Wakati wa ziara yake nchini Urusi, Rais Samia atafanya mazungumzo rasmi na Rais Putin huko Kremlin Moscow. Mazungumzo yatazingatia kuimarisha ushirikiano katika sekta za kimkakati ikiwemo biashara, uwekezaji, elimu, sayansi, teknolojia, nishati, madini na miundombinu.
#TanzaniaRussiaRelations...