rais samia

Samia Suluhu Hassan[a] (born 27 January 1960) is a Tanzanian politician who is serving as the sixth and the first female president of Tanzania since 2021. She is a member of the ruling social-democrat Chama Cha Mapinduzi (CCM) party and the third female head of government of an East African Community (EAC) country.

A native of Zanzibar,[2] Suluhu served as a minister in the semi-autonomous region during the administration of President Amani Karume. She served as the Member of Parliament for the Makunduchi constituency from 2010 to 2015 and was the Minister of State in the Vice-President's Office for Union Affairs from 2010 to 2015. In 2014, she was elected as the vice-chairperson of the Constituent Assembly tasked with the drafting of the country's new constitution.

Suluhu became Tanzania's first female vice-president following the 2015 general election, after being elected on the CCM ticket with President Magufuli. Suluhu and Magufuli were re-elected to a second term in 2020. She briefly served as the second female interim Head of State in the EAC – 27 years after Sylvie Kinigi of Burundi, spanning a period around the end of the year 1993.

View More On Wikipedia.org
  1. Zack Abdul

    JamiiForums Tanzania Rais Samia na Putin Ikulu ya Kremlin

    Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akiwa kwenye picha na Rais wa Shirikisho la Urusi Mhe. Vladmir Putin katika Ikulu ya Kremlin Jijini Moscow, tarehe 03 Juni, 2026.
  2. L

    JamiiForums Tanzania Dunia yasimama na kutulia kwa muda wakati Rais Samia akipokelewa Ikulu na Rais Wa Urussi. Warusi Wasimamisha Kazi zao Kufuatilia Mapokezi Mazito

    Ndugu zangu Watanzania, Kwa hakika usishindane na aliyebarikiwa,usishindane na Mbarikiwa, usishindane na Aliyeinuliwa na Mungu , usishindane na Chaguo la Mungu , usishindane na aliyepewa kibali na Mungu ,Usishindane na aliyechaguliwa na Mungu kabla hata hajazaliwa, Usishindane na Mwenye Mungu...
  3. tpaul

    JamiiForums Tanzania Uchambuzi: Kutoka kuapa kutokuwa mpinzani bali msaidizi wa rais Samia hadi kuwa Yuda!

    Waswahili husema ukimdekeza mbwa, ipo siku atakufuata hadi msikitini. Hiki ndicho kilichotokea juzi, baada ya mbunge wa Zanzibar kumuita Makamu wa Rais, ambaye ni mtanganyika, jina la Yuda. Hizi zote ni hasira za wazanzibar kulazimishwa kuwa ndani ya muungano wasioutaka! Tangu zamani...
  4. K

    JamiiForums Tanzania Namuombea dua Rais Samia arudi salama na aendelee na majukumu yake Kama kawaida

    Chei chei Ukinuna nuna ila hakikisha haujidhulu Dua ni moja kwa moja URUSI.. alipo MAMA SAMIA SULUHU.. namuombea akamilishe salama majukumu yake ya kinnchi na arudi na afike salama Tanzania Sio rahisi kwa anavyoipambania nchi kama hivi binafs namuombea kwa M/Mungu na namshukuru M/Mungu na...
  5. Zack Abdul

    JamiiForums Tanzania Rais Samia Suluhu Hassan Nchini Urusi

  6. Rashda Zunde

    JamiiForums Tanzania Rais Samia Suluhu awasili Urusi

    ■Atahutubia jukwaa la kimataifa la uchumi la St. Petersburg ■Anatarajiwa kushiriki kongamano la uwekezaji kati ya Tanzania na Urusi ■Atatunukiwa shahada ya heshima, kunadi fursa za dira 2050
  7. Zack Abdul

    JamiiForums Tanzania Rais Samia Awasili Moscow kwa Ziara ya Kitaifa

    Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akiwa amesimama wakati akipokea heshima ya wimbo wa Taifa mara baada ya kuwasili katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Vnukovo, Jijini Moscow kwa ajili ya Ziara ya Kitaifa nchini Urusi tarehe 02 Juni, 2026.
  8. Zack Abdul

    JamiiForums Tanzania Rais Samia Akutana na Putin, Kremlin

    Wakati wa ziara yake nchini Urusi, Rais Samia atafanya mazungumzo rasmi na Rais Putin huko Kremlin Moscow. Mazungumzo yatazingatia kuimarisha ushirikiano katika sekta za kimkakati ikiwemo biashara, uwekezaji, elimu, sayansi, teknolojia, nishati, madini na miundombinu. #TanzaniaRussiaRelations...
  9. Mafyangula

    JamiiForums Tanzania Rais Samia akiwasili nchini Urusi kwa ziara ya kitaifa

    Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu Hassan akiwasili nchini Urusi kwa ziara ya Kitaifa itakayoanza tarehe 3 hadi 5 Juni, 2026 kwa mualiko wa Rais wa Shirikisho la Urusi, Mheshimiwa Vladimir Putin. Soma Pia: Rais Samia kufanya ziara nchini Urusi kuanzia Juni 3...
  10. Zack Abdul

    JamiiForums Tanzania Ziara ya Rais Samia Urusi: Kuimarisha Uhusiano🇷🇺🇹🇿

    Ziara ya Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan nchini Urusi ni sehemu ya juhudi za kawaida za kidiplomasia zinazolenga kuimarisha uhusiano wa kimataifa na ushirikiano wa kiuchumi, kisiasa na kijamii kati ya mataifa. Tanzania imekuwa na historia ndefu ya ushirikiano na Urusi ambayo inaanzia enzi za...
  11. L

    JamiiForums Tanzania PICHA: Rais Samia katikati ya ulinzi mzito akijiandaa kupaa angani kuelekea Urusi

    Ndugu zangu Watanzania, Hivi ndivyo Rais wetu Mpendwa na Jemedari wetu kipenzi cha watanzania Mheshimiwa Daktari Mama Samia Suluhu Hasssan Alivyokuwa akiondoka na kujiandaa kuiacha Ardhi ya Tanzania na Kupaa Angani Kuelekea Nchini Urussi katika Moja ya Safari za kihistoria kwa Taifa letu. Ni...
  12. Zack Abdul

    JamiiForums Tanzania ZIARA YA MH RAIS SAMIA URUSI NA "GEOPOLITICAL DIPLOMATIC SHIFT" YA DUNIA.

    Dr.Zack. June 2,2026.06:54AM. Baada ya Serikali ya Tz jana kutangaza kuwa Mh Rais Samia Suluhu Hassan kesho June 3,2026 anaanza ziara ya siku mbili Nchini Urusi ilinifurahisha sana. Hii inaweza kuwa ni ziara bora zaidi na ya kimkakati sana tangu Mh Rais Samia Suluhu Hassan aingie Ikulu baada...
  13. Zack Abdul

    JamiiForums Tanzania Rais Samia Kutunukiwa Shahada ya Heshima Urusi

    Rais Samia Suluhu Hassan anatarajiwa kutunukiwa Shahada ya Heshima ya Uzamivu na Chuo Kikuu cha Urafiki wa Watu wa Urusi (RUDN University) nchini Urusi. Tuzo hiyo ni ishara ya kutambua uongozi wake, mageuzi katika sekta ya elimu, juhudi zake katika kuimarisha diplomasia ya Tanzania pamoja na...
  14. L

    JamiiForums Tanzania Dunia yaendelea Kukoshwa na Uchapakazi Wa Rais Samia . Sasa Kutunukiwa Shahada Ya Heshima Nchini Urussi. Tukio kurushwa Live

    Ndugu zangu watanzania, Habari ndio hiyo. Rais wetu Mpendwa anaendelea kuiteka Dunia kwa uchapakazi wake, anaendelea kuwa Nyota ya Dunia, anaendelea kuwa kiongozi mwenye ushawishi zaidi Duniani kote , anaendelea kuwa Kiongozi mwenye mvuto na heshima kubwa sana Duniani kote. Rais Samia ni Kama...
  15. Travis Kitengo

    JamiiForums Tanzania Rais Samia Suluhu Hassan bado ni kiongozi imara na bora kabisa. nimeweka mifano halisi

    Wakati Madame President, Mheshimiwa Samia Suluhu Hassan anaingia ikulu alikuta mtangulizi wake Hayati John Pombe Magufuli akiwa kapiga hatua nzuri ila nchi ilikuwa na mzigo wa kuhudumia project nyingi ambazo zilihitaji mabilioni ya shilingi kuweza kukamilisha kwa wakati.Hapo hapo uhusiano na...
  16. L

    JamiiForums Tanzania Historia ya Rais Samia iwekwe Katika Somo La Historia kwa Shule zote za Msingi na Sekondari Ili Kutoa Hamasa kwa Watoto wa Kike Kupenda Shule

    Ndugu zangu Watanzania, Kama Ambavyo Tumesoma Katika Vitabu vya Historia Juu ya Historia za Akina Mwalimu Julius Nyerere,Nelson Mandela,Nkwame Nkurumah, Samora Machelli,Kenneth Kaunda ,Jommo Kenyatta, Patrice Lumumba ,Dkt Martin Luther king Jr, Mahatma Gandhi na Mchango wao katika Jamii...
  17. Zack Abdul

    JamiiForums Tanzania Rais Samia apokea Taarifa ya Sensa ya Wanyamapori

    Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu Hassan akiwa kwenye kikao cha kupokea Taarifa ya Sensa ya Wanyamapori iliyofanyika nchi nzima mwaka 2024 – 2025 iliyowasilishwa na Waziri ya Maliasili na Utalii Dkt. Ashatu Kijaji kupitia Taasisi ya Utafiti wa Wanyamapori...
  18. M

    JamiiForums Tanzania Rais Samia awazawadia Serengeti Boys, U17 milioni 500

    WAZIRI MKUU Dkt. Mwigulu Nchemba amesema Serikali imetoa zawadi ya sh. milioni 500 kwa Timu ya Taifa ya Tanzania ya vijana chini ya miaka 17 (Serengeti Boys) kwa kufanikiwa kutinga hatua ya fainali ya mashindano hayo na kuipeperusha vyema bendera ya Tanzania kimataifa. Dkt. Mwigulu amesema hayo...
  19. Sifi Leo

    JamiiForums Tanzania Niliwahi toa USHIRIKIANO kwa Jeshi la Polisi dhidi ya uhalifu nikageukiwa. Sihitaji na siwataki Polisi

    Niliwai chomewa nyumba polisi wakapokea rushwa pale mkuranga sitokaa nisaauh kamwe Wala nimpende polisi awaye yoyote hata afe Leo siziki polisi Wala SILI chakula na polisi. Niliwai toa USHIRIKIANO KWA jeshi la polisi dhidi ya uhalifu nikageukiwa siitaji na siwataki polisi himo marangu. Niliwai...
  20. R

    JamiiForums Tanzania Makonda: Rais Samia amesema Vijana 'Serengeti Boys' watakapomaliza AFCON 2027, wawekwe kambi maandalizi 2030 Tanzania kushiriki World Cup

    Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Paul Makonda, akizungumza Bungeni leo Mei 29, 2026, Dodoma, kufuatia Mechi ya jana Mei 28, 2026 ambapo timu ya Serengeti Boys ilifanikiwa kutinga Fainali ya AFCON U17 baada ya kuiondosha Misri kwa ushindi wa mikwaju ya penalti 4-3 kufuatia sare ya...
Back
Top Bottom