Kwa ujumla raisa Ameqakosea wananchi ambao wanalipa kodi ili kulipa mishahara ya Wabunge na posho zao.
Kama hili bunge lisingekuwa rubber stamp ilipaswa rais Samia aondolewe madarakani kupitia ibara ya 46A .
Huwezi kuteua mtu ambae aaliiba pesa za watanzania masikini ambao hawana maji, shule...
Ndugu zangu Watanzania,
Rais wetu Mpendwa na Jemedari wetu kipenzi cha watanzania Mheshimiwa Daktari Mama Samia Suluhu Hasssan Mama wa shoka, chuma cha reli, shujaa wa Afrika, komandoo Wa Vita, jasiri muongoza njia, Nyota ya matumaini na nuru ya Wanyonge.
Anawatakia Heri ya Sikukuu Ya Pasaka...
“To our wonderful Jewish American community and to Jews celebrating in Israel and around the world this week, I want to wish you a very happy Passover.”
“This week we recall this ancient proof of God's faithfulness and are reminded that with true faith, eternal hope, and the power of prayer...
Madagascar imewashtaki washukiwa 13, akiwemo jenerali mmoja, kwa tuhuma za kupanga njama ya kumuua kiongozi wa mpito Michael Randrianirina, huku nchi hiyo ikiendelea kukumbwa na hali ya mvutano wa kisiasa kufuatia maandamano ya mwaka jana.
Mwendesha mashtaka wa serikali, Narindra Navalona...
Ibrahim Traoré, kiongozi wa kijeshi wa Burkina Faso aliyetwaa madaraka kupitia mapinduzi ya mwaka 2022, amewaambia wananchi wake wasahau kabisa kuhusu swala la demokrasia, akidai kuwa mfumo huo "si kwa ajili yetu."
Katika mahojiano na shirika la utangazaji la taifa (RTB) siku ya Alhamisi...
Kwako madam president
Hizi teuzi unazofanya wakati mwingine huwa unatukosea sana sisi watanzania leo hii ripoti ya CAG imeonesha madhaifu na ufisad mwingi serikalini maana yake unahitaji kuutoa huu ufisadi kwa nguvu zote
Bahat mbaya badala ya kupambana na ufisadi wewe unateua fisadi ndani ya...
Mtoto wa Rais Samia na mkwe wake na mtoto wa mstaafu wa awamu ya nne ndo waagizaji wakubwa wa mafuta nchini kutokea India na Uarabuni
Nchi yetu imekua corrupt na ya hovyo au kwasababu wao viongozi huwekewa mafuta bure?
Mafuta lita 4000 bado tunaagiza mafuta India tu na Saudi
Kwanini tusinunue...
Wakuu,
Ibara ya 15 kwenye katiba ya Tanzaia inampa mamlaka Rais kutoa msamaha kwenye kosa LOLOTE ambalo atakutwa na hatia nalo.
Anaweza kumwachia huru mtu kwa muda maalumu au moja kwa moja mtu aliyehukumiwa kuadhibiwa kwa kosa LOLOTE asitumukie adhabu yoyote au kwa kipindi fulani.
Anaweza...
Ndugu zangu Watanzania,
Rais wetu Mpendwa Mheshimiwa Daktari Mama Samia Suluhu Hasssan Anaendelea kuonyesha na kudhihirisha kuwa yeye ni chaguo la Mungu Aliyeinuliwa kwa Mkono wa Mungu Mwenyewe na aliyepewa kibali na Mungu kuongoza Taifa letu.
Anaendelea kuonyesha kuwa yupo kwa ajili ya ustawi...
KATIBU wa Halmashauri Kuu ya Taifa (NEC) ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), Siasa na Uhusiano wa Kimataifa (SUKI), Rabia Abdalla Hamid amewasilisha salamu za pole za Chama kwa Algeria, kutokana na kifo cha Rais Mstaafu wa nchi hiyo, Liamine Zeroual.
Rabia aliwasilisha rambirambi hizo leo Aprili 1...
Baada ya misheni ya kwanza ya Apollo 11 kufanikiwa, Rais Richard Nixon alituma zawadi kwa mataifa 135 duniani, ikiwemo Tanzania.
Zawadi hii ilijumuisha: Chembe nne ndogo za mchanga wa mwezi (zenye ukubwa wa punje za mchele) zilizowekwa ndani ya tufe la plastiki, Bendera ndogo ya Tanzania ambayo...
Leo Rais Samia amesema kuwa ripoti ya CAG ijayo itaje wanaofanya vibaya ili waone aibu, hivi anatambua kuwa kuiba ni aibu tosha ambayo wameivumilia hivyo ya kutajwa ni ndogo na hawawezi kuwaza wala kustuka?
https://www.instagram.com/reel/DWgypeRjIYe/
Yaani mtu aibe pesa inayoweza kujenga...
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, akipokea Ripoti ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG) ya mwaka 2024/2025; Taarifa ya Utendaji wa Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (TAKUKURU); na Taarifa ya Mwaka ya Tathmini ya Utendaji Kazi wa Ununuzi wa...
🇮🇱🇮🇷➡️ The IAF has eliminated someone important in the heart of Tehran.
Rumours say it was Mohammad Bagher Ghalibaf, the president of the Iranian parliament.
We will find out soon enough but here is his obituary in advance.
Mohammad Bagher Ghalibaf is/was an Iranian politician and former...
Rais hataniwi kamwe,
Ila Magufuli aliweza kumtania Jakaya, hata alipozingua alimsemelea kwa kaka yake selemani.
Wakenya mwacheni mama yetu tafadhali, mnatumia AI kuonesha mama yetu azungusha Nini?
Itumieni kwa baba yenuuuu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.