Kuna waraka ulioandikwa hivi karibuni na Ofisi ya Rais Mstaafu.
Mie nilikuwa sijui, au sijui nimejichanganya, kumbe hata ukistaafu Urais unabaki na Ofisi ya Rais Mstaafu?
Kwa hiyo Tanzania tunazo ofisi 4 za Rais Wastaafu?
Na matumizi ya nembo ya Rais imekaaje hapo. Najaribu kuwaza kwa...