Kamanda Asiyechoka
JF-Expert Member
- Sep 13, 2020
- 3,166
- 4,581
Miaka hiyo ilikiwa sio rahisi kusikia rais fisadi na anayekumbatia ufisadi huku raia masikini wakiteseka akikaa madarakani alipinduliwa na kuuwawa kwa maslahi ya taifa.
Samuel Doe alifanya kweli kwa kumuondoa Torbet na genge lake.
Thomas Sankara alifanya kweli na mapinduzi yakafanyika na akapewa madaraka kwa maslahi ya taifa.
Leo hii waafrika wanalia nchi zao kuporwa mali na viongozi corrupt kwa kupigia mikataba ya kipuuzi kama ya akina chifu Mangungo.
Hawana guts ya kukomboa nchi zao.
Samuel Doe alifanya kweli kwa kumuondoa Torbet na genge lake.
Thomas Sankara alifanya kweli na mapinduzi yakafanyika na akapewa madaraka kwa maslahi ya taifa.
Leo hii waafrika wanalia nchi zao kuporwa mali na viongozi corrupt kwa kupigia mikataba ya kipuuzi kama ya akina chifu Mangungo.
Hawana guts ya kukomboa nchi zao.