Rais Samia: Nataka nizungumzie matumizi ya jina Samia, limekuwa linajirudia rudia haipendezi

Rais Samia: Nataka nizungumzie matumizi ya jina Samia, limekuwa linajirudia rudia haipendezi

Rais Amia amesema kuwa matumizi ya Jina Samia kulipa kwenye Jina la vitu limekuwa linajirudia rudia hadi haipendezi
Sugu alisema "Unakuwa Mpambe hadi Boss anakasirika".

Samia this, Samia that, Mkulu amejistukia sasa ameona awachane wapambe wake.

Aliyemshauri hilo, amshauri na mengine mengi ambayo aliyapuuza.
 
Back
Top Bottom