Basi Nenda
JF-Expert Member
- Jul 29, 2017
- 20,166
- 45,872
Rais Yoweri Kaguta Museveni ametangaza muda mfupi uliopita kwamba kutokana na kufuatwa na mtu fulani aliyedai ameoneshwa na Mungu maono kwamba amwambie Museveni aandae siku ya maombi ya Kitaifa kumshukuru Mungu kulitoa Taifa katika janga la Corona ameamua siku ya tarehe 29 /8/2020 kuwa siku ya maombi ya kitaifa kumshukuru Mungu
Aidha rais huyo amewasisitiza wananchi kubaki majumbani mwao huku wakifanya maombi.
Aidha rais huyo amewasisitiza wananchi kubaki majumbani mwao huku wakifanya maombi.