rais samia

Samia Suluhu Hassan[a] (born 27 January 1960) is a Tanzanian politician who is serving as the sixth and the first female president of Tanzania since 2021. She is a member of the ruling social-democrat Chama Cha Mapinduzi (CCM) party and the third female head of government of an East African Community (EAC) country.

A native of Zanzibar,[2] Suluhu served as a minister in the semi-autonomous region during the administration of President Amani Karume. She served as the Member of Parliament for the Makunduchi constituency from 2010 to 2015 and was the Minister of State in the Vice-President's Office for Union Affairs from 2010 to 2015. In 2014, she was elected as the vice-chairperson of the Constituent Assembly tasked with the drafting of the country's new constitution.

Suluhu became Tanzania's first female vice-president following the 2015 general election, after being elected on the CCM ticket with President Magufuli. Suluhu and Magufuli were re-elected to a second term in 2020. She briefly served as the second female interim Head of State in the EAC – 27 years after Sylvie Kinigi of Burundi, spanning a period around the end of the year 1993.

View More On Wikipedia.org
  1. Nyendo

    Rais Samia: Bila amani Hakuna kujenga Uchumi, hakuna shughuli za kijamii. Siku tatu zile hakukuwa na kuchezana wala harusi zilikuwa siku 3 nzito

    Nawapongeza kwa kauli mbiyu isemayo Shiriki kulinda maani na mshikamano wa kijamii amani ni hazina ya Mama na Baba lishe, ila mimi nataka niseme amani ni hazina ya shughuli zetu za kiuchumi na kijamii. Bila amani Hakuna kujenga Uchumi, hakuna shughuli za kijamii. Siku tatu zile hakukuwa na...
  2. McLaren

    PostGE2025 Rais Samia: Mmeshuhudia siku tatu zile. Hakukuwa na harusi, kitchen party wala mikusanyiko kwenye mabaa. Zilikuwa siku tatu nzito

    Akizungumza jijini Dar es Salaam leo, Aprili 21, 2026, wakati akifungua Kongamano la Kitaifa la Mamalishe na Babalishe, Rais Samia wafanyabiashara wadogo wa chakula, maarufu kama Mamalishe na Babalishe, kutambua na kulinda amani ya nchi kama nguzo kuu ya kukuza uchumi na ustawi wa shughuli zao...
  3. Roving Journalist

    Rais Samia Akifungua Kongamano La Kitaifa La Mamalishe Na Babalishe, Tarehe 21/04/2026, Dar

    Rais Samia Suluhu Hassan, akifungua Kongamano la Kitaifa la Mamalishe na Babalishe, Tarehe 21 Aprili, 2026, Dar es Salaam https://www.youtube.com/live/4nzMi7ttDsM
  4. Mkalukungone Mwamba

    Rais Samia apokea ugeni wa Mtandao wa Viongozi Wanawake wa Afrika. Wasisitiza kuimarisha utawala wa kidemokrasia

    Samia Suluhu Hassan, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, leo amepokea ugeni wa ngazi ya juu kutoka Mtandao wa Viongozi Wanawake wa Afrika (AFLN) katika Ikulu ya Dar es Salaam, ikiwa ni ziara ya kidiplomasia iliyolenga kuimarisha ushirikiano katika utawala bora, ujenzi wa amani, na uongozi...
  5. Mkalukungone Mwamba

    CHADEMA yakutana na ujumbe wa African Women Leaders Network, yaeleza yalitokea Oktoba 29

    Mapema leo, uongozi wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) ulikutana na ujumbe wa African Women Leaders Network uliokuwa ukiongozwa na aliyekuwa Rais wa Liberia, Ellen Johnson Sirleaf, akiwa ameambatana na aliyekuwa Rais wa Ethiopia, Sahle-Work Zewde. Ziara ya ujumbe huo nchini Tanzania...
  6. Traxtion

    Sheikh: Mtume Muhammad s.a.w amemtaja Rais Samia na Dkt Nchimbi

    Sio maneno yangu, ni maneno ya Sheikh hapa 😂😂
  7. ChoiceVariable

    Rais Samia afuta vibali vya wawekezaji wageni uchwara wa Madini na kuwapa Vijana wazawa wa BBT Madini

    My Take Pamoja na uamzi huu mzuri wa kuwapatia fursa Vijana wa zawa Vitalu vya Madini lakini Machadema yataanza kutukana hovyo badala ya kupongeza kama Afrika nzima inavyompongeza Rais Samia Kwa uamzi wa kishujaa na kizalendo. https://www.instagram.com/p/DXMc7YtDEjQ/?igsh=YTFkODFzZnhsbGF4
  8. L

    Bila Rais Samia kuwa Rais wetu hali ya Watanzania ingekuwa ngumu sana. Watu wangekuwa wanazungumza wenyewe barabarani kama vichaa

    Ndugu zangu Watanzania, Bila Mama yetu Mpendwa na Jemedari wetu kipenzi cha watanzania Mheshimiwa Daktari Mama Samia Suluhu Hasssan kuwa Rais wetu na Amiri Jeshi Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi na Usalama Hali ya Watanzania Ingekuwa ni Ngumu sana Hapa Nchini. Hali ingekuwa ni mbaya sana kiasi kwamba...
  9. B

    POTOSHI Chalamila asema kituo cha mafuta ni cha mtoto wa Rais Samia

  10. baz kaiza

    Sio kwa Ubaya Rais atoke azunguke mikoani kuwashukuru wapiga kura wake. Waliomchagua kwa 98% na Kujua hali zao

    Ukishakua rais baada ya Uchaguzi raha ya urais uzunguke mikoani uonane na ali ya wapiga kura wako waliokuchagua kwa kishindo kwa 98% kuona ali zao kuzungumza nao kutoa shukrani. Muheshimiwa Rais ni mda wa kuzunguka na wewe mikoani kuona ali za...
  11. Zack Abdul

    Nukuu za mhe Rais akifungua mkutano wa pili wa kitaifa wa WFNS leo tarehe 16/4/2026, Dar Es Salaam

    Tunapojenga miundombinu ya afya, tunapaswa pia kuzingatia ubora wa huduma kwa mgonjwa, Huduma za saratani zinahitaji uwekezaji mkubwa na usimamizi makini ili kuleta matokeo chanya " Rais Samia Suluhu Hassan
  12. L

    Rais Samia Akishukuru Chama Cha Madaktari Bingwa wa Upasuaji wa Ubongo, Mgongo na Mishipa ya Fahamu Kumpatia Tuzo

    Ndugu zangu Watanzania, Huu hapa ni ujumbe wa shukurani kutoka kwa Rais wetu Mpendwa na Jemedari wetu kipenzi cha watanzania kwenda kwa chama cha madaktari Bingwa wa Upasuaji wa Ubongo, Mgongo na Mishipa ya Fahamu. Lakini pia Rais wetu Mpendwa ameelezea kazi kubwa iliyofanywa na serikali yetu...
  13. M

    Madiwani Tunduru wapinga mpango wa Rais Samia kubana matumizi hasa kipindi hiki cha uhaba wa mafuta

    Baraza jipya la Madiwani la Halmashauri ya Wilaya ya Tunduru lipo Mkoani Katavi kwa siku tano kujifunza kuhusu hewa ukaa. Madiwani wote zaidi ya 60 na wakuu wa idara watakuwa nje ya halmashauri kwa zaidi ya wiki moja kwaajili ya safari hiyo. Tsh Milioni 1.8 italipwa kwa kila diwani katika...
  14. R

    Rais Samia apewa Tuzo ya kibinadamu upasuaji wa ubongo

    Tuzo hiyo imetolewa leo, Aprili 16, 2026, na Chama cha Wataalamu wa Upasuaji wa Ubongo na Uti wa Mgongo Tanzania (Tanzania Neurosurgical Society) wakati wa ufunguzi wa mkutano wa kwanza wa kimataifa wa upasuaji wa ubongo unaofanyika katika Ukumbi wa Kimataifa wa Mikutano wa Julius Nyerere...
  15. Roving Journalist

    Rais Samia Akifungua Mkutano Wa Pili Wa Kimataifa Wa WFNS, Aprili 16, 2026, Dar es Salaam

    https://www.youtube.com/live/zvViP7gngNM Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan, akifungua Mkutano wa Pili wa Kimataifa wa Shirikisho la Dunia la Madaktari Bingwa wa Upasuaji wa Ubongo na Mishipa ya Fahamu, tarehe 16 Aprili, 2026, Dar es Salaam
  16. Zack Abdul

    Rais Samia kufungua mkutano wa pili wa kimataifa wa shirikisho la dunia la madaktari bingwa wa upasuaji wa ubongo na mishipa ya fahamu

    Fuatilia matangazo ya moja kwa moja kupitia akaunti zetu za Instagram: ikulu_mawasiliano, Facebook: Ikulu Tanzania Facebook fanpage: Ikulu Mawasiliano, Twitter: ikulu_Tanzania Youtube Channel: Ikulu Tanzania na Tovuti: www.ikulu.go.tz #TanzaniaYetuSote #NchiYetuKwanza #MaendeleoEndelevu
  17. R

    Mbunge Christina Mndeme: Dunia inatambua kazi na uongozi thabiti wa Rais Samia kipenzi na chaguo wa Watanzania

    Watanzania mpoooo 😂 😂 😂 ----------- Mbunge Viti Maalum Mkoa wa Tabora, Christina Solomon Mndeme wakati akichangia hoja Bungeni Aprili 14, 2026 amempongeza Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan kwa kupewashahada ya heshima ya udaktari na Uongozi wa Chuo Kikuu cha...
  18. L

    Uongozi unatoka kwa Mungu na Rais Samia kaletwa na kupewa kibali na Mungu ndio maana Taifa limetulia na kushikamana

    Ndugu zangu Watanzania, Amini Nawaambieni ya kuwa uongozi unatoka kwa Mungu. Uongozi ni Kibali kutoka kwa Mungu . Kuwa Kiongozi Kama nafasi ya Urais ni Lazima upewe kibali na Mungu ,ni lazima uinuliwe na Mungu ,Ni lazima upakwe Mafuta na Mungu kama ilivyokuwa kwa Mfalme Daudi. Kama Haikupangwa...
  19. L

    Wanaharakati wote waliokuwa wanataka kuvuruga Amani ya Taifa letu wamepoteza muelekeo na kusambaratika

    Ndugu zangu Watanzania, Wale wanaharakati uchwara waliokuwa wanafanya uchochezi, kuchochea machafuko ,kutoa kauli za kupandikiza chuki , uchonganishi na uzushi wa kila aina ili kuwahamasisha wananchi kuchoma Taifa letu. Kwa sasa wamepoteza muelekeo,kusambaratika na kupoteza muelekeo kabisa...
  20. Mafyangula

    Dkt. Ayub Rioba: Rais Samia ameonesha misingi ya Demokrasia

    Dkt. Ayub Rioba Chacha aliyekuwa Mkurugenzi Mkuu Shirika La Utangazaji Tanzania (TBC) anasema kwa namna ambavyo Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt Samia Suluhu Hassan kwa namna ambavyo anapenda kusikiliza Mawazo na maoni ya watu wengine inadhihirisha wazi kiwango chake cha Demokrasia
Back
Top Bottom