Kishindo cha Rais Magufuli katika Diplomasia na Uhusiano wa Kimataifa

YEHODAYA

JF-Expert Member
Aug 9, 2015
36,909
51,904
Raisi Magufuli awashangaa wanaodhani kujenga diplomasia ya mahusiano ya kimataifa ni kufanya safari za kwenda ulaya!!

Raisi Magufuli atema cheche asema asema ana mialiko ila hataenda atatuma balozi yeye anajenga nchi

Ninakubaliana naye Uingereza na Marekani wana mahusiano mazuri sana na nchi nyingi tu ya kimataifa na nchi nyingine duniani lakini huwezi waona MALKIA AU WAZIRI mkuu wa Uingereza au Raisi Trump wa MAREKANI kutwa wanaburuza masanduku yenye magurudumu yenye nguo zao airports wakienda kuzurura huko na huko nchi mbalimbali kujenga diplomasia ya mahusiano ya kimataifa iwe Kenya au Ubelgiji alikoenda Lisu au Dubai alikoenda Membe

 
Miaka Mitano ya Magufuli Serikali imeimarisha uhusiano na ushirikiano na Mataifa ya nje pamoja na taasisi za kimataifa. Hii ndiyo sababu Serikali iliweza kupokea viongozi wa nchi na Taasisi mbalimbali za kimataifa, ikiwemo Vietnam, India, Uturuki, Afrika Kusini, DRC, Ethiopia, Misri, Rwanda, Zambia, Zimbabwe, Uganda, IMF, Benki ya Dunia, Benki ya Maendeleo ya Afrika, IFAD na kadhalika.

Miaka mitano ya Magufuli, Serikali imefungua Balozi mpya 8 (Algeria, Cuba, Israel, Korea, Qatar, Namibia, Sudan na Uturuki) na nchi mbili za Ethiopia na Poland pia zimefungua Balozi zao hapa nchini.

Miaka mitano ya Magufuli Serikali imeendelea kushiriki katika shughuli na mipango mbalimbali ya kimataifa, ikiwemo ulinzi wa amani, ambapo kwa sasa Serikali ina askari wapatao 2,303 katika nchi za DRC, Jamhuri ya Afrika ya Kati, Lebanon, Sudan na Sudan Kusini.

Miaka mitano ya Magufuli Tanzania imeaminiwa kuongoza Jumuiya mbili za kikanda, Jumuiya ya Afrika Mashariki kuanzia 2016 hadi 2017 na pia kuongoza Jumuiya ya SADC kuanzia Agosti 2019 hadi mwezi Agosti 2020 yenye jumla ya nchi 16.

Nchi hizo ni pamoja na Tanzania, Afrika Kusini, Namibia, Zambia, Zimbabwe, Malawi, Botswana, Angola, Lesotho, DRC, Visiwa vya Madagascar, Comoro na kadhalika zinazokadiriwa kuwa na takribani watu milioni 300 na moja ya mafanikio ambayo Tanzania iliyapata katika kuongoza Taasisi hizi, ni kuzishawishi Nchi Wanachama kuridhia lugha ya Kiswahili kutumika kwenye Taasisi hizo.

Miaka mitano ya Magufuli, biashara ya Tanzania, katika nchi za nje imeongezeka kutoka shilingi trilioni 11.5 mwaka 2014/2015 hadi kufikia shilingi trilioni 16.6 mwaka 2018/2019.

Miaka mitano ya Magufuli, Tanzania imekuwa na urari chanya wa mauzo ya bidhaa kwenye masoko ya nchi za Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC) pamoja na nchi za Jumuiya ya Maendeleo ya Kusini mwa Afrika (SADC). Mfano, kwa upande wa Jumuiya ya Afrika Mashariki, kutoka mwaka 2015 hadi mwaka 2018, Tanzania imekuwa na urari chanya wa mauzo ya bidhaa kwa wastani wa Dola za Marekani milioni 288.04.

Miaka mitano ya Magufuli Kuhusu uwekezaji, Kituo cha Uwekezaji cha Tanzania kimesajili miradi mipya 1,307 yenye thamani ya Dola za Marekani bilioni 14.607, zaidi ya shilingi trilioni 30, na itakapokamilika itatoa ajira 183,503.

Miaka mitano ya Magufuli, Sekta ya utalii imeimarika jambo ambalo limepelekea idadi ya watalii na mapato ya nchi kuongezeka. Kwa mfano, mwaka 2019 tulipokea watalii 1,510,151 kutoka watalii 1,137,182 mwaka 2015. Aidha, mapato yaliongezeka kutoka Dola za Marekani bilioni 1.9 mwaka 2015 hadi kufikia Dola za Marekani bilioni 2.6 mwaka 2019.

28 Oktoba, 2020 hima tukachague Maendeleo, Tukachague Chama Cha Mapinduzi na tukamchague Rais Dkt John Pombe Magufuli.
 
Debora Charles Kiyuga

Rais anajivunia kutosafiri nje.

Miaka mitano hajahudhuria kikao hata kimoja cha UN General Assembly , AU Summit, Commonwealth Heads of Government Meeting wala hata World Economic Forum Davos.

Hatujawahi kuwa na rais anayejifungia ndani kama mwali kama huyu.

Moja ya kazi za rais ni kuwakilisha nchi kimataifa. Magufuli hii kazi kaikwepa kabisa.

Umeongelea kuimarishwa kwa uhusiano wa kimataifa na Tanzania kupokea viongozi wa nchi nyingine.

Katika diplomasia, kuna kanuni moja ya muhimu sana, inaitwa "reciprocity".

Yani, ukitembelewa na wenzio, na wewe uwatembelee. Ukipewa zawadi, na wewe utoe.

Siyo unasubiri wewe kutembelewa tu. Ukisubiri kutembelewa tu, hilo linachukuliwa kama kudharau wenzako.

Magufuli kwa nini anajivunia kujifungia Tanzania?
 
Yote haya ni kwa sababu Mh Lissu amewa chokonoa kisawa sawa ,hebu tuhodhoreshee ni kwa namna gani kama Nchi tumefaidika na haya mahusiano Mkuu.Wakati wa Mh Mkapa (R.I.P.) na Mzee wetu Jakaya tulipata wlaau nafuu ya kusamehewa baadhi ya Madeni yetu kwa Sehemu kubwa ,vipi kwa Mzee Jiwe Deni letu linazidi kukua pamoja na Mahusiano mazuri uliyo yataja hapa !!?..

Nna subiri Majibu Mkuu.
 
Mmmh kwenye hili la kimahusiano ya kimataifa hata mwendawazimu anajua tumeboronga!
Kwenye nyanja za Kimataifa huku bado wanamuita Kikwete "Rais wa Mambo ya Nje" wa Tanzania.

Maana Magufuli haonekani kwenye mikutano ya kimataifa.
 
Miaka Mitano ya Magufuli Serikali imeimarisha uhusiano na ushirikiano na Mataifa ya nje pamoja na taasisi za kimataifa. Hii ndiyo sababu Serikali iliweza kupokea viongozi wa nchi na Taasisi mbalimbali za kimataifa, ikiwemo Vietnam, India, Uturuki, Afrika Kusini, DRC, Ethiopia, Misri, Rwanda, Zambia, Zimbabwe, Uganda, IMF, Benki ya Dunia, Benki ya Maendeleo ya Afrika, IFAD na kadhalika.

Miaka mitano ya Magufuli, Serikali imefungua Balozi mpya 8 (Algeria, Cuba, Israel, Korea, Qatar, Namibia, Sudan na Uturuki) na nchi mbili za Ethiopia na Poland pia zimefungua Balozi zao hapa nchini.

Miaka mitano ya Magufuli Serikali imeendelea kushiriki katika shughuli na mipango mbalimbali ya kimataifa, ikiwemo ulinzi wa amani, ambapo kwa sasa Serikali ina askari wapatao 2,303 katika nchi za DRC, Jamhuri ya Afrika ya Kati, Lebanon, Sudan na Sudan Kusini.

Miaka mitano ya Magufuli Tanzania imeaminiwa kuongoza Jumuiya mbili za kikanda, Jumuiya ya Afrika Mashariki kuanzia 2016 hadi 2017 na pia kuongoza Jumuiya ya SADC kuanzia Agosti 2019 hadi mwezi Agosti 2020 yenye jumla ya nchi 16.

Nchi hizo ni pamoja na Tanzania, Afrika Kusini, Namibia, Zambia, Zimbabwe, Malawi, Botswana, Angola, Lesotho, DRC, Visiwa vya Madagascar, Comoro na kadhalika zinazokadiriwa kuwa na takribani watu milioni 300 na moja ya mafanikio ambayo Tanzania iliyapata katika kuongoza Taasisi hizi, ni kuzishawishi Nchi Wanachama kuridhia lugha ya Kiswahili kutumika kwenye Taasisi hizo.

Miaka mitano ya Magufuli, biashara ya Tanzania, katika nchi za nje imeongezeka kutoka shilingi trilioni 11.5 mwaka 2014/2015 hadi kufikia shilingi trilioni 16.6 mwaka 2018/2019.

Miaka mitano ya Magufuli, Tanzania imekuwa na urari chanya wa mauzo ya bidhaa kwenye masoko ya nchi za Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC) pamoja na nchi za Jumuiya ya Maendeleo ya Kusini mwa Afrika (SADC). Mfano, kwa upande wa Jumuiya ya Afrika Mashariki, kutoka mwaka 2015 hadi mwaka 2018, Tanzania imekuwa na urari chanya wa mauzo ya bidhaa kwa wastani wa Dola za Marekani milioni 288.04.

Miaka mitano ya Magufuli Kuhusu uwekezaji, Kituo cha Uwekezaji cha Tanzania kimesajili miradi mipya 1,307 yenye thamani ya Dola za Marekani bilioni 14.607, zaidi ya shilingi trilioni 30, na itakapokamilika itatoa ajira 183,503.

Miaka mitano ya Magufuli, Sekta ya utalii imeimarika jambo ambalo limepelekea idadi ya watalii na mapato ya nchi kuongezeka. Kwa mfano, mwaka 2019 tulipokea watalii 1,510,151 kutoka watalii 1,137,182 mwaka 2015. Aidha, mapato yaliongezeka kutoka Dola za Marekani bilioni 1.9 mwaka 2015 hadi kufikia Dola za Marekani bilioni 2.6 mwaka 2019.

28 Oktoba, 2020 hima tukachague Maendeleo, Tukachague Chama Cha Mapinduzi na tukamchague Rais Dkt John Pombe Magufuli.
Hakika Tanzania yetu imepata Jembe lenye kutuvusha kwenda katika nchi tajiri.
Sipo tayari kupoteza kura yangu kwa mabeberu.

Naenda kumchagua Dkt Magufuli ✅ ifikapo Oktoba
 
Rais anajivunia kutosafiri nje.

Miaka mitano hajahudhuria kikao hata kimoja cha UN General Assembly , AU Summit, Commonwealth Heads of Government Meeting wala hata World Economic Forum Davos.

Hatujawahi kuwa na rais anayejifungia ndani kama mwali kama huyu.

Moja ya kazi za rais ni kuwakilisha nchi kimataifa. Magufuli hii kazi kaikwepa kabisa.

Umeongelea kuimarishwa kwa uhusianonwa kimataifa na Tanzania kupokea viongozi wa nchi nyingine.

Katika diplomasia, kuna kanuni moja ya muhimu sana, inaitwa "reciprocity".

Yani, ukitembelewa na wenzio, na wewe uwatembelee. Ukioewa zawadi, na wewe utie.

Siyo unasubiri wewe kutembelewa tu. Ukisubiri kutembelewa tu, hilo linachukuliwa kama kudharau wenzako.

Magufuli kwa nini anajivunia kujifungia Tanzania?
'World Economic Forum Davos'.

Hahah pale si pa mchezo bora alikuaga anamtuma tu Mkapa,maana yeye akiwekwa kati na wadau sijui itakuaje.
 
Kishindo gani ameonyesha huyo mshamba na limbukeni mkubwa, labda kuteka watu na kuua wasio na hatia. Mshamba na muuaji mkubwa, taahira huyo.
 
Mada ya kijinga kabisa. Yani Magufuli kafungamana na madikteta ndiyo unasema kishindo?

Kiongozi gani wa nchi hajawahi kushiriki baraza lolote lile la umoja wa mataifa!
 
Miaka Mitano ya Magufuli Serikali imeimarisha uhusiano na ushirikiano na Mataifa ya nje pamoja na taasisi za kimataifa. Hii ndiyo sababu Serikali iliweza kupokea viongozi wa nchi na Taasisi mbalimbali za kimataifa, ikiwemo Vietnam, India, Uturuki, Afrika Kusini, DRC, Ethiopia, Misri, Rwanda, Zambia, Zimbabwe, Uganda, IMF, Benki ya Dunia, Benki ya Maendeleo ya Afrika, IFAD na kadhalika.

Miaka mitano ya Magufuli, Serikali imefungua Balozi mpya 8 (Algeria, Cuba, Israel, Korea, Qatar, Namibia, Sudan na Uturuki) na nchi mbili za Ethiopia na Poland pia zimefungua Balozi zao hapa nchini.

Miaka mitano ya Magufuli Serikali imeendelea kushiriki katika shughuli na mipango mbalimbali ya kimataifa, ikiwemo ulinzi wa amani, ambapo kwa sasa Serikali ina askari wapatao 2,303 katika nchi za DRC, Jamhuri ya Afrika ya Kati, Lebanon, Sudan na Sudan Kusini.

Miaka mitano ya Magufuli Tanzania imeaminiwa kuongoza Jumuiya mbili za kikanda, Jumuiya ya Afrika Mashariki kuanzia 2016 hadi 2017 na pia kuongoza Jumuiya ya SADC kuanzia Agosti 2019 hadi mwezi Agosti 2020 yenye jumla ya nchi 16.

Nchi hizo ni pamoja na Tanzania, Afrika Kusini, Namibia, Zambia, Zimbabwe, Malawi, Botswana, Angola, Lesotho, DRC, Visiwa vya Madagascar, Comoro na kadhalika zinazokadiriwa kuwa na takribani watu milioni 300 na moja ya mafanikio ambayo Tanzania iliyapata katika kuongoza Taasisi hizi, ni kuzishawishi Nchi Wanachama kuridhia lugha ya Kiswahili kutumika kwenye Taasisi hizo.

Miaka mitano ya Magufuli, biashara ya Tanzania, katika nchi za nje imeongezeka kutoka shilingi trilioni 11.5 mwaka 2014/2015 hadi kufikia shilingi trilioni 16.6 mwaka 2018/2019.

Miaka mitano ya Magufuli, Tanzania imekuwa na urari chanya wa mauzo ya bidhaa kwenye masoko ya nchi za Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC) pamoja na nchi za Jumuiya ya Maendeleo ya Kusini mwa Afrika (SADC). Mfano, kwa upande wa Jumuiya ya Afrika Mashariki, kutoka mwaka 2015 hadi mwaka 2018, Tanzania imekuwa na urari chanya wa mauzo ya bidhaa kwa wastani wa Dola za Marekani milioni 288.04.

Miaka mitano ya Magufuli Kuhusu uwekezaji, Kituo cha Uwekezaji cha Tanzania kimesajili miradi mipya 1,307 yenye thamani ya Dola za Marekani bilioni 14.607, zaidi ya shilingi trilioni 30, na itakapokamilika itatoa ajira 183,503.

Miaka mitano ya Magufuli, Sekta ya utalii imeimarika jambo ambalo limepelekea idadi ya watalii na mapato ya nchi kuongezeka. Kwa mfano, mwaka 2019 tulipokea watalii 1,510,151 kutoka watalii 1,137,182 mwaka 2015. Aidha, mapato yaliongezeka kutoka Dola za Marekani bilioni 1.9 mwaka 2015 hadi kufikia Dola za Marekani bilioni 2.6 mwaka 2019.

28 Oktoba, 2020 hima tukachague Maendeleo, Tukachague Chama Cha Mapinduzi na tukamchague Rais Dkt John Pombe Magufuli.
Wanao kataa haya wanajaribu kubeza tu lakini ukweli ndio huo

Uhusiano wa nchi yetu na mataifa mengine ndio umeendela kuimarika kuliko hapo mwanzo
 
Miaka Mitano ya Magufuli Serikali imeimarisha uhusiano na ushirikiano na Mataifa ya nje pamoja na taasisi za kimataifa. Hii ndiyo sababu Serikali iliweza kupokea viongozi wa nchi na Taasisi mbalimbali za kimataifa, ikiwemo Vietnam, India, Uturuki, Afrika Kusini, DRC, Ethiopia, Misri, Rwanda, Zambia, Zimbabwe, Uganda, IMF, Benki ya Dunia, Benki ya Maendeleo ya Afrika, IFAD na kadhalika.

Miaka mitano ya Magufuli, Serikali imefungua Balozi mpya 8 (Algeria, Cuba, Israel, Korea, Qatar, Namibia, Sudan na Uturuki) na nchi mbili za Ethiopia na Poland pia zimefungua Balozi zao hapa nchini.

Miaka mitano ya Magufuli Serikali imeendelea kushiriki katika shughuli na mipango mbalimbali ya kimataifa, ikiwemo ulinzi wa amani, ambapo kwa sasa Serikali ina askari wapatao 2,303 katika nchi za DRC, Jamhuri ya Afrika ya Kati, Lebanon, Sudan na Sudan Kusini.

Miaka mitano ya Magufuli Tanzania imeaminiwa kuongoza Jumuiya mbili za kikanda, Jumuiya ya Afrika Mashariki kuanzia 2016 hadi 2017 na pia kuongoza Jumuiya ya SADC kuanzia Agosti 2019 hadi mwezi Agosti 2020 yenye jumla ya nchi 16.

Nchi hizo ni pamoja na Tanzania, Afrika Kusini, Namibia, Zambia, Zimbabwe, Malawi, Botswana, Angola, Lesotho, DRC, Visiwa vya Madagascar, Comoro na kadhalika zinazokadiriwa kuwa na takribani watu milioni 300 na moja ya mafanikio ambayo Tanzania iliyapata katika kuongoza Taasisi hizi, ni kuzishawishi Nchi Wanachama kuridhia lugha ya Kiswahili kutumika kwenye Taasisi hizo.

Miaka mitano ya Magufuli, biashara ya Tanzania, katika nchi za nje imeongezeka kutoka shilingi trilioni 11.5 mwaka 2014/2015 hadi kufikia shilingi trilioni 16.6 mwaka 2018/2019.

Miaka mitano ya Magufuli, Tanzania imekuwa na urari chanya wa mauzo ya bidhaa kwenye masoko ya nchi za Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC) pamoja na nchi za Jumuiya ya Maendeleo ya Kusini mwa Afrika (SADC). Mfano, kwa upande wa Jumuiya ya Afrika Mashariki, kutoka mwaka 2015 hadi mwaka 2018, Tanzania imekuwa na urari chanya wa mauzo ya bidhaa kwa wastani wa Dola za Marekani milioni 288.04.

Miaka mitano ya Magufuli Kuhusu uwekezaji, Kituo cha Uwekezaji cha Tanzania kimesajili miradi mipya 1,307 yenye thamani ya Dola za Marekani bilioni 14.607, zaidi ya shilingi trilioni 30, na itakapokamilika itatoa ajira 183,503.

Miaka mitano ya Magufuli, Sekta ya utalii imeimarika jambo ambalo limepelekea idadi ya watalii na mapato ya nchi kuongezeka. Kwa mfano, mwaka 2019 tulipokea watalii 1,510,151 kutoka watalii 1,137,182 mwaka 2015. Aidha, mapato yaliongezeka kutoka Dola za Marekani bilioni 1.9 mwaka 2015 hadi kufikia Dola za Marekani bilioni 2.6 mwaka 2019.

28 Oktoba, 2020 hima tukachague Maendeleo, Tukachague Chama Cha Mapinduzi na tukamchague Rais Dkt John Pombe Magufuli.
Hakika umefanua vzr sana, na mwenye ufahamu atafahamu
 
Back
Top Bottom