picha

Jean-Paul "Picha" Walravens (Brussels, Belgium, 2 July 1942) is a Belgian cartoonist, comics artist, animator and film director. He is most famous for his adult animated films, such as Tarzoon: Shame of the Jungle.

View More On Wikipedia.org
  1. M

    Athari za kuweka picha za watoto wako mtandaoni

    Matukio ya matumizi mabaya ya picha za watu mtandaoni yanaongezeka siku hata siku: Picha ya askari iliyochukuliwa katika mitandao ya kijamii ilitumika kumlaghai mwanamke mmoja huko Uingereza akatoa fedha zake nyingi na kuibiwa. Bloga mmoja alikuta picha ya familia yake inatumiwa kwenye tangazo...
  2. Victor Mlaki

    Tawala ulimwengu wako ili ukuoneshe picha unayoitaka

    Angalau kila binadamu anaweza kuuona ulimwengu wake ndani yake. Jambo hili ni jambo linalompa Mwanadamu uwezo mkubwa sana wa kuamua juu ya maisha yake. Furaha au huzuni ni picha za kiakili ambazo Mwanadamu anaweza kutengeneza ndani yake kwa kujua au kutojua ila angalau anao uwezo wa kuamua...
  3. Martin Kemosabe

    Mwenye Picha ya Karantini (quarantine) wanapopelekwa ndugu zetu atuonyeshe

    Nimeperekenyua kila mahali kujua wanapopelekwa ndugu zetu ki ukweli hadi sasa hivi sijajua wanapelekwa wapi,J ana mtaani nyumba ya jirani wamebebwa nyumba nzima wapangaji zaidi ya 7 na familia zao eti kisa tu hiyo nyumba kapatkana mgonjwa mwenye korona mmoja, kwa wingi wa wale wapangaji...
  4. Dr am 4 real PhD

    Usipite bila kuweka neno japo moja kwenye hii picha

    Tuna mengi ya kujifunza jinsi ya kuishi
  5. herzegovina

    Picha ya siku, Ipe mwenyewe maneno

  6. PureView zeiss

    Picha: Angalia jinsi daladala wanavyojiongeza na level seats

    Katika harakati hizi za kukabiliana na gonjwa la Corona tulionywa na mamlaka ya nchi juu ya kujilinda ikiwa ni pamoja na kukaa mbali kati ya mtu na mtu (social distance). Pia mamlaka kama SUMATRA walitoa angalizo Kwenye vyombo vyote vya usafiri abiria wote wakae Kwenye viti na asiwepo mtu wa...
  7. Latrice

    Uzi maalumu wa picha zilizopigwa na simu za XIAOMI

  8. S

    Nini kimemsukuma Msigwa wa Ikulu kuposti picha hizi mtandaoni siku ya leo akidai ni kumbukumbu?

    Najiuliza ni nin kimemsukuma Greyson Msigwa wa Ikulu kupost picha hizi katika mtandao wa twitter asubuhi ya leo? Ameandika "kumbukizi" bila shaka akimanisha kumbukumbu. Je,ni hivi hivi tu? Upendo huu umeanza lini? Hii hawezi kuwa ni damage control?
  9. Morning_star

    Wanawake/Mabinti mnaotafuta wenza wekeni picha zenu

    Kuna ongezeko kubwa hasa wadada wakitafuta wenza wa kiume hapa JF! Sasa nawapa ushauri! Mara nyingi wababa tunavutiwa na vitu viwili mara ya kwanza ukimuona mdada: ni sura na umbo kama vile chura, rangi, na miguu! Haya mambo ya tabia ni baadaye saana! Sasa unakutana na maelezo ya mdada...
  10. Determinantor

    Picha: Magereza na Mambosasa waanza kuumbuka

    Eti hawa akina Mama walitaka kuvunja gereza! Eti Bulaya na Halima hapo ndio wammevamia Magereza! Acha Ulimwengu uone uhuni wa hawa watu! Ukiangalia kwa umakini unaona kuwa Askari wanawavutia kwenye geti, chini kule kuna gari inapita meaning walikua mbali kabisa na lango la gereza!! Time will tell
  11. U

    Hizi habari za connection zinatujenga watz kuwa watumwa wa picha chafu hata kwa wasafi

    Hizi habari za kila siku kusikia connection, connection ya kupata picha chafu hasa za watanzania na watu maarufu zinatujenga kidogo kidogo kuwa watumwa wa hizi mambo. Sote tunajua watanzania sio wacheza picha chafu na hiyo tabia haikuwepo, Ila Sasa hata wale ambao walikuwa hawana utamaduni wa...
  12. S

    Kinachofuata ni Mbowe kupewa mwaliko wa kwenda Magogoni ili picha zake na Bwana mkubwa zitumike katika kufanikisha damage control

    Leo hii baada ya habari ya Msigwa kulipiwa na Magu kutoka,watu watakuwa wameshangaa ila mimi binafsi sijashangaa kwani nilijua kitafanyika kitu kama hiki na hakika kimetimia ndani ya masaa 24. Wakati ACT-Wazalendo wakichangia shilingi milioni mbili,sitashangaa chama cha kijani nacho kikachangia...
  13. S

    Ukitaka kuelewa Magufuli bado hajapita kiasi katika kutaka atukuzwe na anaowateua angalia picha hii

    Waziri mmoja wa Zambia akiongea na rais wake Lungu huko Zambia kipindi fulani hapo nyuma. Magufuli wetu hajafikia huku, swali ni kama siku moja atakuja kufikia huku!
  14. Erythrocyte

    Picha: Mbowe alipokuwa anaingia viwanja vya Bomang'ombe - Ardhi yatikisika, Umati ni mkubwa kuliko maelezo!

    Wakuu wakati mwingine tunaandika humu JF hadi tunashindwa kueleza , Kiukweli haya mambo sometimes hayaelezeki . Tunaomba radhi sana kwa tunaowakwaza kwa habari zetu hizi motomoro za Mbowe na Chadema , hatuwezi kuficha , maana kuna msemo wa kiswahili unasena hivi , Kizuri kula na nduguyo
  15. Gwangzu

    Coronavirus: tupia picha | tuone hali ilivyo huko china

    Tushare kwa picture hali ilivyo huko china; *soon nawaletea pictures*
  16. S

    Polisi wakihakikisha Usalama wa katibu Mkuu wa CCM Taifa Bashiru Ally akiwa ziarani Mkoani Mtwara

    Polisi wakihakikisha Usalama wa Katibu Mkuu wa CCM Taifa Bashiru Ally akiwa ziarani Mkoani Mtwara mapema leo hii. Je, inawezekana kwa Katibu Mkuu wa chama cha upinzani mathalani CHADEMA, John Mnyika kusindikizwa hivi?
  17. Z

    Ni vigumu kuamini lakini Harmonize is the new king of bongofleva. Mbeya wamethibitisha hilo. Afroeast album ndio itayotoa majibu

    Mapokezi makubwa aliyoyapokea mbeya... Yamemshtua sana kijana wetu anaepambana kuukuza mziki Wa bongo fleva. Mji wa mbeya umezizima siyo kawaida... Na hapo unaambiwa ni maandalizi ya kuupokea album. Ya afroeast . 2009 diamondplatinumz alianza hivihivi. Kama matani. Mwishowe akaubeba ufalme....
  18. BASIASI

    Picha ya mwaka

    Salute kwako Mama wa Kenya. Huu ndiyo upendo.
  19. Tanzania Railways Corp

    Picha zikionesha stesheni za reli ya kisasa - SGR zikiwa mbioni kukamilika

    Picha hizi zinaonesha Maendeleo ya Ujenzi wa Stesheni za Dar es Salaam, Pugu na Soga. Katika kipande cha kwanza cha Mradi wa Ujenzi wa Reli ya Kisasa - SGR ambao utakuwa na jumla ya Stesheni Sita ikiwemo Stesheni kuu mbili ambazo ni Dar es Salaam na Morogoro huku Stesheni ndogo (za kati) zikiwa...
Back
Top Bottom