pesa

  1. kyagata

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Hivi kuwa romantic ni pamoja na kugawa pesa ovyo kwa mashankupe ya mjini?

    Greetings Hivi wakuu, kwa mwanaume kuonekana uko romantic kibongobongo ni pamoja na kugawa pesa hovyo kwa kila shankupe unalokutana nalo hapa mjini? Iko hivi kuna shankupe flani nilikutana nalo mahali kwenye sherehe,usiku ule tukaruka debe, piga tungi sana na kisha tukamalizia kwa kupigana...
  2. Damaso

    JamiiForums Tanzania Kuweni Makini na Dar Expart Sales na utapeli wa Pesa Mtandaoni

    Hivi karibuni kumeibuka wimbi jipya la kitapeli ambalo limeacha mamia ya Watanzania wakilia na kusaga meno. Ukiwa unaperuzi Facebook, unakutana na tangazo lenye mvuto wa kipekee: Ukurasa wa "Dar Expart Sales" au "Arusha Expart Sales" unatangaza kuuza bidhaa za ndani kwa bei ya "vunja bei."...
  3. A

    JamiiForums Tanzania KERO Ajira Mpya: Namtumbo mkoani Ruvuma hatujalipwa Pesa ya kujikimu

    Tunaomba mamlaka zitusaidie ajira mpya wa 2025 halmashauri ya Namtumbo-Ruvuma, tumepewa kiasi TZS 130,000 tu. Kila tunapohoji kuhusu pesa nyingine hatupewi majibu. Tabia hiyo imekuwa ikijirudia rudia hata kwa ajira ya mwaka 2024. Tunaomba mamlaka itusaidie tupate pesa yetu ya kujikimu
  4. Mtu Asiyejulikana

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Anatangaza kwa watu mi Bahili kwa kutompa pesa zangu, nimemwambia anipe zake aone kama nitakuwa bahili kuzitumia hataki

    Dog youu. Yaani mwanamke anataka nitumie pesa zangu kwake ili ni prove kuwa mimi si bahili. Namwambia mi si bahili anasema mwongo we bahili. Namwambia haya leta pesa zako nikae nazo uone kama mimi bahili au si bahili. Naye anagoma anaonesha ni bahili. Nikamwambia wewe bahili na mimi bahili...
  5. Minjingu Jingu

    JamiiForums Tanzania Why niteseke na pesa zangu? Yaani mtu asiye nazo anateseka na mimi ninazo nateseka pia?

    Ninatumua account ya bank moja ya kiduanzi initwa EXIM. Pembeni ya hiyo nimekuwa nikitumia NBC. Jana nmepata salary na nikaamua kutuma pesa akaunt ya NBC ili nitoe maana sina ATM Card ya EXIM. Huwezi amini tsh 700,000 mpaka leo inaonekana imekatwa Exim lakini haijafika NBC. Lakini nikiangalia...
  6. B

    JamiiForums Tanzania KERO Kutokulipwa pesa za kujikimu zaidi ya miezi 10 sasa Halmashauri ya manispaa ya Geita

    Ni zaidi ya miezi 10 sasa tangu tuajiriwe katik halmashauri ya manispaa ya geita. Kila tukiuliza wanasema hela hazijatolewa kutoka serikali kuu. Muda mwengine tukiuliza wanatujibu kikejeli sana kwamba "kwani mshahara si mnapata?, kama mnashida na hela mkakope si vigezo mnavyo" Hii ni kuonesha...
  7. Sifi Leo

    JamiiForums Tanzania Vikampuni vya mikopo online ni vikundi vya kausha damu, hivi Benki kuu imevisajili kweli? Mbona Zuri pesa wanatukana hivi?

    Aise, kwema wadauh? Leo nimecheka sana mwanangu mmoja alikopa elfu 40,000 wakampa 24,000/= badala ya 40,000 aise nilishangaa jamaa akala kiapo cha kutokulipa deni hilo, sasa hizo simu kutoka kwa zuri pesa ni balaa. Jamaa akaamua kuwatandika block la maana weee! UJUMBE uliofatia hapo ni balaa...
  8. jamaikatz

    JamiiForums Tanzania Ukijitoa out huwa unatumia kiasi gani cha pesa?

    Ukijitoa out huwa unatumia kiasi gani cha pesa?
  9. Funny boe

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Je ni kweli wanawake wanapenda pesa au ni uongo unaoenezwa na watu wasio na pesa?

    Wakuu naomba nielewe kidogo bila kubishana 😅 Je ni kweli wanawake wengi wanapenda pesa, au ni kauli tu ya watu waliopitia experience tofauti na wale wanaotafuta excuses na faraja ya umasikini wao Nauliza kwa ajili ya kuelewa mtazamo wa watu 🙏 NACHANGANYIKIWA MIMI Funny boe
  10. ChoiceVariable

    JamiiForums Tanzania Tanzania Iingize Pesa za Kujenga Kiwanda Cha kusafisha Mafuta Kwa Kushirikiana na Dangote Kenya na Uganda Zinaona Italeta Ushindani Kwa Mafuta Yao.

    Nimeona Dangote anawashawishi kina Museveni na Ruto kwamba Yuko tayari kujenga Kiwanda Cha Mafuta chenye Ukubwa kama kile Cha Nigeria kwenye Bandari ya Tanga ikiwa atapata ushirikiano kutoka Uganda na Kenya japo haijawekwa wazi ni ushirikiano wa kupata soko au wa fedha au source ya Mafuta. Kwa...
  11. O

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania KSh 200 imeleta majonzi! Mzee (100) akufa kwa stampede, siasa za pesa zawekwa kwa spotlight

    Wasee hii story imechafua timelines mbaya sana Video inayosambaa online inaonyesha fujo na msukumo mkubwa kwa rally ya huko Kisii. Ndani ya hiyo chaos, mzee wa miaka 100, Ombui Orandi, alianguka aka-trampled—akapoteza maisha… all this ikisemekana ilikuwa kwa rush ya pesa kidogo Wakati hii...
  12. mirindimo

    JamiiForums Tanzania Tanapa Nyanda za juu kusini wanasumbua sana wafugaji na kuwageuza sehemu za mitaji

    Habari iliyopo mezani Tanapa mikoa ya kusini wanasumbua sana wafugaji na kuwageuza sehemu za mitaji
  13. D

    JamiiForums Tanzania Tupeane mbinu mpya za kuhifadhi pesa za vikundi naona vm-koba kazi inataka kuwashinda

    Dalili ya Mvua ni Mawingu ndungu zangu, Hawa Mkoba online naona kama kazi inataka kuwashinda! Naomba tupeane Mbinu mpya ya kuhifadhi pesa za vikundi ambapo unaweza kuhifadhi kirahisi na kuipata kwa haraka muda wowote 24/7
  14. stabilityman

    JamiiForums Tanzania Pesa haileti mafanikio ila pesa inamfata aliyefanikiwa

    Habari Karibu tufungue ubongo . Kwanza nikueleze pesa haiendi kwa mtu asiye na potential cha kwanza uwe mtatua matatizo fulani basi pesa ndio itakufata
  15. A

    JamiiForums Tanzania KERO Selcom inatukata pesa nyingi kama 'penalty' kila unapokosea muamala

    Kero yangu ni selcom penalty, Selcom ulikuja kama mtandao (mobile wallet) mbadala kutokana na kuwa na makato madogo. Ila kwa sasa hali imebadilika umekua ni mtandao wa kukata watu hovyo ukifanya muamala imepelea hata shilingi moja pengine kwa kujua au kutokujua hawatumi meseji kuwa salio...
  16. A

    JamiiForums Tanzania KERO Halmashauri ya Wilaya ya Mkinga-Tanga Watumishi wanadai malimbikizo ya pesa za Kujikimu

    Halmashauri ya Wilaya ya Mkinga-Tanga , watumishi wanadai malimbikizo ya pesa za Kujikimu, pesa za Kupanda kwa madaraja, pesa za Uhamisho tusaidie...
  17. Nyota yangu

    JamiiForums Tanzania Kama una nyota ya ng'e tamka maneno haya kuvutia pesa kwako

    Watu wenye nyota ya ng'e ni watu wote waliozaliwa kati ya tarehe 23 oktoba mpaka tarehe 21 Novemba Kama unataka kufanikiwa kwenye jambo lako hasa linalohusu uchumi na kuvutia pesa kwako jizoeshe kujitamkia maneno yafuatayo mara kwa mara, sema : 1. Ninapokea na ninaikubali hela yoyote au zawadi...
  18. ERTUGRUL BEY

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Ndoa ni zaidi ya hofu ya kupoteza pesa au mali

    Ndoa si Biashara: Kujibu Hoja za Wanaokimbia Ndoa kwa Hofu ya Kiuchumi Katika miaka ya hivi karibuni, kumezuka Wimbi jipya la wanaume wanaopania kukaa mbali na ndoa. Hoja yao kuu? "Wanawake wanatumia ndoa kama mradi wa kujitajirisha." Ingawa ni kweli kuwa kuna visa vya watu kutumia vibaya mfumo...
  19. Chizi Maarifa

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Ukiwa na Pesa halafu Hendisamu kuna vitu huwezi fanya kwa mwanamke

    Huwezi hangaikia mwanamke. Kumfukuzia au yeye akuzungushe. Na ukiwa naye huhitaji kumfanya mpaka amalize. Ukimaliza wewe mwenye uhitaji inatosha. Sisi wenye pesa na mvuto mwanamke anamaliza kwa wakati. Mi nawaza issues za maana nikazane masaa mawili ili akojoe? No way. Siwezi. Nina pesa...
  20. M

    JamiiForums Tanzania Ukiachana na msemo " maisha yenyewe mafupi " ni msemo gani mwingine hutumia kujifariji ukitumia pesa nyingi kwenye starehe?

    Ukiachana na msemo " maisha yenyewe mafupi " ni msemo gani mwingine hutumia kujifariji ukitumia pesa nyingi Kwenye maisha kuna mambo mengi sana, kuna wakati mtu unaamua kujipa kafuraha unatumia pesa, ukistuka kibinda kimeenda kikubwa kiasi unataka kuumia roho ila unatafuta kamsemo ka kujifariji...
Back
Top Bottom