UZZIMMA
JF-Expert Member
- Nov 20, 2014
- 406
- 456
Mwaka huu namalizia diploma yangu ya civil engineering Mungu akioenda. Malengo yangu niunganishe degree ya kozii hii, ila kwa online university huku nafanya kazi za civil engineering technician.
Je, inawezekana? Na kama itawezekana ni vyuo gani hapa duniani ambavyo vyeti vyake vitakubalika na TCU na kimataifa?
NB:
Naomba majibu yazingatie lengo kuu la uzi huu.
Je, inawezekana? Na kama itawezekana ni vyuo gani hapa duniani ambavyo vyeti vyake vitakubalika na TCU na kimataifa?
NB:
Naomba majibu yazingatie lengo kuu la uzi huu.