Kwa nini Samsung ?Chukua Samsung hakikisha tuu ni OG.
Kudumu nayo muda mrefu hakikisha wakati TV inafanya kazi moja, viunganishi vingine zima kwenye vyanzo vya umeme.
Mfano kama unatumia king'amuzi, zima/toa disks iwe flash, external au PS.
Kinachounguza hizo TV ni shoti za umeme zinazotoka kwenye vifaa vingine, hasa ukizingatia umeme wetu huu haueleweki.
Kwa nini Samsung ?
Oled ni nzuri kuliko Qled most of time, sema bei za Oled zimesimama around 3M.Wakuu naomba mnisaidie ushauri nataka kununua TV inch 55 ya kudumu nayo muda mrefu.
Sasa kati ya
LG Oled android processor vs Samsung Neo Qled android processor.
Ipi itanifaa zaidi na reasons kama itawezekana.
Asante
NdioUnamaanisha lg na samsung hazina hiyo android processor?
Nadhani unamaanisha Android OS maana hakuna Android processorUnamaanisha lg na samsung hazina hiyo android processor?
Ni kampuni ipi zina android os?Nadhani unamaanisha Android OS maana hakuna Android processor
Za Kichina.Ni kampuni ipi zina android os?
Ukiwa na TV za Samsung, LG au sonny unawezaje kutazama YouTube, netflix, prime videos au apple tv ?Za Kichina.
Samsung: ina Tinzen OS YouTube ipo, Netflix, Apple TV, Prime, Disney+, Hulu nk, zote pre installed.Ukiwa na TV za Samsung, LG au sonny unawezaje kutazama YouTube, netflix, prime videos au apple tv ?
So kama nakusoma vizuri mkuu, sonny ndio best choice?Samsung: ina Tinzen OS YouTube ipo, Netflix, Apple TV, Prime, Disney+, Hulu nk, zote pre installed.
LG: WebOS kama Tinzen ya Samsung.
Ubaya wa hizo mbili, LG na Sammy hauwezi kusideload Apps za Android kabisa.
Sonny: Huyu amepartner na Google, kwahiyo TV za zamani zina Android TV wakati mpya zina run Google TV. Kwahiyo izi una access ya Google Play.