jerryperry2020
Member
- Jul 28, 2020
- 38
- 49
Nawasalimu wadau
Bila kupoteza muda, miaka ya hivi karibuni kumekuwa na ongezeko kubwa sana la wamiliki wa magari kutembeza magari yao wakiwa wametoa plate number ya mbele na kuziweka ndani, hii hali nimeiona zaidi nikiwa mkoa wa dodoma.
Sasa sijui ndo mageuzi au basi tu ni kupungua kwa usimamizi maana sasa inaanza kuwa ni fasheni. Watu wanaigana kila siku hasa hawa wa subaru na alteza ndo wanazidi kuongezeka.
Au ndo mpaka tamko litoke?
Kweli tutafika tumechoka.
Bila kupoteza muda, miaka ya hivi karibuni kumekuwa na ongezeko kubwa sana la wamiliki wa magari kutembeza magari yao wakiwa wametoa plate number ya mbele na kuziweka ndani, hii hali nimeiona zaidi nikiwa mkoa wa dodoma.
Sasa sijui ndo mageuzi au basi tu ni kupungua kwa usimamizi maana sasa inaanza kuwa ni fasheni. Watu wanaigana kila siku hasa hawa wa subaru na alteza ndo wanazidi kuongezeka.
Au ndo mpaka tamko litoke?
Kweli tutafika tumechoka.