polepole

Humphrey Polepole is a Tanzanian politician serving as the Chama Cha Mapinduzi's Ideology and Publicity Secretary and Member of Parliament appointed by President John Magufuli. Before being appointed Humphrey Polepole was a District Commissioner for Ubungo district for five months and earlier Polepole also served as District Commissioner for Musoma District for two months.

View More On Wikipedia.org
  1. Robert Heriel Mtibeli

    Kipi Polepole atazungumza? Na kipi ambacho wasikilizaji wanatamani kukisikia?

    Mimi Sijambo! Polepole alisha-miss target 🎯 tangu siku ya kwanza. Sijajua nini atafanya kurudisha mchezo katika umiliki wake. Kwa kweli bado natathmini nini atafanya kuitikisa serikali ya Samia Suluhu ambayo kwa sasa ninaweza kusema ni adui namba moja wa Polepole katika Vita aliyoianzisha...
  2. Metronidazole 400mg

    PolePole hatoongea chochote cha maana acha niwasanue

    Kama ana uchungu na Tz, ni nini kinamzuia kuongea hapo hapo??.....ni anataka kuogopewa ili kupata maslahi yake binafsi?? Nyie wa tz kina Mshana Jr, mbona akili zenu ndogo sana, yaani mnategemea mtu ambaye anawapa Dola mda wa maamuzi, maamuzi yapi sasa wajinga nyie?? huoni kama anataka atimiziwe...
  3. chiembe

    Wakati JPM akipondaponda demokrasia, hii ndiyo shughuli aliyokuwa akifanya Polepole, aliisahau katiba mpya, atakumbukwa kwa kusifia "vieitee"

    Alikuwa Katibu Mwenezi wa CCM aliyetumia muda mwingi kufanya mambo yasiyoeleweka. Alikuwa anakata mauno mbele ya watu, badala ya kuongelea wakulima, wafugaji au katiba mpya.
  4. Kimbesa11

    Polepole anacopy na kupaste mbinu za Mange Kimambi, muda si mrefu ataanzisha App ya kulipia

    Kwa siku za hivi karibuni tumeona polepole anafanya press Kama zile za mange kimambi kwa lengo la kupata kiki bila kuelewa kuwa Watanzania walishaashana na upotoshaji wa Mange kimambi zamani sana. Tanzania si sehemu ya kupotosha au kupiga UMBEA kwa habari zisizo na ushahidi, watu wameshaelemika...
  5. B

    NRNE na mazagazaga yake ni mpango wa Mungu. Nani ajuaye kuwa Polepole leo, hatutajua walipo wenzetu waliopotea na yote ya uvunguni?

    Bila NRNE na hivyo bila Lissu kuwa mbele ya Pilato tungeonana wapi, ana kwa ana na kina Polepole au Gwajima? Hatimaye leo imefika, ile siku ya ahadi, na ahadi iliyopo ni kumwagwa kwa mboga, baada ya ugali kutangulizwa! Kumbe basi, nani atakereka na labda kusikia waliko wenzetu kina Ben...
  6. chiembe

    Polepole, ukiwa madarakani, Rostam alitinga ikulu enzi za Magufuli, muda mfupi baadae mdogo wake akafutiwa mashtaka Kisutu, mbona hukuachia uongozi?

    Mdogo wake Rostam alikuwa na msala pale Mahakama ya Kisutu. Rostam.... alienda kumuona John Pombe Magufuli, muda mfupi baadae mdogo wake Rostam aliachiwa. Mbona Pole pole hakujiuzuru kupinga hili? Tena lina ushahidi tofauti na hilo la mgodi wa makaa ya mawe?ni uongo wa dhahiri kwamba Polepole...
  7. Carlos The Jackal

    Polepole: Mamlaka ya Juu( Rais) ilipiga simu Moja tu, Rostam akapewa Mgodi wa Makaa ya Mawe

    Wakuu ,unaweza jiuliza ,tuna USALAMA WA TAIFA KWELI? Yaan Taasisi nyeti inayomlinda Rasilimali za Nchi?. Fikiria, Serikali imeshapata Pesa za kununua Hisa za Mgodi huo, Kisha Mamlaka ya Juu inapiga simu, inasema 'Acheni Rostam Auendeshe Mgodi'. Nina uhakika , Hata hizi Kauli za MULIRO Ama...
  8. Stuxnet

    Polepole ni Mkwara mbuzi tu, anatishia nyau ila hana lolote

    Humphrey Polepole, aliyekuwa Balozi na Katibu wa Itikadi wa CCM, sasa ni mshindwa wa hali ya juu (pathetic loser) anayeandamwa na machungu, akidai kufichua siri za chama ili kuudhoofisha utawala wa Rais Samia Suluhu Hassan. Kauli zake za chuki ni za mtu aliyeporomoka, anayeishi kama kibaraka...
  9. I

    Kitendo cha Sugu kumsafisha Polepole na Gwajima ni kuuza pambano

    Shalom WanaJF, tuwe wakweli!! Kauli ya Sugu kwamba “tume wasamehe Gwajima na Polepole” ni usaliti mkubwa kwa wanachama wa CHADEMA na wazalendo wa taifa hili. Makosa ya Humphrey Polepole yapo wazi: Alikuwa kinara wa kubana demokrasia nchini, akitumia nafasi yake ndani ya CCM kuua sauti za...
  10. Just Pray

    GE2025 Polepole : Tundu Lissu anastahili kuwa nyumbani kwa mkewe na familia yake bila masharti yoyote

    Wakuu Aliyekuwa Balozi wa Tanzania nchini Cuba, Humphrey Polepole, ametoa kauli nzito akihimiza mabadiliko ya ndani ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), kuwepo kwa mchakato wa wazi wa kupata wagombea, na kuhimiza mazingira ya haki kwa vyama vya upinzani kuelekea uchaguzi mkuu wa mwaka 2025...
  11. Marco Seth

    Unabii kuhusu Tanzania, ipo kwenye mchakato wa Kubadilishwa

    A young man to Provide wisdom to some people ...who will begin to seek wisdom from him...on how the Direction of the Country will be mapped.... The Young Man they will take from one location to another ...and now is sat at the Location now...and they have been listening and asking him... though...
  12. S

    Polepole utapigiwa simu na kina Mzee Warioba na Butiku wanaweza kuombwa kuongea na wewe ila kamwe usirudi nyuma. Sema tu uliilopanga

    Safari hii umeongea na umetamka wazi kuwa sasa ni bora hata CCM ife Taifa lipone kwa utakaloongea kwani Viburi vya viongozi vimezidi. Leo umetamka wazi kuwa viongozi wa CCM wamejaa Viburi hii inaonyesha sasa umefika mwisho wa uvumilivu na kuheshimu hawa viongozi wenye Viburi. Umetamka kuwa...
  13. GENTAMYCINE

    Nauliza tu hivi Polepole angeendelea kuwa Mwenezi CCM Taifa au Balozi wa Cuba haya anayoyafichua sasa Serikalini na CCM alipanga kutuambia lini labda?

    Tafadhali nawaomba mlio nae karibu na kumuunga mno mkono mniulizie hili Swali kisha ama Yeye au Nyie mje Kunijibu.
  14. Tajiri wa kinyankole

    Humphrey Polepole kesho Agosti 21 kuongea na taifa ikiwa maoni yake hayatafanyiwa kazi

    Ni kwamba leo ameongea kiduchu kwa kusisitiza kuwa ni muhimu wenye mamalaka kuacha kushupaza shingo wao ni wadogo kuliko taifa wawe na hofu ya Mungu kwani kundi la mtandao halina nia njema na taifa letu.
  15. M

    GE2025 Polepole acha maneno fanya vitendo. Kama mchakato wa mgombea Urais wa CCM umekosewa, peleka barua ya malalamiko kwa Msajili wa Vyama

    Bwana Polepole ulichoongea tumekusikia, Ila sisi Watanzania huwa tunasema kuwa maneno matupu hayavunji mfupa!. Tumeshaona precedent ya watu wasiokubaliana na mwenenendo wa mambo katika vyama vyao ambavyo wao wanaamini katiba za vyama vyao zikivunjwa wakiandika barua rasmi kwa msajili wa vyama...
  16. Just Pray

    GE2025 Polepole: Luhaga Mpina hana sifa kikatiba na kikanuni kugombea Urais kwa tiketi ya ACT Wazalendo katika Uchaguzi Mkuu 2025

    Imeandaliwa na Ndg. Humphrey H. Polepole, Mwana CCM wa Imani 1. Msingi wa Kikatiba na Kikanuni Katiba ya ACT Wazalendo (2024), Ibara 16(4): "Mgombea wa nafasi ya Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania au Urais wa Zanzibar kwa tiketi ya ACT Wazalendo atakuwa ni mwanachama wa chama kwa kipindi...
  17. Nipe Maji

    SI KWELI PreGE2025 Gwajima amkosoa Polepole vikali, amuita mnafiki

  18. H

    Ni vyema polepole aandamane na familia yake kudai au kupinga

    Ni vyema polepole aandamane na familia yake kudai au kupinga hayo anayoeleza wakiuwawa ndiyo tujue kweli ccm wamebadilika na viongozi wake wameamka sasa
  19. Pridah

    Polepole anakera, anaboa, anajivunjia heshima. Akae kimya sasa!

    Tuwe tu wakweli. Polepole anatafuta tu kick. Mnaotegemea CCM itatikisika kwa porojo za Polepole mnajidanganya. Kwa CCM ,Polepole ni debe tupu,litapiga kelele ila usiku wake utafika litalala. Ataibuka mwingine,mtampaparikia ila mwisho nae atanyamaza. Yu wapi jasusi la mbinguni? Mpina je...
  20. Dennis Robert Shughuru

    Polepole na siasa za mwendokasi

    Leo hii mimi au wewe tukaamua kumtukana Rais aliyeko madarakani, Mzee kikwete, na viongozi wengine ndani ya mda mfupi sana kila mtu atanijua au atakujua sababu ndo mambo baadhi ya watu wanapenda kusikia masikioni mwao na hizo ndo siasa mwendokasi ila mwisho wa siku utakua ume-achieve nini jibu...
Back
Top Bottom