Zamani raha hiace Tsh. 3800

Zamani raha hiace Tsh. 3800

bahati93

JF-Expert Member
Joined
Aug 6, 2015
Posts
1,424
Reaction score
2,679
1000030556.jpg

tuwahi kununua magari tusije shangaa passo bila mil 100 hupati.
 
View attachment 3636601
tuwahi kununua magari tusije shangaa passo bila mil 100 hupati.
Duu! Namba ya gari imekuwa ndiyo bei? Ndugu mwandishi zamani namba za magari zilikuwa zinaanza na TZ halafu inafuata herufi, baadaye namba. Mfano TZA 250; TZB 470 nk. Hiyo hapo kwenye tangazo la gazeti namba yake ilikuwa ni TZH 3830
 
Umewapata haswa,
Ilikuwa ni kipimo cha watu wenye msongo wa mawazo, wamekutapikia haswa
 
Mimi nimelisoma lote, Nauri ya kurudi nyumbani ni 10000, gari liuzwe 3000😁😁 usicheze na akili yangu aisee.
 
Hivi tunavyoongea mleta mada anakaribia mpaka wa msumbiji na Tanzania na harudi tena, sio kwa kumgombania huko.
 
Back
Top Bottom