Sabasaba yaacha tabasamu kwa wananchi

Sabasaba yaacha tabasamu kwa wananchi

Wizara ya Ardhi

Govt Institution
Joined
May 14, 2024
Posts
154
Reaction score
113
IMG-20260714-WA0011.jpg

Mamia ya wananchi wamepokea hati zao za ardhi ndani ya muda mfupi kupitia huduma za Wizara ya Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi katika Maonesho ya 50 ya Kimataifa ya Biashara (Sabasaba).

Wananchi wapongeza huduma zilizotolewa, wakieleza kuridhishwa na weledi, ufanisi na ubora wa huduma uliowawezesha kupata hati zao kwa haraka.
 
Back
Top Bottom