Updates : Yanayojiri Sabasaba siku ya leo

Updates : Yanayojiri Sabasaba siku ya leo

Chizi Maarifa

JF-Expert Member
Joined
Jul 29, 2013
Posts
14,500
Reaction score
31,877
Naangalia hapa... Watu hamna. Kiukweli kumedoda sana. Barabarani naambiwa wamejaa askari na wanajeshi. Na maduka mengi hayajafunguliwa.

Naomba tuendelee kupeana updates hapa. Jana pascal njaa alijaribu naye kukaribisha watu waende sabasaba. Lakini watu wamemgomea naye maana wanajua hana lolote la kuwalinda yakitokea ya kutokea
 
Vijana wameandaa maandamano mengine tar 29 October ili kuwakumbuka wapendwa wao waliokufa mwaka Jana , siku hii hatatoka MTU ndani zaidi ya siku hii ya Leo....Kwa miaka yote ya Samia kutakuwa na shida kama hizii
 
Tuwekeni picha wekeni tuko mbali

Ova
 
HAHAahahahahaa!11 I like what I'm seeing and hearing. One step at a time, tutafika tu.
 
Back
Top Bottom