number

A number is a mathematical object used to count, measure, and label. The original examples are the natural numbers 1, 2, 3, 4, and so forth. Numbers can be represented in language with number words. More universally, individual numbers can be represented by symbols, called numerals; for example, "5" is a numeral that represents the number five. As only a relatively small number of symbols can be memorized, basic numerals are commonly organized in a numeral system, which is an organized way to represent any number. The most common numeral system is the Hindu–Arabic numeral system, which allows for the representation of any number using a combination of ten fundamental numeric symbols, called digits. In addition to their use in counting and measuring, numerals are often used for labels (as with telephone numbers), for ordering (as with serial numbers), and for codes (as with ISBNs). In common usage, a numeral is not clearly distinguished from the number that it represents.
In mathematics, the notion of a number has been extended over the centuries to include 0, negative numbers, rational numbers such as one half




(



1
2



)



{\displaystyle \left({\tfrac {1}{2}}\right)}
, real numbers such as the square root of 2




(


2


)



{\displaystyle \left({\sqrt {2}}\right)}
and π, and complex numbers which extend the real numbers with a square root of −1 (and its combinations with real numbers by adding or subtracting its multiples). Calculations with numbers are done with arithmetical operations, the most familiar being addition, subtraction, multiplication, division, and exponentiation. Their study or usage is called arithmetic, a term which may also refer to number theory, the study of the properties of numbers.
Besides their practical uses, numbers have cultural significance throughout the world. For example, in Western society, the number 13 is often regarded as unlucky, and "a million" may signify "a lot" rather than an exact quantity. Though it is now regarded as pseudoscience, belief in a mystical significance of numbers, known as numerology, permeated ancient and medieval thought. Numerology heavily influenced the development of Greek mathematics, stimulating the investigation of many problems in number theory which are still of interest today.During the 19th century, mathematicians began to develop many different abstractions which share certain properties of numbers, and may be seen as extending the concept. Among the first were the hypercomplex numbers, which consist of various extensions or modifications of the complex number system. In modern mathematics, number systems (sets) are considered important special examples of more general categories such as rings and fields, and the application of the term "number" is a matter of convention, without fundamental significance.

View More On Wikipedia.org
  1. R

    JamiiForums Tanzania DAWASCO Wanakata maji bure wanaorejesha kwa kati ya 15,000 hadi 150,000 bila kutumia control number;

    Naungana na ACT wazalendo kwenye hoja yao waliyoelekeza kwa Waziri mwenye dhamana na masuala ya maji: wateja wanaolipia kuunganishiwa maji ni wengi lakini hakuna vifaa. Ukiuliza unaambiwa serikali haijatoa vifaa. Wateja wenye mifumo ya maji isiyotoa maji ni wengi na hakuna sababu za kwanini maji...
  2. benzemah

    JamiiForums Tanzania Kamanda Ng'anzi: Kuweka Plate number yenye 3D sio kosa

    Kamishna Msaidizi Mwandamizi wa Jeshi la Polisi Ramadhani Ng’anzi ameieleza Clouds FMkuwa sio kosa kwa mtu kutumia Plate Number zenye mfumo wa 3D ila tu kinachokatazwa ni mtu kujitengenezea namba hizo yeye mwenyewe mtaani ikiwa tenda hizo zimetolewa kwa watu maalum. Chanzo: Clouds Media
  3. gango2

    JamiiForums Tanzania Sioni mantinki kulalamika katazo Plate Namba za 3D

    Naona watu wengi wanalalamika Jeshi la polisi kupiga marufuku plate namba za 3D. Katika hali ya kawaida na mtu yoyote mwelevu hawezi kimbilia kuweka namba za 3D, ili hali akitambua 1. Plate number zina viwango ambazo zimethibitishwa na TBS pia. 2. Plate number zenyewe bila kuwekewa 3D zile...
  4. father-xmas

    JamiiForums Tanzania MSAADA: Naweza vipi ku delete number kwenye blocked contacts WhatsApp?

    .
  5. Siafu na Manga

    JamiiForums Tanzania Kamata kamata tinted taa za Magari

    Kwa wale waliobahatika kuwa na usafiri kama umebandika tinted kwenye taa za mbele na nyuma kuna msako wakukamata unafanywa na polisi --- Jeshi la Polisi kupitia Kitengo cha Usalama Barabarani limesema litaendelea kuwakamata madereva wa magari wanaoweka ‘tinted’ kwenye taa za mbele na nyuma...
  6. O

    JamiiForums Tanzania Nafanya maombi ya Award Verification Number

    Habari Naitwa MR AVN MASTER. Nimerudi tena. Nafanya Maombi ya AVN Number NACTE, kama umekwama popote ni inbox/ nitext kwa namba hizi 0622569980 tusaidiane. Usipoteze muda kwa kupigwa pending au Account Block. Nothing is impossible, nitext tusaidiane.
  7. J

    JamiiForums Tanzania Nina TIN Number ambayo sijawahi kuitumia kwa biashara yoyote zaidi ya kupatia leseni ya udereva, Je Tax Clearance nitadaiwa?

    Kama heading inavyojieleza, Tangu nipate TIN Number, Haijawahi kutumika kwa biashara isipokuwa tu ilitumika kipindi nahitaji leseni ya udereva, Je TIN hiyo naweza kuitumia kufungulia biashara sasa? Je katika kupata Tax Clearance kutakuwa na complications zozote? Nawasilisha.
  8. N

    JamiiForums Tanzania Certificate verification number RITA

    Habari za mchana wakuu? Poleni na majukumu ya hapa na pale. Naombeni mwongozo jinsi ya kupata certificate verification namba baada ya cheti kuhakikiwa RITA. Nimehakiki tayari na nimeendelea na maombi ya mkopo ila sehemu ya demographics inataka verification number ambayo kwenye vyeti...
  9. J

    JamiiForums Tanzania Mpango wa kuanza kutumia jamii namba (namba ya kipekee) kufikia uchumi wa kidigitali

    Mpango wa kuanza kutumia jamii namba (unique number) kwa ajili ya utoaji wa huduma nchini katika ujenzi wa mfumo wa utambulisho wa kidigitali kufikia uchumi wa kidijitali Wizara ya Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari (WHMTH) kwa kushirikiana na Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa...
  10. big dreamer

    JamiiForums Tanzania Gari aina ya Nissan Dualis inahitajika number E

    Mwenye gari dualis number E anichek PM. Pesa ipo mfuko wa shati NB: Madalali wenye tamaa hapana
  11. Teslarati

    JamiiForums Tanzania Wadogo zangu mnapotea, bila nidhamu ya pesa utaenda kukariri plate number za wenzako

    Ofcourse naelewa kwamba hakuna kupangiana matumizi, ila nisiposema hili nitakua sijatimiza wajibu wangu kama "kaka"(kwa baadhi ya wadogo zangu). Wadogo zangu, ukiwa bado hustler, kupiga dili ya laki 2 na ukaji-shukuru kwa kutumia laki moja na nusu ni upuuzi grade A. Usituone sisi tunalewa...
  12. Myahudi Jr II

    JamiiForums Tanzania TRA muda umepita wa kutoa "LIFETIME" "plate number" za magari, zilipiwe kila mwaka mtaondoa plate number fake nyingi

    Tukiwa katika majonzi ya kuuzwa kwa bandari na mimi naongeza majonzi TRA wakati umefika sasa tuache kutoka "plate number" za magari "lifetime period" tutoe plate number kwa Mwaka mtu anarenew baada ya mwaka kwa kulipia kiwango fulani cha pesa Faida; Mtapunguza sana wizi wa magari kwasababu...
  13. jahanbaksh

    JamiiForums Tanzania Utaratibu wa kuhamisha TIN number kutoka mkoa mmoja hadi mwingine

    Habarini wakuu, kama uzi unavyojieleza naomba kujua utaratibu wa kuhamisha Tin number ya biashara kutoka mkoa mmoja kwenda mwingine, natanguliza shukrani
  14. gimmy's

    JamiiForums Tanzania Msaada: Nimeomba 'Control Number' NACTE ya kulipia 10,000 badala ya 30,000. Sifahamu namna ya ku-cancel nianze upya

    Salaam, Wanabord ninaomba kufahamishwa kwa yeyote inaefahamu anisaidie kunifshamisha. Nacte wamefungua dirisha la udahili kwa vyuo vya afya ambapo deadline ni mwisho wa mwezi huu. Kwa kosa nililofanya la kupata control number ya 10,000 nitalazimika kuomba chuo kimoja tu hivyo nitakua na risk...
  15. Maleven

    JamiiForums Tanzania Wahenga, Kuongea bure baada ya dakika ya 3 :Tigo, My number 1: Vodacom

    Kama ulitumia hizi huduma nadhani sasa uko kwenye ndoa au unawatoto Kwakweli Tigo na Vodacom walisaidia sana mahusiano ya watu mana hata utaratibu wa kujiunga bando haukua sawa. Tigo unasubiri saa sita baada ya dk ya tatu, unakua unaongea bure mpanga asuburi Vodacom: unajiunga shiling 50...
  16. JITU BANDIA

    JamiiForums Tanzania Nimepata SMS ya kupokea hela kutoka NMB na sina akaunti

    Hawa scamers sasa wamezidi. Asubuhi hii napata ujumbe toka namba ambayo imekuja na logo name ya NMB na sina akaunt huko. Hii scam imekaaje wadau!? Hawa watu kweli ni piracy programmers.👇
  17. Jeff

    JamiiForums Tanzania Kutumia gari yenye plate number za nchi jirani

    Wadau habarini za leo Naomba kujuzwa je kuna uwezekano nikuwa na gari lenye plate number za nchi jirani na nikata kuitumia hapa nchini kwetu Tanzania kwa muda then ndio nibadilishe nmaba kwa kufanya usajili? Ni taratibu zipi zinatumika kutumia gari hiyo hapa nchini? Mana niliwahi kusikia kuwa...
  18. muhabarishaji

    JamiiForums Tanzania How to Send an Email to a Phone Number

    Email is one of the most essential communication tools we have today. Almost everyone has an email account to send and receive messages to their personal and business contacts. What most people don’t know is how to send an email to a phone number. This can be useful for various situations...
  19. Robert Heriel Mtibeli

    JamiiForums Tanzania Usije ukajidanganya na hii kauli ya "Age is just a number"

    Anaandika, Robert Heriel Mtibeli Sio vibaya kujipa moyo Kwa MTU ambaye bado mambo yake yamemuendea mrama, yamemuendea kombo. Kauli hiyo hutumiwa kuwa-motivate Watu ambao wapo katika Zone ya hatari au katika hali ya kuchelewa. Kanuni kuu ya Maisha katika masuala ya muda ni kuwa "Kila Jambo...
  20. K

    JamiiForums Tanzania Nimefuta na kublock namba 50 kwenye simu yangu za wanaojiita marafiki zangu

    Last week siku ya tarehe 31 December, nilipanga nifanye tathmini ya aina ya marafiki zangu nilionao. Kiukweli mimi ni mtu wa kujitoa sana when it comes to matatizo ya wenzangu wanaonizunguka, nikisikia msiba wa rafiki ntaubeba kama wetu vile, rafiki akiniomba kitu kama kiko ndani ya uwezo wangu...
Back
Top Bottom