johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,796
- 141,693
Waziri mkuu mh Majaliwa ameelekea nchini Urusi ambako atamwakilisha Rais Magufuli katika mkutano wa viongozi wakuu wa Urusi na wale wa Afrika.
Waziri mkuu atapata fursa ya kuzungumza na Rais Putin atakapokuwa nchini humo.
Chanzo: Channel ten!
Waziri mkuu atapata fursa ya kuzungumza na Rais Putin atakapokuwa nchini humo.
Chanzo: Channel ten!