Beatrice Kamugisha
JF-Expert Member
- May 18, 2019
- 762
- 6,980
Huyu ni mzaliwa wa Bukombe na Mkazi wa Mwanza, alipata mafunzo ya Jeshi la kujenga Taifa Kigoma na baadaye kuajiriwa serikalini Mwaka 2017. Kituo Cha kazi ni Dodoma, hana makazi Hai, anaonekana kwenye clip akiwa nyuma ya mwongoza maandamano.
Sambamba naye yupo sister Blandina Lucian Kalinzi (Nick name) intake moja na Manyama, mfanyabiashara ndogondogo soko kuu Mbeya anaonekana mbele ya mwana Hip Hop anayejitambulisha kuwa ajatumwa.
Hawa wawili kuwaona kwenye tukio la Hai inanifanya nijiulize wamefikaje hapo hai? Je hao walioambatana nao wanaishi Hai? Je kwa kuwa sura zao zinaonekana adharani hakuna namna tunaweza kuwataja kila mmoja maana wanaishi kati yetu?
Tukumbuke katiba ya waryoba iliisha kwa waajiriwa wa umma kufanya vurugu pale ubungo blaza kwa kumshambulia Jaji na timu yake.
Kuwataja itawasaidia ndugu zao kutambua namna watoto wao wanavyotumika kulivurugu Taifa. Wataingia kwenya kumbukumbu za watenda Jinai.
Tuwataje.
Sambamba naye yupo sister Blandina Lucian Kalinzi (Nick name) intake moja na Manyama, mfanyabiashara ndogondogo soko kuu Mbeya anaonekana mbele ya mwana Hip Hop anayejitambulisha kuwa ajatumwa.
Hawa wawili kuwaona kwenye tukio la Hai inanifanya nijiulize wamefikaje hapo hai? Je hao walioambatana nao wanaishi Hai? Je kwa kuwa sura zao zinaonekana adharani hakuna namna tunaweza kuwataja kila mmoja maana wanaishi kati yetu?
Tukumbuke katiba ya waryoba iliisha kwa waajiriwa wa umma kufanya vurugu pale ubungo blaza kwa kumshambulia Jaji na timu yake.
Kuwataja itawasaidia ndugu zao kutambua namna watoto wao wanavyotumika kulivurugu Taifa. Wataingia kwenya kumbukumbu za watenda Jinai.
Tuwataje.