nigeria

  1. R

    JamiiForums Tanzania Wanawake wa Nigeria Waandamana Kudai uwakilishi wa Viti Maalum Bungeni. Wanawake Watanzania mko wapi?

    Nauliza wanawake wa Bongo mko wapi kudai mabadiliko kwenye masuala ya uongozi? Mmezubaa sana jamani. Em jitahidini. Hili la Nigeria liwe funzo kwenu ===== Leo Septemba 22, 2025 Mamia ya wanawake waliandamana jijini Abuja, mji mkuu wa Nigeria, wakishinikiza kupitishwa kwa muswada...
  2. eli -DEFIANT- cohen

    JamiiForums Tanzania Naamini kuna mamlaka zinazohakikisha kile kinachopaswa kuzungumzwa ni Palestine pekee huku maeneo kama Sudan, Syria, Nigeria kaskazini, etc.. kimya

    Jeshi la houthi lisababisha vifo ya mamilioni ya watoto huko yemen na kuacha utapia mlo ambao upo hadi leo unatesa watoto. Jeshi la ISIS liliwateka wanawake wa kisyria na iraq na kuwageuza watumwa wa kingono na wengine kuwauza kwa watu wengine. Jeshi la boko haram limesababisha chaos nigeria...
  3. Chizi Maarifa

    JamiiForums Tanzania Siku hazirudi nyuma: Naikumbuka sana hii Nigeria. Nalia kwa uchungu

    Ya akina Daniel Amokachi, Emmanuel Amunike, Babangida, Rashid Yekin, Emmanuel Okocha, Taribo West, Uche Ukwechuku, George Finidi, Sunday Oliseh, Samson Siasia, Victor Ikpeba, Peter Rufai, Peter Rufai,.... Huwa napowakumbuka hawa jamaa naenda room najifungia nalia sana. Nalia , kisha nalia na...
  4. Dalton elijah

    JamiiForums Tanzania si kweli kuwa Nigeria ndio taifa lililoelimika zaidi barani Afrika

    Mnano agosti 24 2025 kumekuwa a chapisho ambalo linasambaa kwenye mitandao ya kijamii hasa facebook likieleza kuwa taifa la Nigeria ndio taifa ambalo limeelika zaidi huku likifuatiwa na mataifa kadha wa kadha barani afrika …. kando na halo chapisho hilo linasomeka kuwa nchi zilizoelimika zaidi...
  5. R

    JamiiForums Tanzania Jeshi la Anga la Nigeria limewaokoa watu 76 waliotekwa nyara

    Kwa mujibu wa taarifa zilizotolewa na Mamlaka Agosti 23, 2025, Jeshi la Anga la Nigeria limewaokoa watu 76 waliokuwa wametekwa nyara, wakiwemo wanawake na watoto, baada ya kufanya shambulio la angani kwa usahihi kwenye ngome ya majambazi katika jimbo la Katsina Kaskazini Magharibi. Operesheni...
  6. Lord Denning

    JamiiForums Tanzania GE2025 State Capture: Kuna tofauti ndogo sana kati ya hawa wawili. Imeichukua Nigeria miongo karibu 2 kupona, sijui Tanzania itakuwaje?

    HAKUNA JIPYA CHINI YA JUA Wote ni Wanajeshi waliokulia Jeshini na kuingia kwenye uongozi wa kisiasa. Wote walitengeneza mitandao ya Kimafia iliyoamua nani awe nani kwenye Mataifa yao kwa miaka mingi. Wote wana sifa moja. Ongea ya bashasha, kucheka na wewe usoni ukiwa hujui wanakuwazia nini...
  7. Isenye

    JamiiForums Tanzania Hivi maisha ya Nigeria yakoje?

    Kuna mtu wangu wa karibu anaenda safari Nigeria. Ningependa kujua maisha ya huko yakoje kuanzia usalama,social life,vyakula na mambo mengine ya msingi.
  8. Royal Son

    JamiiForums Tanzania Kisa cha tapeli aliyeuza uwanja wa ndege Nigeria

    🛫 Emmanuel Nwude: Mtu Aliyewauzia Wazungu Uwanja wa Ndege Ulio Hewa Katika historia ya dunia, matapeli wengi wamejaribu njia mbalimbali za kujipatia mali kwa ujanja. Lakini ni wachache sana waliowahi kufanikisha kile alichokifanya Emmanuel Nwude, raia wa Nigeria ambaye alitapeli benki kubwa ya...
  9. Dalton elijah

    JamiiForums Tanzania TANZIA Rais wa zamani wa Nigeria, Muhammadu Buhari, afariki dunia

    Rais wa Nigeria Bola Tinubu ametangaza kifo cha Rais wa zamani Muhammadu Buhari, ambaye amefariki Jumapili mjini London baada ya kuugua kwa muda mrefu. Licha ya tangazo hilo familia ya Mohamed nayo imethibitisha kifo hicho cha Raisi huyo Baada ya taarifa hiyo Makamu wa Rais Kassim Shettima...
  10. Solo Traveller

    JamiiForums Tanzania UAE yasitisha maombi ya visa kwa raia wa Nigeria kulikoni?

    Wapopo wamefanya Nini mpaka wamepigwa marufuku kuingia Dubai?
  11. The Zanzibar Echo

    JamiiForums Tanzania Boko Haram waua watu 9 na kujeruhi wengine Nigeria

    Mamlaka nchini Nigeria zimesema wanamgambo wa Boko Haram wamewaua watu 9 na kuwajeruhi wengine 4 kaskazini mashariki mwa nchi hiyo.Mamlaka nchini Nigeria zimesema wanamgambo wa Boko Haram wamewaua watu 9 na kuwajeruhi wengine 4 kaskazini mashariki mwa nchi hiyo. Shambulio hilo limefanywa na...
  12. SweetyCandy

    JamiiForums Tanzania SI KWELI Nigeria watu wasio na mahusiano (Single) watafungwa jela

    Nigeria Single ladies and men wanafungwa kwa kulala siku nzima nakupoteza oxygen ya buree.
  13. Yoda

    JamiiForums Tanzania Maisha ya Waafrika hayana thamani kwa Waafrika wenzao? Nigeria watu wamechinjwa kama kuku na magaidi ila kimya tu!

    Wakati dunia nzima imejikita katika vita vya Iran na Israel huko Nigeria kwa mashemeji zetu katika jimbo la Benue watu zaidi ya 200 wamechinjwa kama kuku na magaidi wiki hii ila hizo habari hazipewi uzito wowote hata na Waafrika wenyewe! Mzungu wa huko Vatican Roma ndiye amezipa umuhimu na...
  14. Yoda

    JamiiForums Tanzania Nini maana ya Nigeria kuwa na uchumi mkubwa Africa ikiwa raia wake milioni 90 hawana umeme?

    Nigeria ni mojawapo ya mataifa ya hovyo sana Africa, mzalishaji namba moja wa mafuta Africa raia wake milioni 90 hawana umeme, yani 40% ya watu wake bado wanaishi kwa vibatari!
  15. M

    JamiiForums Tanzania Wafanyakazi Wasafi hawajalipwa mishahara miezi kadhaa ila bosi wao anaonekana anatunza mamilioni kwenye harusi Nigeria

    Habari wadau. Wafanyakazi wa wasafi walalamika kucheleweshewa mishahara yao. Huku bosi wao akionekana nigeria akitunza mamilioni ya pesa. Baada ya kutunza harusini Aliingia club na kugawa dola mia mia kwa watu wengii Hasiowajua.. ila wafanyakazi wake anaewajua mishahara hakuna Waajiri muwe...
  16. MK254

    JamiiForums Tanzania Magaidi wenye mlengo wa kiislamu wachinja watu 22 Nigeria

    Waafrika wanachinja Waafrika wenzao kisa uislamu, wanaendelea kuchinja kwa kwenda mbele, wana hasira hata kuzidi muarabu mwenye dini yake...... =========================== Suspected Islamist militants killed at least 22 people and wounded several others in two separate attacks over the weekend...
  17. eli -DEFIANT- cohen

    JamiiForums Tanzania Wana Nigeria wana influence kubwa katika Mitandao, wanamtrendisha sana Jux

    Hata ukipress hio trend unaona vyombo vikubwa vya nigeria vikmzunguzia yeye. Tangia mwamba amepata jiko kutoka nigeria, amekuwa talk of town karibia. Africa Magharibi nzima. Sasa aitumie kama fursa, asikae kizembe
  18. TODAYS

    JamiiForums Tanzania Mama amkamatwa kwa kumchoma msumari kichwani mtoto wa kambo kwa kupoteza Naila 1,000

    Habari hii iliripotiwa kwa mara ya kwanza mnamo Oktoba 9, 2024, kupitia jukwaa la Nairaland. Katika tukio hilo la kusikitisha, mwanamke mmoja nchini Nigeria alikamatwa kwa kosa la kumchoma msumari kichwani mtoto wake wa kambo baada ya mvulana huyo kupoteza naira 1,000 alizopewa kwenda dukani...
  19. M

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania zama za kuoa bila malengo zimeshaisha. Jux aingiza mamilioni kwenye digital platforms za Nigeria kwa kupitia ndoa yake

    nyimbo ya jux aliyeitoa kwa ajili harusi yake yashika namba mbili na wimbo mwingine namba tatu kwenye itunes nigeria,, nigeria ni nchi yenye idadi ya watu milioni 230, kwa nyimbo ya jux kutrend kwenye soko la nigeria tu jux anaingiza mamilioni ya pesa kwenye digital platforms
  20. Yoda

    JamiiForums Tanzania Magaidi waua watu 56 eneo la kati la Nigeria.

    Ni muendelezo wa mauaji ya kigaidi huko Nigeria katika mkesha wa pasaka.
Back
Top Bottom