rais samia

Samia Suluhu Hassan[a] (born 27 January 1960) is a Tanzanian politician who is serving as the sixth and the first female president of Tanzania since 2021. She is a member of the ruling social-democrat Chama Cha Mapinduzi (CCM) party and the third female head of government of an East African Community (EAC) country.

A native of Zanzibar,[2] Suluhu served as a minister in the semi-autonomous region during the administration of President Amani Karume. She served as the Member of Parliament for the Makunduchi constituency from 2010 to 2015 and was the Minister of State in the Vice-President's Office for Union Affairs from 2010 to 2015. In 2014, she was elected as the vice-chairperson of the Constituent Assembly tasked with the drafting of the country's new constitution.

Suluhu became Tanzania's first female vice-president following the 2015 general election, after being elected on the CCM ticket with President Magufuli. Suluhu and Magufuli were re-elected to a second term in 2020. She briefly served as the second female interim Head of State in the EAC – 27 years after Sylvie Kinigi of Burundi, spanning a period around the end of the year 1993.

View More On Wikipedia.org
  1. Zack Abdul

    JamiiForums Tanzania Rais Samia aleta neema kwa wakulima wa tumbaku

    Bei ya wastani ya tumbaku imeongezeka kutoka Dola 1.95 kwa kilo msimu wa 2025/2026 hadi Dola 2.05 kwa kilo msimu wa 2026/2027, sawa na ongezeko la takribani 5.13%. Ongezeko hilo linaongeza kipato na motisha kwa wakulima, huku bei mpya ikizingatia gharama za uzalishaji pamoja na maslahi ya mkulima.
  2. M

    JamiiForums Tanzania Rais Samia kuhudhuria Uapisho wa Hakainde Hichilema Nchini Zambia

    TAARIFA KWA UMMA RAIS SAMIA KUSHIRIKI SHEREHE ZA UAPISHO WA RAIS HICHILEMA WA ZAMBIA Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu Hassan, leo tarehe 01 Septemba, 2026, anaondoka nchini kuelekea Lusaka, Zambia kuhudhuria sherehe za Uapisho wa Rais Mteule wa Jamhuri ya...
  3. H

    JamiiForums Tanzania Rais Mwinyi awasili Serbia kumwakilisha Rais Samia katika mkutano wa kumbukumbu ya miaka 65 ya NAM

    Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Mhe. Dkt. Hussein Ali Mwinyi, amewasili leo, tarehe 30 Agosti 2026, jijini Belgrade, Jamhuri ya Serbia, kumwakilisha Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, katika Mkutano Maalum wa Ngazi ya Juu wa Kumbukumbu...
  4. T

    JamiiForums Tanzania Kuhusu Katiba, tuamini kauli ya Mwalimu Nyerere au Rais Samia?

    Wakati wa uhai wake mwalimu Nyerere aliwahi kusema katiba tuliyonayo inawezesha kupata rais dikteta, alimaanisha kwamba kwenye katiba kuna matobo yanayoruhusu Rais kujiamulia mambo kwa kadri aonavyo. Cha ajabu ni kwamba watawala waliopo hawayaoni kabisa hayo matobo badala yake wanatujazia...
  5. Zack Abdul

    JamiiForums Tanzania Sifa za Uongozi: Ujumbe wa Rais Samia

    Hakuna shule inayofundisha kuwa Makamu wa Rais, bali sifa zako na bidii, weledi, nidhamu na utayari wako wa kujifunza kufuatilia na kusimamia shughuli mbalimbali za utekelezaji zitakusaidia kutumiza majukumu yako. -Mhe. Samia Suluhu Hassan Rais wa Jamhuri ya Muungano Wa Tanzania
  6. funaku

    JamiiForums Tanzania Rais Mwinyi kumuwakilisha Rais Samia katika mkutano wa 65 wa Nchi zisizofungamana na upande wowote(NAM)

    Huu ni mkutano muhimu katika nyakati hizi za mivutano ya siasa za kiuchumi na kikanda
  7. Ndagullachrles

    JamiiForums Tanzania Rais Samia ampa ujumbe mzito makamu wa Rais amwambia asiwe kama samaki

    Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akiwa na Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Deogratius John Ndejembi muda mfupi baada ya Uapisho wa Makamu wa Rais uliyofanyika Ikulu, Chamwino - Dodoma leo Agosti 29, 2026. Katika hafla hiyo Rais Samia...
  8. Zack Abdul

    JamiiForums Tanzania NI MATAMANIO NA MATARAJIO YA WATANZANIA WOTE, NDEJEMBI UTALITUMIKIA VYEMA TAIFA LETU – RAIS SAMIA

  9. Waufukweni

    JamiiForums Tanzania Uapisho: Rais Samia akishuhudia uapisho wa Ndejembi kuwa Makamu wa Rais

    Samia Suluhu Hassan, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania akishuhudia uapisho wa Mhe. Deogratius John Ndejembi kuwa Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Ikulu Chamwino, Dodoma Agosti 29, 2026. https://www.youtube.com/live/NULnL3jSsg8?si=MU1qd7w89oG2L0Dw Hapa kuna nukuu ya...
  10. NYAQ

    JamiiForums Tanzania Mtazamo wangu kuhusu uongozi wa Rais Samia na siasa za Tanzania

    Kwa mtazamo wangu, uongozi wa Rais Samia una pande mbili tofauti sana: upande wa uchumi/maendeleo kuna mambo ya kupongeza, lakini upande wa demokrasia na siasa hasa baada ya uchaguzi wa 2025 kuna mambo mazito sana ya kuhoji. 1. Kwenye uchumi na maendeleo — kuna mafanikio Tanzania imeendelea...
  11. The Palm Beach

    JamiiForums Tanzania Rais Ruto wa Kenya akiri serikali yake kuua waandamanaji GenZ 2024. Rais Samia na serikali yake wanaweza kuwa na ujasiri huu kwa mauaji ya 29/10/2025?

    Rais wa Kenya, William Ruto, amekiri kuwa kulikuwa na makosa katika namna Serikali ilivyoshughulikia maandamano ya vijana wa Gen Z mwaka 2024, akitambua maumivu yaliyosababishwa na vifo, madai ya kukamatwa kiholela, kutoweka kwa watu na matumizi ya nguvu kupita kiasi... Ruto ametoa kauli hiyo...
  12. peno hasegawa

    JamiiForums Tanzania Wapenda hotuba za Rais Samia, tukutane hapa!

    Wale wote wanaopenda kumuona na kumsikiliza Rais Samia akihutubia au akisoma risala kwenye TV, tukutane hapa ili kwa pamoja tumfuatilie kama tunamuelewa !
  13. Cute Wife

    JamiiForums Tanzania Where is Nchimbi: Baada ya Nchimbi kujiuzulu na kufukuzwa CCM, je, yupo wapi?

    Wakuu, Watanzania tulipokea barua ya Nchimbi kujiuzulu kupitia mitandao ya kijamii, hakutoa Press au kusikia akihojiwa sehemu, na baadaye Rais Samia akasema amepokea barua yake ya kujiuzulu, kamati ya CCM ikasema imemvua uanachama na kwamba hawamtambui tena na Makamu wa Rais mteule akatajwa...
  14. Miss Halima

    JamiiForums Tanzania Aomba Rais Samia amsaidie mtoto wake aliempatia jina la SAMIA

    "Ninaitwa Eza Ashindikene. Kwa sasa ninaishi Mkoa wa Pwani, Wilaya ya Mkuranga. Mwaka 2025, wakati wa uchaguzi Mkuu Tanzania, nilipata nafasi ya kuandika nyimbo kama msanii kwa ajili ya kuunga mkono harakati za kuwaombea kura wagombea wetu. Wakati huo nilikuwa na ujauzito wa miezi tisa. Mungu...
  15. Idugunde

    JamiiForums Tanzania Rais Samia hana watu wa kumuambia ukweli kuwa Wananchi hawampendi na hawataki awe rais wao?

    Hili ni swali la msingi sana kwa kiongozi yoyote yule duniani. Unaowatawala hawakutaki, wanakuona wewe ni fisadi na muuaji. Hakuna watu wa kukuambia picha halisi ya nini kinachoendelea? Kwa nini uchukiwe? Kwa nini ukae madarakani huku raia wakisema hukuchaguliwa na wananchi? Kwa nini ukae...
  16. Etwege

    JamiiForums Tanzania Legacy ya Rais Samia ni ipi mpaka sasa?

    Rais Samia ameshakaa madarakani kwa zaidi ya miaka 5 kama Rais wa nchi yetu Tanzania hivyo ni jambo la busara kuanza kutahimini utendaji wake na kama kuna legacy yoyote atakayokumbukwa nayo siku hayupo madarakani.
  17. Zack Abdul

    JamiiForums Tanzania Watanzania 173 waishio Afrika Kusini wamshukuru Rais Samia kwa kuwawezesha kurejea nyumbani

    Watanzania 173 waliokuwa wakiishi katika Jimbo la KwaZulu-Natal, Afrika Kusini, wamewasili nchini baada ya kuamua kurejea nyumbani kwa hiari, kufuatia vuguvugu la kupinga wageni linaloendelea nchini humo. Kundi hilo lilirejea Tanzania kupitia Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere...
  18. Idugunde

    JamiiForums Tanzania Tatizo lilianza pale Nchimbi alipomchana ukweli Rais Samia.

    Ukweli huu unauma.👇
  19. Mkalukungone Mwamba

    JamiiForums Tanzania Samia aongoza Kikao Maalum cha Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya CCM

    Bila shaka vikao vya kumtafuta Mbadala wa Nchimbi anayempenda yeye Mama, haya nasubiri kuona nani kuketi kiti cha Nchimbi =============== Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi (CCM) na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, akiongoza Kikao Maalum cha Kamati Kuu ya...
  20. Cute Wife

    JamiiForums Tanzania Hawa ndio Viongozi wakubwa Serikalini na Chama (CCM) waliotangaza kustaafu, kujiuzulu katika utawala wa Samia mpaka sasa. Umejifunza nini?

    Hayati Job Ndugai - Januari 6, 2022 alitangaza kujiuzulu nafasi yake ya Uspika wa Bunge, akisema uamuzi huo ameufanya kwa hiyari yake kabisha na kwa kuzingatia maslahi mapana ya nchi, serikali na chama. Desemba 28, 2021 akiwa kwenye mkutano huko Dodoma video yake ilitrendi akisema Samia ametoka...
Back
Top Bottom