samsung

  1. M

    Budget ya 500k-700k Samsung mpya version ipi nzuri camera quality,betri chaji mda mrefu,fast charging

    Habar wakuu nataka kuhama kutoka kwenye Xiaomi kuja sumsung ,naombeni msaada wenu nitoleo jipi hasa matoleo mapya naweza pata Samsung yenye camera quality,betri kukaa na chaji mda mrefu,na iwe fast charging na je maduka Gani Hasa kariakoo napata mpya fullbox,
  2. Kumfumaster97

    Nataka kununua samsung A42 5G mwenye uzoefu kidogo wakuu Je iko poa au vip

    Habari wakuu ,short and clear natumai ni wazima Msaada jamani mwenye uzoefu au aliyewahi kutumia samsung A42 5G vipi wakuu iko poa upande wa camera na ubora wake vipi kuna kipengele au nifanye chaguzi zingine budget yangu ni 300k
  3. J

    SAMSUNG AO4S INAUZWA TSHS 140,000

    Samsung AO4s, 128GB inauzwa 140,000 Haina kipengele Piga : 0743401502
  4. J

    Phone4Sale Samsung AO4s inauzwa TSHS 140,000

    Samsung AO4s, 128GB inauzwa. 140,000 Haina kipengele Piga: 0743401502
  5. Mad Max

    Samsung wamezindua Galaxy S25 EDGE: Slim zaidi ya Normal S25

    Yeah hujakosea tittle. Samsung leo wamezindua Galaxy S25 EDGE ikiwa ni miezi mitatu tokea Galaxy S25 ya kawaida izinduliwe. Hii Edge ni Special Edition ili ije kupambana na iPhone 17 Air itakayokuja zinduliwa September. Galaxy S25 EDGE ni slim zaidi, ina battery dogo la 3900 mAh...
  6. M

    Phone4Sale Tunauza Samsung A05 mpya kabisa kwa 225,000/= tu

    Karibu ujipatie simu aina ya samsung A05 mpya kabisa kwa gharama ya 225,000/= tu, Tunafanya delivery. Mawasiliano: 0748270719 Specifications Display Size: 6.7 inches, 108.4 cm2 (~82.1% screen-to-body ratio) Memory: 64GB + 4GB RAM Processor: Octa-Core Front Camera: 8MP Rear Camera: 50MP + 2MP...
  7. bestboy

    Wapi naweza kupata Common Interface adapter ya Samsung TV?

    Habari zenu wanajf. Nahitaji msaada wa kupata kifaa kwa ajili ya matumizi ya camcard kwa samsung tv. Kuna port nyuma ya TV lakini inahitaji adapter ili kupokea Camcard. Kwa yeyote anayefahamu wapi naweza kupata kwa hapa Dar nitashukuru kupata mawasiliano yao. Asanteni.
  8. H

    SAMSUNG GALXY A35 5G BADO MPYAA IPO SOKONI KWA BEI YA KUTUPA

    Samsung Galaxy A35 5G Storage GB 256 Two Sim Cards Imenunuliwa 22/01/2025 Simu bado ni mpya kabisaa Ina Screen protector ya Privacy Bei: 700,000 Maongezi yapo Ipo Dsm kigamboni Simu: 0783242247 Wa kuiwahi maana ni simu nzuri sanaa. Haina dalali, mmiliki ni mimi mwenyewe. Naiuza kwakua nime...
  9. P

    Samsung A14 storage 128 double line

    Samsung A14 Storage 128Gb Clean Double line Bei 280,000/= Ubungo daraja 0️⃣7️⃣6️⃣9️⃣5️⃣0️⃣3️⃣9️⃣6️⃣8️⃣
  10. G

    Phone4Sale Samsung A34 iliyopo kwenye hali nzuri sana inauzwa bei nafuu

    Wadau nauza hii simu yangu Maelezo yake na picha hapo chini Samsung A34 Storage 128gb Inakaa na chaji zaidi ya masaa 24 ukiwasha data na mpaka siku 3 bila data Napatikana Dar es salaam Namba 0765137266 Bei Tsh 430,000
  11. COLTAN

    Msaada Katika Samsung A15

    Habarini. Natumia Samsung A15 Nikimpigia MTU Mimi Nina Msikia Ila yeye hanisikii nifanyeje? Ili aweze kinisikia nitakae mpigia?
  12. R

    Anayekopesha Samsung S25 Ultra, non active, isiyozidi 3m. Aje inbox. Downpayment 1m. Iliyobakia 500K kila mwezi. Uhakika. Narudia tena Uhakika.

    Kama heading inavyo dadavua. Nicheki Inbox. Niko Dar. Ilala. Specs: Black or Grey 12/16GB Ram, 256GB Storage Non active. Warranty isikosekane Pia.
  13. BUMIJA

    Nimeipenda Samsung A 15

    Wasalaam wadau. Mimi sitangazi biashara ila wadau hii simu inakaa na chaji na ipo Faster mtandaoni. Ni simu gani nyingine ambayo unaiona ni nzuri mno tushee mawazo maana zamani nilikua najinunulia tu. Hii itatupa experience maana maisha yetu kwa sasa bila smartphone hucheki. Ukienda nyumbani...
  14. Dalton elijah

    TANZIA Mkurugenzi Mtendaji wa Samsung Han Jong-Hee Amefariki Dunia

    Mkurugenzi Mtendaji Samsung Electronics Han Jong-Hee aAmefariki kutokana na mshtuko wa moyo siku ya Jumanne,hiini kulingana na msemaji wa kampuni kubwa ya teknolojia ya Korea Kusini. Han alikuwa na umri wa miaka 63. Alizaliwa mwaka wa 1962, Han alikuwa amesimamia biashara za kampuni hiyo za...
  15. K

    SAMSUNG GALAXY NOTE 20 ULTRA

    Simu imenunuliwa mpya imetumika wiki mbili tuu. RAM: 12GB ROM: 256GB BEI: 600,000Tsh LOCATION: AIRPORT DSM PHONE: 0686210608 & 0748474936 ~KARIBUNI SANA~
  16. K

    Phone4Sale Samsung Galaxy S20 ULTRA ipo sokoni

    Simu imenunuliwa mpya imetumika wiki mbili tuu. RAM: 12GB ROM: 256GB BEI: 600,000Tsh LOCATION: AIRPORT DSM PHONE: 0686210608 & 0748474936 ~KARIBUNI SANA~
  17. Mike400

    Nauza simu Samsung ao5 ram4..gb 128

    Habari za majukumu wakuu . Kama kichwa kinavyojieleza nauza simu yangu Samsung ao5 ina ram 4 .. memory ni gb 128 .. battery 5000 mah .. clean as new .. Bei 210k .. Mteja serious..0684 56 25 23 Unapata charge original..pamoja na earphones
  18. N

    Nauza simusamsung s21 + 5gram 8 gbstorage 256bei 450,000 maongezi yapo 4 nipo darhaina kipengele labda aje nacho mteja

    Nauza Simu SAMSUNG S21 + 5G RAM 8 GB STORAGE 256 BEI 450,000 INA MIEZI 4 NIPO DAR HAINA KIPENGELE LABDA AJE NACHO MTEJA. MAWASILIANO 0688601539
  19. luckWill

    Brand New samsung S25 ultra for sale

    Karibu ujipatie Quick Deal Samsung S25 ultra ⚙️256GB - 3,300,000/= ⚙️512GB - 3,500,000/= Top Up Allowed Special offer S24 ultra > S25 ultra lipia 1,900,000/= tu Mobille - 0750240240 Whatsapp - 0768866186
  20. E

    Phone4Sale Nauza Brand New Samsung S24 Plain

    Brand New Samsung Galaxy S24 128GB ni 1,650,000/- 256GB ni 1,800,000/- CALL/SMS/WHATSAPP 0683731404
Back
Top Bottom