samsung

  1. Royal Son

    Samsung earphones tuned by akg bei poa sana

    🎧 Samsung USB-C Earphones – Tuned by AKG 🎧 💯 Sauti Safi, Ubora wa Hali ya Juu! ✅ Imetengenezwa kwa ushirikiano na AKG – wataalamu wa sauti duniani ✅ Sauti ya kina, bass laini na treble ang’avu ✅ Inafaa kwa simu zenye USB Type-C ✅ Inakaa vizuri masikioni – haichoshi ✅ Bora kwa muziki, mazungumzo...
  2. A

    Simu ya zamani Samsung galaxy grand prime + Inasumbua

    Nimekua nikitumia simu hii kwa muda mrefu tangu mwaka 2019 hadi nilipopata changamoto ya kugoma kuwaka baada ya kuinstal App ya kudownload content mtandaoni ambayo niliitoa nje ya playstore. Baada ya kuipeleka kwa fundi aliniuliza kama naweza kukumbuka email na password za google akaunti yangu...
  3. Fbn

    Samsung kuna mpango wa kusitisha simu zake kufungia ili kupunguza mafundi wanaotumia kubadilisha IMEI na FRP

    Samsung kutokana na kukimbizana na ushindani sasa wanakuja na mpango kama ulivyo simu za iphone kama ujawa wakala wa IT mwenye sifa zao na ruhusa ndani ya huduma zao basi uwezi kubadilisha lolote. Hii itaweza kuzuia kama mifumo ya icloud ya Iphone . Mafundi simu naona mwanzo wa kuuza kama...
  4. B

    Samsung washing machine ww90KK6610QX looking for power supply attached here to

    The ic on that big heat sink is shorting can not find the ic thus looking for the power control board Ic ambayo Iko kwenye hilo bati kubwa, (heat sink), imeungua nimeshindwa kuipata hiyo ic ndiyo sababu natafuta board nyingine
  5. M

    Samsung A35 original kwa dar wapi ntapata

    Wakuuu nakuja kwenu nataka kununua sumsang A35 oringal full box,Niko dar maduka Gani wanauza samsung original
  6. M

    Budget ya 500k-700k Samsung mpya version ipi nzuri camera quality,betri chaji mda mrefu,fast charging

    Habar wakuu nataka kuhama kutoka kwenye Xiaomi kuja sumsung ,naombeni msaada wenu nitoleo jipi hasa matoleo mapya naweza pata Samsung yenye camera quality,betri kukaa na chaji mda mrefu,na iwe fast charging na je maduka Gani Hasa kariakoo napata mpya fullbox,
  7. Kumfumaster97

    Nataka kununua samsung A42 5G mwenye uzoefu kidogo wakuu Je iko poa au vip

    Habari wakuu ,short and clear natumai ni wazima Msaada jamani mwenye uzoefu au aliyewahi kutumia samsung A42 5G vipi wakuu iko poa upande wa camera na ubora wake vipi kuna kipengele au nifanye chaguzi zingine budget yangu ni 300k
  8. J

    SAMSUNG AO4S INAUZWA TSHS 140,000

    Samsung AO4s, 128GB inauzwa 140,000 Haina kipengele Piga : 0743401502
  9. J

    Phone4Sale Samsung AO4s inauzwa TSHS 140,000

    Samsung AO4s, 128GB inauzwa. 140,000 Haina kipengele Piga: 0743401502
  10. Mad Max

    Samsung wamezindua Galaxy S25 EDGE: Slim zaidi ya Normal S25

    Yeah hujakosea tittle. Samsung leo wamezindua Galaxy S25 EDGE ikiwa ni miezi mitatu tokea Galaxy S25 ya kawaida izinduliwe. Hii Edge ni Special Edition ili ije kupambana na iPhone 17 Air itakayokuja zinduliwa September. Galaxy S25 EDGE ni slim zaidi, ina battery dogo la 3900 mAh...
  11. M

    Phone4Sale Tunauza Samsung A05 mpya kabisa kwa 225,000/= tu

    Karibu ujipatie simu aina ya samsung A05 mpya kabisa kwa gharama ya 225,000/= tu, Tunafanya delivery. Mawasiliano: 0748270719 Specifications Display Size: 6.7 inches, 108.4 cm2 (~82.1% screen-to-body ratio) Memory: 64GB + 4GB RAM Processor: Octa-Core Front Camera: 8MP Rear Camera: 50MP + 2MP...
  12. bestboy

    Wapi naweza kupata Common Interface adapter ya Samsung TV?

    Habari zenu wanajf. Nahitaji msaada wa kupata kifaa kwa ajili ya matumizi ya camcard kwa samsung tv. Kuna port nyuma ya TV lakini inahitaji adapter ili kupokea Camcard. Kwa yeyote anayefahamu wapi naweza kupata kwa hapa Dar nitashukuru kupata mawasiliano yao. Asanteni.
  13. H

    SAMSUNG GALXY A35 5G BADO MPYAA IPO SOKONI KWA BEI YA KUTUPA

    Samsung Galaxy A35 5G Storage GB 256 Two Sim Cards Imenunuliwa 22/01/2025 Simu bado ni mpya kabisaa Ina Screen protector ya Privacy Bei: 700,000 Maongezi yapo Ipo Dsm kigamboni Simu: 0783242247 Wa kuiwahi maana ni simu nzuri sanaa. Haina dalali, mmiliki ni mimi mwenyewe. Naiuza kwakua nime...
  14. P

    Samsung A14 storage 128 double line

    Samsung A14 Storage 128Gb Clean Double line Bei 280,000/= Ubungo daraja 0️⃣7️⃣6️⃣9️⃣5️⃣0️⃣3️⃣9️⃣6️⃣8️⃣
  15. G

    Phone4Sale Samsung A34 iliyopo kwenye hali nzuri sana inauzwa bei nafuu

    Wadau nauza hii simu yangu Maelezo yake na picha hapo chini Samsung A34 Storage 128gb Inakaa na chaji zaidi ya masaa 24 ukiwasha data na mpaka siku 3 bila data Napatikana Dar es salaam Namba 0765137266 Bei Tsh 430,000
  16. COLTAN

    Msaada Katika Samsung A15

    Habarini. Natumia Samsung A15 Nikimpigia MTU Mimi Nina Msikia Ila yeye hanisikii nifanyeje? Ili aweze kinisikia nitakae mpigia?
  17. R

    Anayekopesha Samsung S25 Ultra, non active, isiyozidi 3m. Aje inbox. Downpayment 1m. Iliyobakia 500K kila mwezi. Uhakika. Narudia tena Uhakika.

    Kama heading inavyo dadavua. Nicheki Inbox. Niko Dar. Ilala. Specs: Black or Grey 12/16GB Ram, 256GB Storage Non active. Warranty isikosekane Pia.
  18. BUMIJA

    Nimeipenda Samsung A 15

    Wasalaam wadau. Mimi sitangazi biashara ila wadau hii simu inakaa na chaji na ipo Faster mtandaoni. Ni simu gani nyingine ambayo unaiona ni nzuri mno tushee mawazo maana zamani nilikua najinunulia tu. Hii itatupa experience maana maisha yetu kwa sasa bila smartphone hucheki. Ukienda nyumbani...
  19. Dalton elijah

    TANZIA Mkurugenzi Mtendaji wa Samsung Han Jong-Hee Amefariki Dunia

    Mkurugenzi Mtendaji Samsung Electronics Han Jong-Hee aAmefariki kutokana na mshtuko wa moyo siku ya Jumanne,hiini kulingana na msemaji wa kampuni kubwa ya teknolojia ya Korea Kusini. Han alikuwa na umri wa miaka 63. Alizaliwa mwaka wa 1962, Han alikuwa amesimamia biashara za kampuni hiyo za...
  20. K

    SAMSUNG GALAXY NOTE 20 ULTRA

    Simu imenunuliwa mpya imetumika wiki mbili tuu. RAM: 12GB ROM: 256GB BEI: 600,000Tsh LOCATION: AIRPORT DSM PHONE: 0686210608 & 0748474936 ~KARIBUNI SANA~
Back
Top Bottom