Humphrey Polepole is a Tanzanian politician serving as the Chama Cha Mapinduzi's Ideology and Publicity Secretary and Member of Parliament appointed by President John Magufuli. Before being appointed Humphrey Polepole was a District Commissioner for Ubungo district for five months and earlier Polepole also served as District Commissioner for Musoma District for two months.
Kuna kitu kinaitwa point of no return it is either you win or loose in the battle field. Live or die hard
Mama Samia amesha invest sana kwa ajili ya kampeni za mwaka huu. Asipogombea kwa mfano nani atamfidia gharama zake? It's obvious hawezi kukubali hasara kubwa namna hii. Leo katika kuchukua...
Sina mengi Sana Wana JF
Bandiko langu ni kumsihi ndugu yetu Kwanza atubu waliyofanya na Magufuli ya kinyume na katiba.
Pili hadi sasa hivi press zake si kitu Kwa CCM, uliahidi mama asipokusikia maboya yatafanya kazi yake. Kwa sasa press zako si kitu kabisa. Chagua moja kukaa kimya au maboya...
Hivi karibuni, aliyekuwa Balozi wa Tanzania nchini Cuba, Humphrey Polepole, amezua mjadala baada ya kudai kuwa ndani ya CCM kuna “mtandao” unaodhibiti mchakato wa uteuzi wa wagombea urais. Anasema mtandao huu umekuwa ukijitokeza mara kwa mara tangu mwaka 1995, na mara nyingine hufanikisha...
1. Huyu dogo kashajitoa akili yaani ukimjibu tu wewe ndio unakua Topic.
2. Mwenyewe hapa kada ila daah namuogopa huyo jamaa yenu, anabagaza sio poa.
3. Ni vema kwenda nae taratibu mpaka atakapoishiwa pumzi akamatwe, ahukumiwe tujue moja. Tumeshachoka.
4. Sema HP kama anatupanga vile. Anaonekana...
Pole pole anauliza Samia anajiskia amani kugombea uraisi na luhaga mpina wa ACT WAZALENDO kwani wanaCCM hawajui Act?😂😆🤣
Nmeanza kuamini zito na Act WAZALENDO ni vishikwambi vya CCM aise.
Yawezekana ACT ni TAWI la CCM na kila Mwaka wa uchaguzi CCM ndo wanapanga nani agombee baada ya kuwa...
Kwa wehenga wenzangu tuliohitimu kidato cha nne miaka ya 2000 mtaikumbuka riwaya ya Things fall apart ya Chinua Achebe. Hii ilikuwa ni riwaya ya kiada katika somo la English Literature kwaajili ya mtihani wa Taifa wa kidato cha nne. Kutoka katika riwaya hii nitanukuu maongezi ya wahusika wakuu...
Siku za hivi karibuni Ndugu Humphrey Polepole amejinasibu kuwa alikuwa na ukaribu sana na ndugu Ndugai na kwamba kuna nyakati walikuwa wanaitana wanashauriana mambo ya sirini.
Na hata Ndugai aliposhinikizwa na Bi. Mkubwa ajiuzuru, waliwasiliana na wakapanga mipango ya kuzungumza sirini akienda...
Eti kwa dhihaka kabisa anahoji Salum Mwalimu kugombea nafasi ya Uraisi, pia anamdhihaki eti Luhaga mpina kugombea nafasi ya uraisi kupitia ACT!!
Yaani anawaona kama vile sio watu wenye sifa.
Huyu jamaa kweli anajielewa?
Awamu ya 5 ilikuwa na comedy sana.
Kwenye hoja yake ya kumshauri aache kugombea Urais pamoja na Salum Mwalimu wa ACT na Luhaga Mpina wa CHAUMA maana yake ni kwamba Samia akafanya udikteta kumminya Lissu mpinzani wa kweli kabisa ili akaokote Urais kwa vitawi vidogo vya CCM kama ACT na CHAUMA...
POLITICAL BATTLE MAP: POLEPOLE vs RAIS
Anaandika, Robert Heriel
Mtibeli
Katika hili vita ambavyo Polepole ameianzisha. Acha tuone Tamani ya pambano la kisiasa baina ya Polepole Vs Rais. Tuone njia na mbinu, rasilimali zitakazotumika, na hatma ya pambano hilo. Nani ataibuka kidedea;
Tunaanza...
Ndugu Polepole,
Salaam!
Tangu ujihuzuru nafasi ya Balozi huko Cuba umekuwa na mlolongo wa ushauri kwa Rais wa Tanzania na watanzania. Ushauri huo umefuatana na baadhi ya malalamiko ktk maeneo kadhaa, ikiwemo:-
(a). Uchaguzi ndani ya CCM;
(b). Haki za kibinadamu;
(c). Kalenda ya Uchaguzi...
Ashukuriwe Mungu wa mbinguni bwana wa majeshi kwa kutupenda mno sisi hata ikampendeza machungu yetu hatimaye kufikia mwisho labda tena kwa salama.
Tulipo hatuko mbali na tunakopahitaji yaani kwenye Tanzania ya haki. Haipo siri Tena, adui zetu wànajulikana vyema zaidi.
"Wapumzike kwa amani...
Kada wa chama cha Mapinduzi (CCM), Humphrey Polepole hii leo Agosti 08, 2025 amemsihi Rais Samia Suluhu kutochukua fomu ya kugombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania huku akihoji anataka kwenda kushindana na Salum Mwalimu wa CHAUMMA,
"Unataka ukagombee na Salumu Mwalimu wa CHAUMMA ndio...
Leo kwenye muendelezo wa mawasilisho yake huko mitandaoni Ndugu Humphrey Polepole amesema kuwa wakati wanakaribia uchaguzi mkuu 2020 kwenye kazi yake ya kusikiliza wananchi kuna bwana mmoja alimfuata akamwambia kuwa kuna watu wanapanga kumuua Rais wa wakati huo!
Anasema alipeleka ujumbe huo kwa...
Naanzia hapa na kila ukiweka update tutaipandisha hapa kwa faida ya wengi na kwa faida ya RAIS wetu mpendwa
1. Mwenyekiti amezungukwa na wana mtandao ambao wana maslahi binafsi
2. Mwenyekiti amuachilie Huru Lissu ili awezxe kuungana na familia yake
3. Kuna mastermind kwenye Kifo cha Magu
4. Kuna...
Leo katika mazungumzo yake na wananchi, Polepole ameeleza kuwa wahuni wameanza kuzunguuka nchi hii na kugawa fedha kwa ajili ya uchaguzi wa 2030.
Akasema mmoja wa wanaofanya hivyo ni mtoto/offspring wa Mtu mzito sana ndani ya Wanamtandao.
Hii ngoma ni hatari sana.
Kama mtu akikutuhumu na kurudiarudia kuisema tuhuma hiyo mara nyingi kunaweza kutokea mambo mawili, ama watu kumpuuzia na kumuona chizi au watu watamuamini anachokisema na kumuona shujaa.
Hasa pale ambapo anaetuhumiwa hata jitokeza kujitetea, kukanusha, kusema ukweli ni upii au kumpeleka...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.