Unaweza kutana na mtu kwa mara ya kwanza unashangaa hakupendi au kutokukubali tu. Hujamuumiza, hujamfanyia chochote kibaya.
Wala sio issue ya first impression wala sio instinct, ila unakuta mtu ana kirusi cha kinyongo ndani yake, kila kitu kuhusu wewe kinamuumiza na ku-trigger ubinafsi wake...