Mbogo nyeusi
JF-Expert Member
- Dec 27, 2019
- 233
- 540
Msemo wa walio okotwa majalalani uliletwa ama kusemwa na Waziri wa Mambo ya Nje, Professor Palamagamba Kabudi
Msemo huu unawahusu wafanyakazi wote wanaodharau nafasi zao za kazi walizokuwa nazo awali na kujipendekeza kwa Rais na wengine wanauza hadi utu wao ili Rais awaone.
Kila jambo wanalo fanya wanafanya kumfurahisha mteule wao ,hao wote ni sampuli ya Professor Mzee wa Sifa mzee wa kuokotwa jalalani
Lissu siyo wa aina hiyo Kama alivyo sema yeye mwenyewe siyo wa vikazi vidogo vidogo!
Msemo huu unawahusu wafanyakazi wote wanaodharau nafasi zao za kazi walizokuwa nazo awali na kujipendekeza kwa Rais na wengine wanauza hadi utu wao ili Rais awaone.
Kila jambo wanalo fanya wanafanya kumfurahisha mteule wao ,hao wote ni sampuli ya Professor Mzee wa Sifa mzee wa kuokotwa jalalani
Lissu siyo wa aina hiyo Kama alivyo sema yeye mwenyewe siyo wa vikazi vidogo vidogo!