picha

Jean-Paul "Picha" Walravens (Brussels, Belgium, 2 July 1942) is a Belgian cartoonist, comics artist, animator and film director. He is most famous for his adult animated films, such as Tarzoon: Shame of the Jungle.

View More On Wikipedia.org
  1. M

    JamiiForums Tanzania Picha: Mrembo mkali akiendesha basi la Tilisho

  2. M

    JamiiForums Tanzania Picha: Msanii wa bongofleva akiwa amepozi na ametokelezea

  3. Bujibuji Simba Nyamaume

    JamiiForums Tanzania Tunaopenda kutupia picha zetu halisi tukutane hapa

    Bujibuji Simba Nyanaume a.k a Deebo... mapafu ya Faru mbavu 109
  4. JanguKamaJangu

    JamiiForums Tanzania Morogoro: Mbaroni kwa kuiba bango lenye picha ya Rais Samia

    Jeshi la Polisi Mkoa wa Morogoro linawashikilia watu wawili kwa shutuma za kuiba bango lenye picha ya Rais Samia Suluhu Hassan pamoja na vitambaa vyenye rangi ya bendera ya Taifa ambavyo hutumika kupambia jukwaa. Kamanda wa Polisi mkoani humo, Fortunatus Muslim amesema waliokamatwa Emanuel John...
  5. M

    JamiiForums Tanzania Picha: Mtalaamu wa masuala ya uvuvi akifanya kazi kwa mihemuko

  6. U

    JamiiForums Tanzania Uzi mahsusi wenye picha za Inspector Mwala akiwa na marafiki zake mbalimbali

    Hamjamboni nyote! Nimeambatanisha picha mbalimbali Niwatakie Sabato Njema Karibuni
  7. U

    JamiiForums Tanzania Mfahamu kwa mrembo Roza Georgeyevna Shanina, mdunguaji bora kabisa wa Jeshi la Urusi aliyeua watu 54

    Mfahamu kwa picha Bi Roza Georgeyevna Shanina Mdunguaji Bora Kabisa wa Jeshi la Urusi aliyeua watu 54 Hamjamboni wadau Ni mdada mrembo kabisa kwa muonekano aliyehudumu kwenye kikosi maalumu cha Wadunguaji (Snipers) wa Jeshi la Kisoviet mwaka 1943 Alikuwa ndiye mdunguaji bora kabisa (one of...
  8. figganigga

    JamiiForums Tanzania Special Thread: Video na picha kutoka Vikosi vya Jeshi la Ukraine walio Frontline dhidi ya Urusi

    Salaam Wakuu, Hii ni Special thread ya Video na Picha kutoka Uwanja wa Mapambano Ukraine kwa Wanajeshi Waliopo Msitari wa Mbele. Hii thread inawahusu timu Ukraine. Picha zinahusu mafanikio ya Ukraine. Mwanajeshi wa Ukriane akiwa na PG-7VM rockets Hiki ni kipigo cha kwanza walichokipata...
  9. Mwl.RCT

    JamiiForums Tanzania Matukio katika Picha: Mapokezi ya Freeman Mbowe Kilimanjaro Machi 19, 2022

    === Mwenyekiti wa CHADEMA Mhe.Freeman Mbowe akisaini kitabu katika ofisi yake aliyokuwa akiitumia kuwahudumia wananchi wa Jimbo la Hai akiwa mbunge wa jimbo hilo. Chanzo: https://twitter.com/ChademaTz/status/1505127335019917312 === "Kukamatwa kwangu kulikuwa kilele cha Uonevu" - Freeman...
  10. Mr DIY

    JamiiForums Tanzania Ujenzi wa makanisa: Picha za majengo ya makanisa

    Katika pita pita zangu nimejikuta naanza kuvutiwa na designs zinazojitokeza kila siku za makanisa, ujenzi wako una staajabisha sana, tuoneshe jengo la kanisa la huko kwenu ikipendeza tupe picha za ndani na nje hata historia kidogo. Hii ni RC Geita, hili ni jipya kabisa Hii ni RC Kibosho...
  11. U

    JamiiForums Tanzania Picha: Mkuu wa Majeshi Urusi, Jenerali Valery Gerasimov

    Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi Urusi General Valery Gerasimov ameongoza kwa mafanikio makubwa operesheni kadhaa za kijeshi Chechnya, Syria na Ukraine. Aliye na Picha zake na wasifu wake anakaribishwa
  12. The unpaid Seller

    JamiiForums Tanzania Mwenye picha ya nyumba inayogombaniwa kati ya GSM na Makonda atuwekee

    Mwenye picha ya ghorofa aka hekalu linalogombaniwa kati ya GSM na Makonda atuwekee Ova.
  13. U

    JamiiForums Tanzania Kwa picha, zawadi maalumu unazotakiwa kumpatia umpendaye

    Wadau Nimewawekea Picha mbalimbali zinazowakilisha Zawadi unazoweza mpatia mke wako mpendwa au rafikiyo wa kike Karibuni kwa maoni na ushauri Tujitahidi kuwapenda wake zeru
  14. John Haramba

    JamiiForums Tanzania Mbeya: Polisi wamshikilia Diwani na wenzake kwa kumpiga mpiga picha

    Mnamo tarehe 03.03.2022 majira ya saa 08:00 asubuhi huko Mtaa wa Igodima, Kata ya Iganzo, Tarafa ya Sisimba, Jijini Mbeya, Kijana aitwaye SHADRACK ZACHARIA [28] Mpiga Picha na Mkazi wa Igodima Jijini Mbeya anayeonekana kwenye “clip” ya video iliyosambaa kwenye mitandao ya kijamii akishambuliwa...
  15. C

    JamiiForums Tanzania Hii ni picha ya Karne, makamanda hawachoki

  16. John Haramba

    JamiiForums Tanzania Mtwara: Kesi ya mauaji inayowakabili askari saba yapigwa kalenda, mshtakiwa aweka ‘POZI’ kupigwa picha

    "Mmeridhika?" ndivyo anavyosikika Ofisa Upelelezi (OC CID) Wilaya ya Mtwara, Gilbert Kalanje na mshtakiwa namba moja wa kesi ya mauaji inayowakabili maafisa saba wa Polisi mkoani Mtwara huku kesi hiyo ikiahirishwa. Kalanje na maofisa wenzake sita leo Jumanne Machi 8, 2022 wamefikishwa katika...
  17. Ibrahim daud

    JamiiForums Tanzania Msaada: Ngozi yangu imeharibika, tazama picha hii

    Habarini wataalamu, Nna mwezI Sasa nilianza kuona vidoti vidogo vidogo mbele kumbe mgongoni vimezagaa. Siku naenda faragha na mchumba wangu ndo kaniambia umeharibika. Ushauri wa dawa itakayo tibu naombeni mawazo yenu
  18. U

    JamiiForums Tanzania Mfahamu kwa Picha Ndyanabo Balidisya mtunzi wa kitabu Cha Shida na Dadake na Mwanamuziki Patrick Balidisya

    Mungu azidi kumrehemu yeye na kakake Alikuwa mtunzi na Mhadhiri wa Chuo Kikuu Cha Dar es salaamf
  19. GENTAMYCINE

    JamiiForums Tanzania Mliosoma na Kubobea katika 'Psychology' kupitia Picha 'Magogoni' ni nani aliomba Msamaha kidogo na nani aliombwa Msamaha zaidi na Kujutia?

    Binafsi nimeangalia Picha Tano ( 5 ) zote nimeona tu Kuna Mtu Sura yake ni ya Utulivu na ya Umakini ila ya Mtu mwingine kila mara anabembeleza, anatabasamu, anataka yaishe, anaomba Msamaha kwa Mikono, mara avae Barakoa na mara aivue na anaonekana Kashukuru kwa Kuutua Mzigo uliokuwa ukimuelemea...
  20. Naipendatz

    JamiiForums Tanzania Picha: Kamanda Mbowe baada ya kuachiwa akionesha furaha kuu

    Picha ni Mwenyekiti wa Chadema, Freeman Mbowe na wenzake watatu baada ya kufutiwa mashtaka ya ugaidi na Mkurugenzi wa Mashtaka nchini Tanzania (DPP) leo Ijumaa Machi 4, 2022.
Back
Top Bottom