YEHODAYA
JF-Expert Member
- Aug 9, 2015
- 36,909
- 51,904
Raisi Magufuli awashangaa wanaodhani kujenga diplomasia ya mahusiano ya kimataifa ni kufanya safari za kwenda ulaya!!
Raisi Magufuli atema cheche asema asema ana mialiko ila hataenda atatuma balozi yeye anajenga nchi
Ninakubaliana naye Uingereza na Marekani wana mahusiano mazuri sana na nchi nyingi tu ya kimataifa na nchi nyingine duniani lakini huwezi waona MALKIA AU WAZIRI mkuu wa Uingereza au Raisi Trump wa MAREKANI kutwa wanaburuza masanduku yenye magurudumu yenye nguo zao airports wakienda kuzurura huko na huko nchi mbalimbali kujenga diplomasia ya mahusiano ya kimataifa iwe Kenya au Ubelgiji alikoenda Lisu au Dubai alikoenda Membe
Raisi Magufuli atema cheche asema asema ana mialiko ila hataenda atatuma balozi yeye anajenga nchi
Ninakubaliana naye Uingereza na Marekani wana mahusiano mazuri sana na nchi nyingi tu ya kimataifa na nchi nyingine duniani lakini huwezi waona MALKIA AU WAZIRI mkuu wa Uingereza au Raisi Trump wa MAREKANI kutwa wanaburuza masanduku yenye magurudumu yenye nguo zao airports wakienda kuzurura huko na huko nchi mbalimbali kujenga diplomasia ya mahusiano ya kimataifa iwe Kenya au Ubelgiji alikoenda Lisu au Dubai alikoenda Membe