Samsung siyo simu ya kawaida, Msiichukulie poa

Samsung siyo simu ya kawaida, Msiichukulie poa

Oscar Lyrics

JF-Expert Member
Joined
Oct 8, 2022
Posts
2,941
Reaction score
5,033
Kama unadhani simu aina ya Samsung ni simu ya kawaida subiri kioo kipasuke ndo utanielewa namaanisha nini.

Kioo kikipasuka na ukataka kuweka kingine, bei inaweza kuwa nusu ya au zaidi pesa uliyonunulia simu,

Kwa hiyo kama unamiliki simu aina ya samsung jipige kifuani sema mimi ni shujaa,

Wale wa infinix na Tecno mtupishe kidogo hamuwezi kuelewa kinachoendelea humu.

Ukibisha uwe na hoja

Nb uzi tayari
 
c52fa9f2a3-d1505d9d-b59c-4313-a8ca-eda35b593011-500x500.webp
 
Samsung wanauza vioo kwa kampuni kadhaa za simu. Ofkoz sijaona simu ina display kali kama Samsung aisee, pia ONE UI yake ina features nyingi sana, hii ikanifanya pure android iliyopo kwenye pixel, motorola na aquos nione ni za kawaida sana.
 
Samsung wanauza vioo kwa kampuni kadhaa za simu. Ofkoz sijaona simu ina display kali kama Samsung aisee, pia ONE UI yake ina features nyingi sana, hii ikanifanya pure android iliyopo kwenye pixel, motorola na aquos nione ni za kawaida sana.
Live bila chenga
 
Nilinunua hiyo simu maulevini , nikaivunja siku hiyo hiyo nikiwa bar , nikataka kuipeleka kwa fundi aweke kioo akaniambia 480 k , nikamnyoshea dole la kati , nikatembea , nikaenda nunua simu nyingine na kwanzia hiyo siku siweki simu kitu inaitwa protector 🚮
 
Simu ni iPhone tu.
Samsung kufikia hapo walipo leo wamejifunza mengi sana kutoka kwa iPhone na kujisahihisha mara nyingi.

Halafu designing zake nje za kawaida sana, mtu akishika Samsung A55(Aseries) unashindwa kuelewa ni S24 ama ni nini?
Flagship inafanana na midrange phone...
Samsung-143260875-za-galaxy-s24-sm-s921bzkcafa-539304587--Download-Source--zoom.png

SAMSUNG_GALAXY-A55_BLACK_5G_6.4_8GB_RAM_256GB_INT_MEMORY_DS.webp

Hizo hapo juu ya juu ni S24 ya chini ni A55.
 
Simu ni iPhone tu.
Samsung kufikia hapo walipo leo wamejifunza mengi sana kutoka kwa iPhone na kujisahihisha mara nyingi.

Halafu designing zake nje za kawaida sana, mtu akishika Samsung A55(Aseries) unashindwa kuelewa ni S24 ama ni nini?
Flagship inafanana na midrange phone...
Samsung-143260875-za-galaxy-s24-sm-s921bzkcafa-539304587--Download-Source--zoom.png

SAMSUNG_GALAXY-A55_BLACK_5G_6.4_8GB_RAM_256GB_INT_MEMORY_DS.webp

Hizo hapo juu ya juu ni S24 ya chini ni A55.
Kwa Marekani now, Samsung naona inakimbiza
 
Simu ni iPhone tu.
Samsung kufikia hapo walipo leo wamejifunza mengi sana kutoka kwa iPhone na kujisahihisha mara nyingi.

Halafu designing zake nje za kawaida sana, mtu akishika Samsung A55(Aseries) unashindwa kuelewa ni S24 ama ni nini?
Flagship inafanana na midrange phone...
Samsung-143260875-za-galaxy-s24-sm-s921bzkcafa-539304587--Download-Source--zoom.png

SAMSUNG_GALAXY-A55_BLACK_5G_6.4_8GB_RAM_256GB_INT_MEMORY_DS.webp

Hizo hapo juu ya juu ni S24 ya chini ni A55.
Natumia samsung kali tu ni flagship nzuri,samsung haina maajabu bwana mi naoona ni kama watu wanaipa sifa ambazo hazina maana.

Simu kwa android ni pixel na kwa ios ni iphone kuanzia 13 kwenda juu.
 
Simu ni iPhone tu.
Samsung kufikia hapo walipo leo wamejifunza mengi sana kutoka kwa iPhone na kujisahihisha mara nyingi.

Halafu designing zake nje za kawaida sana, mtu akishika Samsung A55(Aseries) unashindwa kuelewa ni S24 ama ni nini?
Flagship inafanana na midrange phone...
Samsung-143260875-za-galaxy-s24-sm-s921bzkcafa-539304587--Download-Source--zoom.png

SAMSUNG_GALAXY-A55_BLACK_5G_6.4_8GB_RAM_256GB_INT_MEMORY_DS.webp

Hizo hapo juu ya juu ni S24 ya chini ni A55.
Tatizo iPhone ni kama simu za watu credit

Hau feel ile flexibility halisi, kila kona umewekewa restrictions kibao.
 
Back
Top Bottom