rais samia

Samia Suluhu Hassan[a] (born 27 January 1960) is a Tanzanian politician who is serving as the sixth and the first female president of Tanzania since 2021. She is a member of the ruling social-democrat Chama Cha Mapinduzi (CCM) party and the third female head of government of an East African Community (EAC) country.

A native of Zanzibar,[2] Suluhu served as a minister in the semi-autonomous region during the administration of President Amani Karume. She served as the Member of Parliament for the Makunduchi constituency from 2010 to 2015 and was the Minister of State in the Vice-President's Office for Union Affairs from 2010 to 2015. In 2014, she was elected as the vice-chairperson of the Constituent Assembly tasked with the drafting of the country's new constitution.

Suluhu became Tanzania's first female vice-president following the 2015 general election, after being elected on the CCM ticket with President Magufuli. Suluhu and Magufuli were re-elected to a second term in 2020. She briefly served as the second female interim Head of State in the EAC – 27 years after Sylvie Kinigi of Burundi, spanning a period around the end of the year 1993.

View More On Wikipedia.org
  1. Samia atosha tukutane2030

    Rais Samia tafadhali zifute hizi taasisi kwa manufaa ya umma

    1. Wakala wa vipimo (WMA). Wakala wa vipimo ulianzishwa ili kuleta usawa kwa mlaji na mtoa huduma lakini vituo vya mafuta vinadhulumu walaji. Sasa hivi bei ya mafuta iko juu na vituo vya mafuta bila aibu wanatuibia huku wakala wa vipimo upo tu . Wakala hii ifutwe haraka na watumishi wake wote...
  2. B

    Nini kimebadili mwelekeo wa uongozi wa Rais Samia ulioanza kwa 4R?

    Katika miaka ya mwanzo ya uongozi wake, Rais Samia Suluhu Hassan alionekana kubadili upepo wa kisiasa kwa kuonesha utashi mpya uliogusa moja kwa moja masuala ya demokrasia, uhuru wa vyombo vya habari na mwelekeo wa kidiplomasia. Kauli na hatua zake za awali zilijenga taswira ya kufungua milango...
  3. ChoiceVariable

    Samia ndio Rais wa kwanza kuweka Historia ya kununua Vitendea kazi Vingi kwa Watumishi na Taasisi zote, Kila Taasisi kuna Magari mapya

    Yaani ni kuanzia mahakamani Hadi Time ya umwagiliaji Ambulance za Wahonjwa Hadi pikipiki za maagisa ugani. Mitambo ya kuchimbia visima na mabwawa Hadi baiskeli za wahudumu wa Afya. Mitambo ya Ujenzi Hadi magari ya zimamato Kila Wilaya. My Take Sio tuu kwamba amenunua Vitendea Kazi lakini...
  4. Idugunde

    Tungekuwa na bunge ambalo sio rubber stamp. Rais Samia angeondolewa madarakani kupitia ibara ya 46A ya katiba ya JMT kwa kumteua Agela Kizigha

    Kwa ujumla raisa Ameqakosea wananchi ambao wanalipa kodi ili kulipa mishahara ya Wabunge na posho zao. Kama hili bunge lisingekuwa rubber stamp ilipaswa rais Samia aondolewe madarakani kupitia ibara ya 46A . Huwezi kuteua mtu ambae aaliiba pesa za watanzania masikini ambao hawana maji, shule...
  5. W

    Rais Samia aagiza uchunguzi wa haraka wa moto uliotokea Ubungo Mawasiliano

    JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA KURUGENZI YA MAWASILIANO YA RAIS, IKULU Zanzibar 05 Aprili, 2026 Baruapepe: press@ikulu.go.tz TAARIFA KWA UMMA RAIS SAMIA ATOA POLE KWA WAATHIRIKA WA MOTO MAWASILIANO, AAGIZA UCHUNGUZI WA HARAKA Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Dkt. Samia...
  6. Cute Wife

    Mpaka sasa Rais Samia ana njia moja tu ya kuepuka kitanzi cha ICC na hasira ya wananchi...

    Wakuu, Njia iliyobaki kwa Rais Samia kuepuka kitanzi cha ICC na hasira ya wananchi kutokana na mauaji ya Oktoba 29, ni kuangusha lawama zote kwa vyombo vya ulinzi, kisha apishe kiti kuruhusu uchaguzi mwingine kufanyika. Aseme vyombo vya ulinzi vilitenda mauaji yale kwa order zao, either kwa...
  7. Cute Wife

    PostGE2025 Vyama 16 "Kuomba mkutano na Rais Samia", njia ya mkato kuelekea Maridhiano?

    Wakuu, Ikulu wawekea post kuwa Rais Samia ameitikia wito wa wagombea nafasi ya Urais kwa vyama 16. Kwa maneno mengine ni kwamba hawa wagombea ndio wameomba mkutano na Rais Samia ili wajadili pamoja kuhusu hali ya kisiasa na masuala ya maendeleo ya Taifa kwa ujumla. Watu sio wajinga...
  8. L

    Rais Samia Akutana Na Wagombea Urais Wa Vyama Zaidi Ya 16 Uchaguzi Uliopita. Anyoosha Na kukunjua Mkono Wa Maridhiano. Wakoshwa na uchapakazi wake.

    Ndugu zangu Watanzania, Rais wetu Mpendwa Mheshimiwa Daktari Mama Samia Suluhu Hasssan Anaendelea kuonyesha na kudhihirisha kuwa yeye ni chaguo la Mungu Aliyeinuliwa kwa Mkono wa Mungu Mwenyewe na aliyepewa kibali na Mungu kuongoza Taifa letu. Anaendelea kuonyesha kuwa yupo kwa ajili ya ustawi...
  9. Roving Journalist

    Rais Samia akutana na Wagombea Urais kutoka Vyama 16 baada ya Uchaguzi Mkuu wa 2025

    RAIS SAMIA AKUTANA NA WAGOMBEA URAIS WA TANZANIA BAADA YA UCHAGUZI MKUU WA 2025 Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu Hassan, jana tarehe 31 Machi, 2026, alikutana na wagombea wa nafasi ya Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania katika Uchaguzi Mkuu wa mwaka...
  10. B

    Rais Samia sema neno juu ya upandaji wa bei ya mafuta

    Habari wanabodi.... Kauli ya Rais ni Sheria.... Watanzania wote tuna imani na tunaamini kwamba Rais akitoa kauli juu ya jambo fulani bhasi hakuna mtu wa kupinga, kinachofuata hua ni utekelezaji na utendaji juu ya kauli hiyo. Sasa bhasi kwa pamoja tumuombe Rais Samia aseme neno Juu ya...
  11. L

    Jakaya Kikwete akiwa na Timu ya mpira wa kikapu Dar City nchini Afrika Kusini

    Ndugu zangu Watanzania, Nilishasema Sana Humu jukwaani na kula sehemu hapa Nchini kuwa Rais Samia ni Chaguo la Mungu Aliyeinuliwa kwa Mkono wa Mungu na kuwekwa Hapo Alipo kwa kibali maalumu cha Mwenyezi Mungu Mwenyewe. Rais Samia akikupatia Baraka na kukutakia Heri ni lazima ufanikiwe,ni...
  12. L

    Rais Samia agusa mioyo ya mamilioni ya watanzania kwa kutoteua waziri wa kuziba nafasi ya Lukuvi kabla hajazikwa. Apongezwa kwa moyo wake wa utu

    Ndugu zangu Watanzania, Mamillioni kwa mamillioni ya watanzania wameonyesha kuguswa na kukoshwa sana na Hatua ya Rais wetu Mpendwa Mheshimiwa Daktari Mama Samia Suluhu Hasssan Mama wa shoka, shujaa wa Afrika na jasiri muongoza njia kwa hatua yake ya Kutoteua Waziri atakaye ziba nafasi ya...
  13. M

    Kwa hiyo adhabu ya mafisadi ni kuwaaibisha?! Ukistaajabu ya Mussa utayaona ya Rais Samia

    Leo Rais Samia amesema kuwa ripoti ya CAG ijayo itaje wanaofanya vibaya ili waone aibu, hivi anatambua kuwa kuiba ni aibu tosha ambayo wameivumilia hivyo ya kutajwa ni ndogo na hawawezi kuwaza wala kustuka? https://www.instagram.com/reel/DWgypeRjIYe/ Yaani mtu aibe pesa inayoweza kujenga...
  14. Mindyou

    Rais Samia aagiza PPRA kutekeleza sera ya ‘Name and Shame’: Watajeni wanaofanya vibaya kwenye ripoti ya CAG wajisikie aibu

    Wakuu, Akizungumza Ikulu jijini Dar es Salaam leo Machi 30, 2026, Samia Suluhu Hassan ameiagiza Mamlaka ya Udhibiti wa Ununuzi wa Umma (PPRA) kuanza utaratibu wa kuyaanika hadharani mashirika na taasisi za umma zinazofanya vibaya katika usimamizi wa fedha na ununuzi, akisema hatua hiyo...
  15. R

    Rais Samia: Kuna changamoto mifumo ya Serikali kutosomana kikamilifu

    Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, akipokea Ripoti ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG) ya mwaka 2024/2025; Taarifa ya Utendaji wa Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (TAKUKURU); na Taarifa ya Mwaka ya Tathmini ya Utendaji Kazi wa Ununuzi wa...
  16. Roving Journalist

    Rais Samia anapokea Ripoti ya CAG na Taarifa za TAKUKURU na PPRA, Ikulu Dar es Salaam, Machi 30, 2026

    https://www.youtube.com/live/QA0TJ67CiXI?si=4XzdYqPxyfSkdAiX Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan, akipokea Ripoti ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG) ya Mwaka 2024/2025; Taarifa ya Utendaji wa Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (TAKUKURU)...
  17. L

    Namuunga mkono Rais Samia kwa kumpongeza na kummiminia sifa Paroko kwa kuendesha Ibada ya kumuaga Lukuvi kwa Nidhamu. Padre Charles Kitima ajifunze

    Ndugu zangu Watanzania, Naungana Na Rais wetu Mpendwa na Jemedari wetu kipenzi cha watanzania Mheshimiwa Daktari Mama Samia Suluhu Hasssan Mama wa shoka, chuma cha reli, shujaa wa Afrika,jasiri muongoza njia na nuru ya Wanyonge kwa hatua yake ya kumpongeza na kummiminia Sifa Baba Paroko kwa...
  18. L

    Rais Samia kuongoza maelfu ya waombolezaji kuaga mwili wa William Lukuvi Viwanja vya Karimjee Dar es Salaam

    Ndugu zangu Watanzania, Rais wetu Mpendwa Mheshimiwa Daktari Mama Samia Suluhu Hasssan Jasiri muongoza njia na Shujaa wa Afrika anakwenda Kuongoza Maelfu ya Waombolezaji Kuaga Mwili wa Mheshimiwa William Lukuvi Viwanja Vya Karimjee Dar es salaam. Mheshimiwa Lukuvi Aliaga Dunia baada ya Kuugua...
  19. L

    Rais Samia Ni Makamu Mwenyekiti Wa Umoja Wa Afrika. Afrika inakwenda Kuheshimika Duniani Kote na Kuwa na Sauti ya Mamlaka

    Ndugu zangu Watanzania, Kwa Sasa Rais wetu Mpendwa ni Makamu Mwenyekiti Wa Umoja Wa Afrika. Hivyo kutokana na Umahiri wake wa kiuongozi,Akili kubwa, Maono Makubwa , Ushawishi wake ,Ujenzi wa hoja na mikakati kabambe. Afrika inakwenda kuwa ile ambayo Waliitoa na kuitamani na kuwa na kuwa nayo...
  20. L

    Ninamuamini Sana Rais Samia na naamini Tanzania Itapiga Hatua Kubwa Sana za Kimaendeleo Awamu Hii

    Ndugu zangu Watanzania, Kiukweli ninamuamini na kumkubali sana Rais Samia . Ni kiongozi Ambaye naamini ni mtu sahihi kuendelea kuliongoza Taifa letu. Nina Mwamini kuliko Mtu mwingine yeyote yule. Sina wasiwasi wa aina yoyote ile na Rais Samia. Hadi Natamani aendelee kuongoza Mpaka Achoke...
Back
Top Bottom