johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,821
- 141,732
Felister Mkombo ambaye ni mama mjane anayeishi Namanyele huko Rukwa amemshukuru Rais Magufuli kwa kumfuta machozi kufuatia kuibiwa ng'ombe zake.
Felister anasema Mkuu wa wilaya na mkuu wa polisi wilaya wameshamlipa sh milioni 15 ambazo ni fidia ya ng'ombe wake kama alivyoagiza mtetezi wa wanyonge Rais Magufuli.
Naye mkuu wa wilaya mh Mtanda amewataka watumishi wa umma wilayani humo kuwa makini na majukumu yao ili pasije pakatokea uzembe mwingine.
Chanzo: Channel ten!
Pia soma
Felister anasema Mkuu wa wilaya na mkuu wa polisi wilaya wameshamlipa sh milioni 15 ambazo ni fidia ya ng'ombe wake kama alivyoagiza mtetezi wa wanyonge Rais Magufuli.
Naye mkuu wa wilaya mh Mtanda amewataka watumishi wa umma wilayani humo kuwa makini na majukumu yao ili pasije pakatokea uzembe mwingine.
Chanzo: Channel ten!
Pia soma
Rais Magufuli aagiza Mkuu wa Wilaya Nkasi na RPC Rukwa kumlipa mama aliyeibiwa ng'ombe 25 fidia ya Tsh milioni 15 kwa sababu ya uzembe
Rais Magufuli amemwamuru mkuu wa wilaya ya Nkasi pamoja na mkuu wa polisi wa wilaya hiyo kumlipa mama mjane jumla ya sh milioni 15 ikiwa ni thamani ya ng'ombe zake alizoibiwa. DC na OCD walizembea na kusababisha mwizi wa ng'ombe kutoroka ilhali alishakamatwa na kufikishwa polisi. Rais...
www.jamiiforums.com