha jumla ya shilingi 81,000,000/=

4. Kata ya Ludende imepokea fedha ya kujenga madarasa 3 na matundu 3 ya choo katika shule ya msingi Maholong’wa kiasi cha jumla ya shilingi 81,000,000/=

5. Kata ya Mlangali imepokea fedha ya kujenga madarasa 4 na matundu 3 ya choo katika shule ya msingi Mlangali kiasi cha jumla ya shilingi 106,000,000/=

6. Kata ya Mundindi imepokea fedha ya kujenga darasa 1 na matundu 3 ya choo katika shule ya msingi ya elimu maalumu Mundindi kiasi cha jumla ya shilingi 31,000,000/=

7. Kata ya Lupingu imepokea fedha kiasi cha jumla ya shilingi 181,000,000/= kwaajili ya ujenzi wa madarasa 3, ujenzi wa matundu 3 ya choo na nyumba mbili za walimu katika Shule ya Msingi ya Nindi

Aidha, Tunaishukuru Serikali ya awamu ya Sita inayoongozwa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu Hassan kwa kutuletea fedha kwaajili ya kuboresha elimu ya Kidato cha Tano na Sita Wilayani Ludewa kwa kuongeza idadi ya Wanafunzi kwenye Shule ya Sekondari Mundindi Iliyopo Tarafa ya Liganga, Kata ya Mundindi

Tumepewa Mchanganuo wa miundombinu kama ifuatavyo; Madarasa 9, Mabweni 4, na Matundu ya vyoo 14 yenye Jumla ya Shilingi Milioni 773,000,000/= ambapo Muda wa Ujenzi ni Siku 90 tu.

Ofisi ya Mkuu wa Wilaya tunaendelea kusimama thabiti na wananchi wa Kata ya Mundindi kwa usimamizi na kutoa ushirikiano wote ili miradi hiyo ikamilike ndani ya muda uliopangwa na kuleta tija iliyokusudiwa na kuonesha thamani ya fedha.

Ludewa Yetu, Maendeleo Yetu.
Ila pesa sio za Samia,ni Kodi ya wananchi,alichofanya sio hisani ni wajibu halmashauri kupewa pesa,
 
fedha ni zako Mzee Samia Hana mfumo wa kuweka rupia hizo
Hiki ndio kitu raia wasichokuwa na uelewa nacho. Hawajui kuwa kila akila ugali wake dagaa ndio hizi hela zinapatikana hapo yeye anahisi huyo wanaemsifu kazichuma mitini kawaletea.

Siku watu wote wakielewa haya masuala lazima tuwachinje hawa umbwa.
 

LUDEWA TUNASEMA ASANTE MHE. RAIS DKT. SAMIA SULUHU HASSAN

Wilaya ya Ludewa tunamshukuru Rais wa Jamhuri wa Muugano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu Hasani kwa kuipatia fedha Halmashauri ya Wilaya ya Ludewa Milioni 977,600,000/= chini ya mradi wa Boost katika kipindi cha mwaka wa fedha 2022/2023.

Wilaya ya Ludewa imepokea fedha hizo na zimeelekea moja kwa moja kwenye maeneo ya miradi husika kama ifuatavyo:

1. Kata ya Mavanga imepokea fedha ya kujenga shule ya msingi mpya eneo la Ruhuhu Darajani kiasi cha jumla ya shilingi milioni 347,500,000/=. Aidha shule ya msingi Mbugani imepokea kiasi cha jumla ya shilingi 81,000,000/= kwa ajili ya ujenzi wa vyumba 3 vya madarasa na matundu 3 ya choo.

2. Kata ya Ludewa imepokea fedha ya kujenga madarasa 2 ya elimu ya awali katika shule ya msingi Ludewa Mjini kiasi cha jumla ya shilingi 69,100,000/=

3. Kata ya Milo imepokea fedha ya kujenga madarasa 3 na matundu 3 ya choo katika shule ya msingi Mapogoro kiasi cha jumla ya shilingi 81,000,000/=

4. Kata ya Ludende imepokea fedha ya kujenga madarasa 3 na matundu 3 ya choo katika shule ya msingi Maholong’wa kiasi cha jumla ya shilingi 81,000,000/=

5. Kata ya Mlangali imepokea fedha ya kujenga madarasa 4 na matundu 3 ya choo katika shule ya msingi Mlangali kiasi cha jumla ya shilingi 106,000,000/=

6. Kata ya Mundindi imepokea fedha ya kujenga darasa 1 na matundu 3 ya choo katika shule ya msingi ya elimu maalumu Mundindi kiasi cha jumla ya shilingi 31,000,000/=

7. Kata ya Lupingu imepokea fedha kiasi cha jumla ya shilingi 181,000,000/= kwaajili ya ujenzi wa madarasa 3, ujenzi wa matundu 3 ya choo na nyumba mbili za walimu katika Shule ya Msingi ya Nindi

Aidha, Tunaishukuru Serikali ya awamu ya Sita inayoongozwa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu Hassan kwa kutuletea fedha kwaajili ya kuboresha elimu ya Kidato cha Tano na Sita Wilayani Ludewa kwa kuongeza idadi ya Wanafunzi kwenye Shule ya Sekondari Mundindi Iliyopo Tarafa ya Liganga, Kata ya Mundindi

Tumepewa Mchanganuo wa miundombinu kama ifuatavyo; Madarasa 9, Mabweni 4, na Matundu ya vyoo 14 yenye Jumla ya Shilingi Milioni 773,000,000/= ambapo Muda wa Ujenzi ni Siku 90 tu.

Ofisi ya Mkuu wa Wilaya tunaendelea kusimama thabiti na wananchi wa Kata ya Mundindi kwa usimamizi na kutoa ushirikiano wote ili miradi hiyo ikamilike ndani ya muda uliopangwa na kuleta tija iliyokusudiwa na kuonesha thamani ya fedha.

Ludewa Yetu, Maendeleo Yetu.
Kodi na tozo ulipe wewe. Halafu usene asante Samia. Mh!!
 
stephano mgendanyi ivi ile barabara ya kutoka madaba kupanda mavanga ina changarawe ama lami kwa sasa? umenikumbusha mbali mavanga nlipatembelea 2017 nlipenda hali ya hewa na mama ntilie wa huko wasafi na vile vijumba vya majiko yao. ugali kuku wa kienyeji robo 1500 ntarudi siku.
 
Wajibu Wa Serikali Ndiyo Unakuja Kuanzisha Thread Kweli Wewe Chawa Uliyeshiba Dawa
 

LUDEWA TUNASEMA ASANTE MHE. RAIS DKT. SAMIA SULUHU HASSAN

Wilaya ya Ludewa tunamshukuru Rais wa Jamhuri wa Muugano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu Hasani kwa kuipatia fedha Halmashauri ya Wilaya ya Ludewa Milioni 977,600,000/= chini ya mradi wa Boost katika kipindi cha mwaka wa fedha 2022/2023.

Wilaya ya Ludewa imepokea fedha hizo na zimeelekea moja kwa moja kwenye maeneo ya miradi husika kama ifuatavyo:

1. Kata ya Mavanga imepokea fedha ya kujenga shule ya msingi mpya eneo la Ruhuhu Darajani kiasi cha jumla ya shilingi milioni 347,500,000/=. Aidha shule ya msingi Mbugani imepokea kiasi cha jumla ya shilingi 81,000,000/= kwa ajili ya ujenzi wa vyumba 3 vya madarasa na matundu 3 ya choo.

2. Kata ya Ludewa imepokea fedha ya kujenga madarasa 2 ya elimu ya awali katika shule ya msingi Ludewa Mjini kiasi cha jumla ya shilingi 69,100,000/=

3. Kata ya Milo imepokea fedha ya kujenga madarasa 3 na matundu 3 ya choo katika shule ya msingi Mapogoro kiasi cha jumla ya shilingi 81,000,000/=

4. Kata ya Ludende imepokea fedha ya kujenga madarasa 3 na matundu 3 ya choo katika shule ya msingi Maholong’wa kiasi cha jumla ya shilingi 81,000,000/=

5. Kata ya Mlangali imepokea fedha ya kujenga madarasa 4 na matundu 3 ya choo katika shule ya msingi Mlangali kiasi cha jumla ya shilingi 106,000,000/=

6. Kata ya Mundindi imepokea fedha ya kujenga darasa 1 na matundu 3 ya choo katika shule ya msingi ya elimu maalumu Mundindi kiasi cha jumla ya shilingi 31,000,000/=

7. Kata ya Lupingu imepokea fedha kiasi cha jumla ya shilingi 181,000,000/= kwaajili ya ujenzi wa madarasa 3, ujenzi wa matundu 3 ya choo na nyumba mbili za walimu katika Shule ya Msingi ya Nindi

Aidha, Tunaishukuru Serikali ya awamu ya Sita inayoongozwa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu Hassan kwa kutuletea fedha kwaajili ya kuboresha elimu ya Kidato cha Tano na Sita Wilayani Ludewa kwa kuongeza idadi ya Wanafunzi kwenye Shule ya Sekondari Mundindi Iliyopo Tarafa ya Liganga, Kata ya Mundindi

Tumepewa Mchanganuo wa miundombinu kama ifuatavyo; Madarasa 9, Mabweni 4, na Matundu ya vyoo 14 yenye Jumla ya Shilingi Milioni 773,000,000/= ambapo Muda wa Ujenzi ni Siku 90 tu.

Ofisi ya Mkuu wa Wilaya tunaendelea kusimama thabiti na wananchi wa Kata ya Mundindi kwa usimamizi na kutoa ushirikiano wote ili miradi hiyo ikamilike ndani ya muda uliopangwa na kuleta tija iliyokusudiwa na kuonesha thamani ya fedha.

Ludewa


LUDEWA TUNASEMA ASANTE MHE. RAIS DKT. SAMIA SULUHU HASSAN

Wilaya ya Ludewa tunamshukuru Rais wa Jamhuri wa Muugano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu Hasani kwa kuipatia fedha Halmashauri ya Wilaya ya Ludewa Milioni 977,600,000/= chini ya mradi wa Boost katika kipindi cha mwaka wa fedha 2022/2023.

Wilaya ya Ludewa imepokea fedha hizo na zimeelekea moja kwa moja kwenye maeneo ya miradi husika kama ifuatavyo:

1. Kata ya Mavanga imepokea fedha ya kujenga shule ya msingi mpya eneo la Ruhuhu Darajani kiasi cha jumla ya shilingi milioni 347,500,000/=. Aidha shule ya msingi Mbugani imepokea kiasi cha jumla ya shilingi 81,000,000/= kwa ajili ya ujenzi wa vyumba 3 vya madarasa na matundu 3 ya choo.

2. Kata ya Ludewa imepokea fedha ya kujenga madarasa 2 ya elimu ya awali katika shule ya msingi Ludewa Mjini kiasi cha jumla ya shilingi 69,100,000/=

3. Kata ya Milo imepokea fedha ya kujenga madarasa 3 na matundu 3 ya choo katika shule ya msingi Mapogoro kiasi cha jumla ya shilingi 81,000,000/=

4. Kata ya Ludende imepokea fedha ya kujenga madarasa 3 na matundu 3 ya choo katika shule ya msingi Maholong’wa kiasi cha jumla ya shilingi 81,000,000/=

5. Kata ya Mlangali imepokea fedha ya kujenga madarasa 4 na matundu 3 ya choo katika shule ya msingi Mlangali kiasi cha jumla ya shilingi 106,000,000/=

6. Kata ya Mundindi imepokea fedha ya kujenga darasa 1 na matundu 3 ya choo katika shule ya msingi ya elimu maalumu Mundindi kiasi cha jumla ya shilingi 31,000,000/=

7. Kata ya Lupingu imepokea fedha kiasi cha jumla ya shilingi 181,000,000/= kwaajili ya ujenzi wa madarasa 3, ujenzi wa matundu 3 ya choo na nyumba mbili za walimu katika Shule ya Msingi ya Nindi

Aidha, Tunaishukuru Serikali ya awamu ya Sita inayoongozwa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu Hassan kwa kutuletea fedha kwaajili ya kuboresha elimu ya Kidato cha Tano na Sita Wilayani Ludewa kwa kuongeza idadi ya Wanafunzi kwenye Shule ya Sekondari Mundindi Iliyopo Tarafa ya Liganga, Kata ya Mundindi

Tumepewa Mchanganuo wa miundombinu kama ifuatavyo; Madarasa 9, Mabweni 4, na Matundu ya vyoo 14 yenye Jumla ya Shilingi Milioni 773,000,000/= ambapo Muda wa Ujenzi ni Siku 90 tu.

Ofisi ya Mkuu wa Wilaya tunaendelea kusimama thabiti na wananchi wa Kata ya Mundindi kwa usimamizi na kutoa ushirikiano wote ili miradi hiyo ikamilike ndani ya muda uliopangwa na kuleta tija iliyokusudiwa na kuonesha thamani ya fedha.

Ludewa Yetu, Maendeleo YLu


LUDEWA TUNASEMA ASANTE MHE. RAIS DKT. SAMIA SULUHU HASSAN

Wilaya ya Ludewa tunamshukuru Rais wa Jamhuri wa Muugano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu Hasani kwa kuipatia fedha Halmashauri ya Wilaya ya Ludewa Milioni 977,600,000/= chini ya mradi wa Boost katika kipindi cha mwaka wa fedha 2022/2023.

Wilaya ya Ludewa imepokea fedha hizo na zimeelekea moja kwa moja kwenye maeneo ya miradi husika kama ifuatavyo:

1. Kata ya Mavanga imepokea fedha ya kujenga shule ya msingi mpya eneo la Ruhuhu Darajani kiasi cha jumla ya shilingi milioni 347,500,000/=. Aidha shule ya msingi Mbugani imepokea kiasi cha jumla ya shilingi 81,000,000/= kwa ajili ya ujenzi wa vyumba 3 vya madarasa na matundu 3 ya choo.

2. Kata ya Ludewa imepokea fedha ya kujenga madarasa 2 ya elimu ya awali katika shule ya msingi Ludewa Mjini kiasi cha jumla ya shilingi 69,100,000/=

3. Kata ya Milo imepokea fedha ya kujenga madarasa 3 na matundu 3 ya choo katika shule ya msingi Mapogoro kiasi cha jumla ya shilingi 81,000,000/=

4. Kata ya Ludende imepokea fedha ya kujenga madarasa 3 na matundu 3 ya choo katika shule ya msingi Maholong’wa kiasi cha jumla ya shilingi 81,000,000/=

5. Kata ya Mlangali imepokea fedha ya kujenga madarasa 4 na matundu 3 ya choo katika shule ya msingi Mlangali kiasi cha jumla ya shilingi 106,000,000/=

6. Kata ya Mundindi imepokea fedha ya kujenga darasa 1 na matundu 3 ya choo katika shule ya msingi ya elimu maalumu Mundindi kiasi cha jumla ya shilingi 31,000,000/=

7. Kata ya Lupingu imepokea fedha kiasi cha jumla ya shilingi 181,000,000/= kwaajili ya ujenzi wa madarasa 3, ujenzi wa matundu 3 ya choo na nyumba mbili za walimu katika Shule ya Msingi ya Nindi

Aidha, Tunaishukuru Serikali ya awamu ya Sita inayoongozwa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu Hassan kwa kutuletea fedha kwaajili ya kuboresha elimu ya Kidato cha Tano na Sita Wilayani Ludewa kwa kuongeza idadi ya Wanafunzi kwenye Shule ya Sekondari Mundindi Iliyopo Tarafa ya Liganga, Kata ya Mundindi

Tumepewa Mchanganuo wa miundombinu kama ifuatavyo; Madarasa 9, Mabweni 4, na Matundu ya vyoo 14 yenye Jumla ya Shilingi Milioni 773,000,000/= ambapo Muda wa Ujenzi ni Siku 90 tu.

Ofisi ya Mkuu wa Wilaya tunaendelea kusimama thabiti na wananchi wa Kata ya Mundindi kwa usimamizi na kutoa ushirikiano wote ili miradi hiyo ikamilike ndani ya muda uliopangwa na kuleta tija iliyokusudiwa na kuonesha thamani ya fedha.

Ludewa Yetu, Maendeleo Yetu.
Ludewa haina watu wapuuzi kama wewe. Wewe kama ni chawa usitusemee wengine. Huyo hatumkubali ng'o.
 
Ludewa wachawi wamewaroga vijana akili zao wengi zimehama! Acha uchawa nenda ngalawale ukalime! Teuzi haziji kiboya ivo! Muulize alli mpangwa wa kilimahewa kama zilimlipa kitu. Kawadanganye kina kabaya ma chawa wenzio
 
Back
Top Bottom