2019
JF-Expert Member
- Dec 31, 2018
- 2,982
- 4,457
Hii mashine inaharibu sarafu sana kiasi kwamba hazisomeki wala kuonekana vizuri.
Hata serikali inachukua kodi kupitia hizi mashine watengeneze mfumo mzuri wa kulinda hizi sarafu.
Ww utakuwa unapokea kamisheni ya dubuli,ndio mana unateteaHahaha mzee linakutia umaskini nini umeamua kulichongea?
Anyway, ulichoandik siyo kweli. Nimeishi nalo miezi 2 na haijawahi kutoea hicho unachosema. Mchina anafuata package ya 200 kila wiki hiyo ya kukaa humo na kubadilik rangi inatumia muda gani kuharibika?
Atakayenyanyasa wawekezaji kukiona - MagufuliView attachment 1526404
View attachment 1526405Huu ndio muonekano wa sarafu za 200 baada ya kuzamishwa kwenye dubuli au bonanza mashine za kamari za kichina
Hii mashine inaharibu sarafu sana kiasi kwamba hazisomeki wala kuonekana vizuri
View attachment 1526406mashine ya bonanza maarufu kama dubuli,unaweka 200 unacheza.
Hata serikali inachukua kodi kupitia hizi mashine watengeneze mfumo mzuri wa kulinda hizi sarafu.
Asante sana mkuu kwa kukumbuka hili. Kama pool table hivi ingekuwaje kama wangetumia sarafu halisi? Huyu mchina kashindwa kutengeneza token?Hao jamaa wahuni kimewashinda nn kutengeza token kwa ajili ya mashine zao..mpaka watumie sarafu halali. Hizo Ni dharau
Kwann boss?
Wanaoreact kwa taarifa hii wana maslahi nalo lakini ukweli ndio huo
Kamisheni ndogo niliachana naloWw utakuwa unapokea kamisheni ya dubuli,ndio mana unatetea
Ilikuwa sh.ngapKamisheni ndogo niliachana nalo
Katika 60,000 yako 9000. Umeme juu yako, kulilinda juu yako. Ikitokea kakuta 50,000 anaondoka nayo na wewe wiki hiyo kamishen inakua imekataIlikuwa sh.ngap