Wakati dunia nzima imejikita katika vita vya Iran na Israel huko Nigeria kwa mashemeji zetu katika jimbo la Benue watu zaidi ya 200 wamechinjwa kama kuku na magaidi wiki hii ila hizo habari hazipewi uzito wowote hata na Waafrika wenyewe!
Mzungu wa huko Vatican Roma ndiye amezipa umuhimu na...
Nigeria ni mojawapo ya mataifa ya hovyo sana Africa, mzalishaji namba moja wa mafuta Africa raia wake milioni 90 hawana umeme, yani 40% ya watu wake bado wanaishi kwa vibatari!
Habari wadau.
Wafanyakazi wa wasafi walalamika kucheleweshewa mishahara yao. Huku bosi wao akionekana nigeria akitunza mamilioni ya pesa. Baada ya kutunza harusini Aliingia club na kugawa dola mia mia kwa watu wengii Hasiowajua.. ila wafanyakazi wake anaewajua mishahara hakuna
Waajiri muwe...
Waafrika wanachinja Waafrika wenzao kisa uislamu, wanaendelea kuchinja kwa kwenda mbele, wana hasira hata kuzidi muarabu mwenye dini yake......
===========================
Suspected Islamist militants killed at least 22 people and wounded several others in two separate attacks over the weekend...
Hata ukipress hio trend unaona vyombo vikubwa vya nigeria vikmzunguzia yeye.
Tangia mwamba amepata jiko kutoka nigeria, amekuwa talk of town karibia. Africa Magharibi nzima.
Sasa aitumie kama fursa, asikae kizembe
Habari hii iliripotiwa kwa mara ya kwanza mnamo Oktoba 9, 2024, kupitia jukwaa la Nairaland. Katika tukio hilo la kusikitisha, mwanamke mmoja nchini Nigeria alikamatwa kwa kosa la kumchoma msumari kichwani mtoto wake wa kambo baada ya mvulana huyo kupoteza naira 1,000 alizopewa kwenda dukani...
nyimbo ya jux aliyeitoa kwa ajili harusi yake yashika namba mbili na wimbo mwingine namba tatu kwenye itunes nigeria,, nigeria ni nchi yenye idadi ya watu milioni 230, kwa nyimbo ya jux kutrend kwenye soko la nigeria tu jux anaingiza mamilioni ya pesa kwenye digital platforms
Kupitia harusi ya Jux kule Nigeria nimepata somo kubwa sana.
A:
1. Nigeria 🇳🇬 wanaheshimu sana mila
2. Nigeria 🇳🇬 ni wachangamfu sana
3. Nigeria 🇳🇬 wana vibe kubwa
4. Nigeria 🇳🇬 kwenye Sherehe watu wote wamechangamka , wana furaha na tabasamu.
B:
1. Tanzania 🇹🇿 mila ni kwa kiasi kidogo...
Kwa mchango wa Wasanii wetu katika ushindi wa Chama. Jux alistahili Boeing 787 impeleke pamoja na Wasanii wote Lagos achukue jiko na kumrudisha nchini. Pia ubalozi wetu Abuja ilipaswa kushiriki kikamilifu kwenye harusi hii ya kipekee.
NB: Maada hii ipo kwa kutoa elimu ya kifedha, ndoa imetumika kama tukio maarufu la kutoa elimu, Jux na mke wake wawe na ndoa njema,
Kibunda chenye noti 500 huku kwetu ukijaza misimbazi kina thamani ya shilingi milioni 5, kule Nigeria ukijaza Noti zao unapata jumla ya Naira laki 5 (₦ 500,000)...
Habari wakuu,
Bwana mi nimewamiss,
Ila ngoja twende kwenye mada yetu ya huyu baro Jux na Vee Money mpambano unaendelea.
JUX kwanini aoe Nigeria?
Mi sijui naona Nini, ila ni kama naona Kuna mpambano wa Simba na Yanga.
Yaani naona kama Jux anacheza na mpinzani mwenzake ambaye ni X wake wa...
Kuna majimbo ya huko Nigeria ya Kaskazini na Plateau kusikia watu wamechinjwa au wametekwa kwa sababu za kidini na magaidi ni jambo la kawaida tu ila sijawahi kusikia serikali yao ikifanya operations kubwa za kijeshi kuyadhibiti magaidi wauaji au hata UN, jumuiya za kimataifa na mataifa yenye...
Makundi ya Waislam wa jamii ya Fulani wanaendelea kuua kwa kuwachinja Wakristu huko Nigeria safari hii Wakristu 52 wamechinjwa huko katika jimbo la Plateau katika eneo la Bokkos.
Eneo hili ni lile lile ambalo Wakristu 300 waliuawa na Waislam mwaka 2023...
Rais wa Nigeria, Bola Tinubu ameelekea Paris kwa ziara fupi, ambapo atatathmini utendaji wa serikali yake na kutathmini mafanikio ya mageuzi yanayoendelea.
Taarifa iliyotolewa na Msemaji wa Rais, imesema Rais Tinubu atatumia pia ziara hiyo kupanga mikakati kabla ya maadhimisho ya miaka miwili...
Baada ya kukaa jela kwa miaka minane mwinjilisti kutoka Nigeria anayetuhumiwa kuwabaka wasichana wa kanisa lake la Afrika Kusini amepatikana hana hatia kwa mashtaka yote.
Timothy Omotoso alikuwa amekanusha mashtaka 32 katika kesi iliyorushwa moja kwa moja na kufuatiliwa kwa kiasi kikubwa Afrika...
Sio kila nchi inaendana na ajenda ya BRICS ya kubadilisha dola ya Marekani na sarafu za ndani kwa mafuta. Kulipa malipo ya mafuta kwa fedha za ndani kunaleta hatari kubwa ambayo inaweza kuathiri hifadhi ya fedha za kigeni za nchi. Manunuzi ya mafuta yamekuwa yakilipwa kihistoria kwa dola ya...
Oluwasegun, bingwa wa zamani wa kitaifa na Afrika Magharibi katika daraja lake la uzani, alipoteza fahamu katika raundi ya tatu ya pambano lake la Ligi ya Ndondi ya Kulipwa ya Ghana dhidi ya bondia wa Ghana Jon Mbanugu kwenye Uwanja wa Ndondi wa Bukom mjini Accra siku ya Jumamosi
Mamlaka ya...
For foreign investors looking at Nigeria's growing economy, here's what you need to know about company registration in Nigeria in 2025:
Key Facts:
Processing time: 5-7 working days (faster options available)
100% foreign ownership allowed
Minimum capital: ₦100 million (~$62,500) for...
Magaidi wa ISWAP wakishirikiana na Boko Haram, wote wenye mlengo wa uislamu wavamia kambi ya kijeshi na kufanya maafa kule Nigeria.
Hawa ISWAP sikua nawajua, duh yaani mwezi wao mtukufu ndio huwa na ushetani mara kumi......mpinga Kristo katika ubora wake.
==========================
Suspected...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.