rais samia

Samia Suluhu Hassan[a] (born 27 January 1960) is a Tanzanian politician who is serving as the sixth and the first female president of Tanzania since 2021. She is a member of the ruling social-democrat Chama Cha Mapinduzi (CCM) party and the third female head of government of an East African Community (EAC) country.

A native of Zanzibar,[2] Suluhu served as a minister in the semi-autonomous region during the administration of President Amani Karume. She served as the Member of Parliament for the Makunduchi constituency from 2010 to 2015 and was the Minister of State in the Vice-President's Office for Union Affairs from 2010 to 2015. In 2014, she was elected as the vice-chairperson of the Constituent Assembly tasked with the drafting of the country's new constitution.

Suluhu became Tanzania's first female vice-president following the 2015 general election, after being elected on the CCM ticket with President Magufuli. Suluhu and Magufuli were re-elected to a second term in 2020. She briefly served as the second female interim Head of State in the EAC – 27 years after Sylvie Kinigi of Burundi, spanning a period around the end of the year 1993.

View More On Wikipedia.org
  1. Miss Halima

    JamiiForums Tanzania Mchungaji Peter Msigwa Amlipua Rais Samia na CCM; Asema Utawala Unatengeneza Maadui na Hofu Nchini

    Aliyekuwa Mbunge wa Iringa Mjini, Mchungaji Peter Simon Msigwa, amezua mjadala mkubwa wa kisiasa nchini baada ya kutoa ukosoaji mkali dhidi ya serikali ya Rais Samia Suluhu Hassan na mfumo wa uendeshaji wa chama tawala cha CCM. Katika mfululizo wa maoni aliyochapisha kwenye ukurasa wake rasmi wa...
  2. Sifi Leo

    JamiiForums Tanzania Ni kweli Rais Samia ameipokea barua iliyotokea kwa Nchimbi kwenda kwa Nchimbi kama nani wa Nchimbi?

    Hizi barua za kujiuzilu za viongozi wakubwa zinaandikagwa na nani? Au wanaziandikaga wenyewe wakiwa under arrest? Ebu we msomaji iangalia au TAFUTA barua ya kujiuzilu kwa Nchimbi inaonekana inatoka kwa Nchimbi na kwenda kwa Nchimbi Sasa Samia kaipokea kama nani ili Hali haijaelekezwa kwake...
  3. Isenye

    JamiiForums Tanzania KERO NSSF Kibaha Pwani ni wazembe, wanalipwa mishahara ya bure tu na wanamhujumu Rais Samia kwa wananchi wake.

    Hawa jamaa ni week ya tatu sasa tangu niweke fingerprint pale ofisini kwao,tena ilikua kwa mbinde sana. Wao kila siku ukienda pale ofisini kwa unawakuta tu wamekaa wanapiga story za kipuuzi wanasingizia eti hakuna mtandao lakini ukienda ofisi za nssf maeneo mengine kama Kinondoni au ubungo...
  4. lord atkin

    JamiiForums Tanzania Tetesi: Jinsi Dk Nchimbi alivyogundua Rais Samia anatamani mabadiliko

    Katika barua yake kwa umma Mhe Dk Emmanuel Nchimbi amesema kwamba nanukuu "... nimejiridhisha pasipo shaka kuwa Mhe. Rais anatamani mabadiliko, hivyo nimeamua kutimiza ahadi yangu...." Alipoona baadhi ya viongozi na wabunge wa ccm wanasimama hadharani na kumuita Yuda alidhani wanajituma...
  5. lord atkin

    JamiiForums Tanzania Rais Samia aridhia Dkt. Emmanuel Nchimbi kujiuzulu Nafasi ya makamu wa Rais wa Jamhuri ya muungano wa Tanzania

    Mheshimiwa Rais Samia aridhia Nchimbi kujiuzuru Nafasi ya makamu wa Rais wa Jamhuri ya muungano wa Tanzania Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu Hassan leo tarehe 25 Agosti, 2026, amepokea barua ya ombi la kujiuzulu Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa...
  6. Denice Maxwell

    JamiiForums Tanzania Vijana muacheni Rais Samia afanye anavyoviweza, hawezi kuridhisha kila moja

    Watanzania wenzangu, hasa vijana, jikiteni kwenye kuzitafuta fursa. Achana na siasa vijana wenzangu, acheni kutumia mitandao ya kijamii kutoa maneno yasiyo mazuri kwa viongozi. Kumbuka Mungu anatutazama, ipo siku utaeleza kwanini ulitumia maneno hayo ya matusi na dhihaka. Mama Samia ni Mtulivu...
  7. mrxtz2026

    JamiiForums Tanzania Rais Samia Tafadhari tafakari haya.

    Mfululizo wa viongozi kujiuzulu katika awamu yako umeongezeka na unatishia sana Usalama wa kidemokrasia wa taifa, mheshimiwa rais nakushauri kataa Barua yake hii ni aibu kwa taifa letu. Orodha ya walio jihudhuru kwenye muhula wako. 1. tulia 2. ndugai 3.majaliwa 4. mpango 5. polepole 6. Nchimbi...
  8. mirindimo

    JamiiForums Tanzania PICHA: WALIOSHINDWA KUFANYA KAZI NA RAIS SAMIA

  9. mirindimo

    JamiiForums Tanzania MTOTO WA RAIS SAMIA AKIWA KWENYE BIASHARA YAKE YA MATAIRI NA RAIS WA UGANDA

  10. Idugunde

    JamiiForums Tanzania Tangu tupate uhuru. Rais anayetawala kwa misukosuko ni rais Samia

    Wananchi wasio wanaCCM na wanaCCM hawautaki utawala wake kabisa. Kila analofanya linaonekana baya machoni pa wananchi. Anaonekana machoni pa wananchi kama rais anayekumbatia mafisadi na walionyuma yake ni mafisadi.
  11. M

    JamiiForums Tanzania Mtoto wa Rais Samia, Abdul Hafidh Ameir na Ujumbe wake afika Ikulu ya Entebbe kujadili sekta binafsi zinavyoweza kunufaisha Tanzania na Uganda

    Mtoto wa Rais Samia, Abdul Hafidh Ameir na Ujumbe wake akaribishwa Ikulu ya Entebbe kujadili sekta binafsi zinzvyoweza kunufaisha nchi hizi Mbili
  12. Mkalukungone Mwamba

    JamiiForums Tanzania Kombo: Tundu Lissu anakwenda kunyongwa, CHADEMA kapigeni goti kwa Rais Samia

    Mwanaharakati Ahmed Kombo amesema “Tundu Lissu anakwenda kunyongwa,” akisema anazungumza ukweli na kuwataka wahusika kuacha siasa za kumuumiza mwenzako. Kombo amewataka kukaa chini na kutafakari, huku akiwasihi “wapigie goti” Dkt. Samia Suluhu Hassan kwa ajili ya kutafuta suluhisho la jambo hilo...
  13. K

    JamiiForums Tanzania AMBUZI: Kauli ya Ndlozi na Msimamo wa Botswana Dhidi ya Rais Samia SADC: Je, Klabu ya Kulindana Inavunjika?

    Ndugu wana-Jamii Forums, Katika hali iliyoleta taharuki na mjadala mpana kwenye anga za kisiasa za ukanda wa Kusini mwa Afrika (SADC), mwanasiasa machachari na msomi kutoka Afrika Kusini, Dkt. Mbuyiseni Ndlozi, ametoa kauli nzito inayomgusa moja kwa moja Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania...
  14. Zack Abdul

    JamiiForums Tanzania WANANCHI WAMSHUKURU RAIS SAMIA KUKAMILIKA KWA MRADI WA JNHPP

    Wananchi mbalimbali wamemshukuru Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe.Dkt Samia Suluhu Hassan kufuatia kukamilika kwa mradi wa kuzalisha umeme wa Julius Nyerere Hydropower Project, mradi ni miongoni mwa miradi mikubwa zaidi ya miundombinu ya nishati nchini ikiwa na uwezo wa MW 2,115...
  15. Isenye

    JamiiForums Tanzania Nadhani ni kweli Rais Samia na makamu wake hawaivi

    Kwa sisi wataalamu wa ramli chonganishi,iko hivi leo kwenye uzinduzi wa bwawa la kufua umene lililojengwa na Hayati Magufuli, high table walikua wamekaa Samia na Nchimbi..Nchimbi akawa anajifanya kumchekesha Samia kinafiki ila Samia akawa hana muda nae kivile.. So naamini ni kweli hawa viongozi...
  16. T

    JamiiForums Tanzania Shaka Hamdu Shaka: Kutoka Ndoto tu za Mwl Nyerere Mpaka Utekelezaji halisia wa Rais Samia, Tanzania inapaa na kila rekodi imevunjwa, Rais apongezwe

    BWAWA LA UMEME JNHPP- LINATIMIZA NDOTO YA NYERERE, NA NI MAFANIKIO YA RAIS DKT. SAMIA SULUHU HASSAN KATIKA MWELEKEO MPYA WA UCHUMI. Ameandika Cde Shaka Hamdu Leo ni siku ya kihistoria, Siku ambayo vizazi vijavyo vitaisoma vitabuni. Siku ambayo Tanzania imeamua kujitegemea kweli kweli...
  17. N

    JamiiForums Tanzania Usimtukane Mh. Rais Samia. Usimtukane Mh. Tundu Lissu. Kiongozi yoyote yule anakosolewa ila hatukanwi

    NB: Nina Akili Ndogo Sana Binadamu au kiongozi yeyote yule hapaswi kutukanwa (Hata kama ni wa CHADEMA au CCM. Kiongozi au Binadamu anapaswa kukosolewa "in a constructive manner" na sio kutukanwa ama kumdhalilisha.
  18. Zack Abdul

    JamiiForums Tanzania Rais Samia: Mradi wa JNHPP si 'white elephant', umeme utamfikia kila mwananchi

    Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan, amewakosoa wanaodai kuwa Mradi wa Kuzalisha Umeme wa Bwawa la Mwalimu Julius Nyerere (JNHPP) ni “white elephant” na kwamba hauna tija kwa Taifa, akisisitiza kuwa ujenzi wa njia kuu za kusafirisha umeme unaendelea kwa kasi kubwa...
  19. Dr Adam Francis

    JamiiForums Tanzania Mradi wa Bwawa la Mwalimu Nyerere ni urithi wa uongozi wa Rais Samia utakaokumbukwa daima

    Leo, 22 Agosti 2026, Rais Samia anatarajiwa kuzindua rasmi mradi huu wenye uwezo wa kuzalisha MW 2,115. Mitambo yote tisa, kila mmoja ukiwa na uwezo wa MW 235, ilikuwa tayari imekamilishwa na kuunganishwa katika Gridi ya Taifa kufikia mwaka 2025. Mradi wa Kufua Umeme wa Julius Nyerere (JNHPP)...
  20. P

    JamiiForums Tanzania Rais Samia Nchimbi atakutesa sana. Kwanini usitumie mamlaka yako kama Mwenyekiti wa chama?

    Emanuel Nchimbi hana utii wala adabu kwa mh. Rais wa JMT, kwamba alishindwa hata kusema maneno machache kumpongeza mh. Rais kwa makubwa aliyoyafanya kufanikisha huo mradi mkubwa sana? Kweli? Km siyo Samia huyo mradi ungepigwa chini maana aliukuta 30% tu? Na Magu alishaharibu uhusiano na wenye...
Back
Top Bottom