Umaskini unakufanya uchukie watu bila sababu

Umaskini unakufanya uchukie watu bila sababu

Eli Cohen

JF-Expert Member
Joined
Jun 19, 2023
Posts
10,743
Reaction score
34,113
Unaweza kutana na mtu kwa mara ya kwanza unashangaa hakupendi au kutokukubali tu. Hujamuumiza, hujamfanyia chochote kibaya.

Wala sio issue ya first impression wala sio instinct, ila unakuta mtu ana kirusi cha kinyongo ndani yake, kila kitu kuhusu wewe kinamuumiza na ku-trigger ubinafsi wake (EGO).

Ukisharuhusu ukata wako ulio physical uingie hadi kichwani mwako basi utakuwa mtu wa kinyongo sana kwa watu wengine walio piga hata hatua moja zaidi yako.

Usimuulumie masikini kirahi rahisi hivyo, wewe unawaza kumuonea huruma yeye anawaza namna ya kufanya kukurudisha nyuma.
 
Actualy huchukii watu, ila unachukia the fact that wao wapo level,unachukia walichonacho. fulani, na ww unajiona ume stuck,
 
Actualy huchukii watu, ila unachukia the fact that wao wapo level,unachukia walichonacho. fulani, na ww unajiona ume stuck,
Wachache wako hivi.

Kama utachukia levels ya mtu basi mara unapaswa kumu appreciate huyo mtu or infact kwa nini umuonee uchungu yeye?

Ila kama unamuonesha sura ngumu ila maana wewe haumu appreciate huyu mtu na juhudi zake.
 
Mimi sichukii watu lkn na maadui wengi sana. Baadae sanaa nligundua kuna watu maisha yao yote hawapendi maendeleo ya aina yoyote hata kununua ardhi pekee. Hawataki kikawaida kwavile hatukuwaumba sisi na wala hatujui sababu ya chuki zao nini chazo . Jambo bora nikukubali tu kuwa mda wowote yule uliyeamini ni rafiki yako toka utoto anaweza kuwa adui yako pasina na sababu yoyote ya kujieleza kwako ukakubali huo uadui. Hiyo ndivyo nature ya neno bin Adamu.
 
Back
Top Bottom