nigeria

  1. Waufukweni

    JamiiForums Tanzania AET | Nigeria 0-0 Morocco (Pen 2-4) | AFCON 2025 | Nusu Fainali | Stade Prince Moulay Abdallah

    Nigeria vs Morocco katika Nusu Fainali ya AFCON 2025 mchezo uliopangwa kufanyika kwenye Stade Prince Moulay Abdallah, Rabat ni pambano la kihistoria kati ya nchi mbili kuu za soka barani Afrika ambazo zote zimefika kwenye hatua hii bila kupoteza mechi yoyote katika mashindano haya. Nigeria ina...
  2. W

    JamiiForums Tanzania Wamorocco wanunua tiketi zote kwenye mechi dhidi ya Morocco na Nigeria AFCON

    Mashabiki wengi wa timu ya Taifa ya Nigeria wanahofu ya kukosa nafasi ya kuingia uwanjani kuiunga mkono timu yao hii leo , kwa sababu mashabiki wa Morocco wamenunua tiketi zote. Hii sio mara ya kwanza kwa Morocco kufanya hivyo, walifanya hivyo mwaka jana wakati wa fainali ya timu ya wanawake...
  3. M

    JamiiForums Tanzania Bondia Anthony Joshua apata ajali Nigeria, wawili wafariki dunia

    Bondia maarufu wa Uingereza na Nigeria,Anthony Joshua amepata ajali ya barabarani katika eneo la Makun, jimbo la Ogun, nchini Nigeria. Ajali hiyo imetokea katika barabara kuu ya Lagos-Ibadan, ambapo gari lake aina ya Lexus Jeep liligongana na gari lingine ambalo lilikuwa limesimama. Joshua...
  4. stakehigh

    JamiiForums Tanzania Jux anaigiza kwenye tamthilia moja Nigeria

  5. R

    JamiiForums Tanzania Trump anaisaidia Nigeria kuwaangamiza Boko Haram kwa bile wanaua watu

    Anachofanya ni Haki? Kama ni haki dunia imuunge mkono na atembelee na vinchi vinginevyo ambavyo vinaua kubaki madarakani.
  6. fimboyaukwaju

    JamiiForums Tanzania Hassan Mwakinyo ameibuka mshindi kwa knockout (KO) dhidi ya mpinzani wake, Eribo kutoka Nigeria, baada ya kumaliza pambano mapema raundi ya pili

    Wadau hivi hili pambano la mwakinyo ni kweli au kiini macho?
  7. Mad Max

    JamiiForums Tanzania AFCON 2025 Group C kuingia Round ya 16 Watapita Nigeria na Tunisia

    Sidhani kama ili nalo linahitaji kubet, ila Nigeria na Tunisia wataingia round ya mtoano. Hao wengine wote mwaka mpya wanakula wakiwa kwao.
  8. Lycaon pictus

    JamiiForums Tanzania Marekani wamewashambulia "magaidi" wa Nigeria

    Marekani kwa kushirikiana na Serikali ya Nigeria, imewashambulia magaidi huko kaskazini magharibi mwa Nigeria. Trump anadai anapambana na magaidi wanaowashambulia wakristo wa Nigeria. Serikali ya US imedai kuwa mashambulizi hayo ni endelevu iwapo magaidi hawataacha njia zao ovu.
  9. M

    JamiiForums Tanzania Zaidi ya shilingi bilioni 100 zilipatikana nyumba mojawapo ya mkuu wa usalama wa taifa Nigeria, alifukuzwa kazi bila hukumu, bado anafaidi maisha

    Viongozi wa Afrika kwenye mali za umma wawekewe restrictions kali kwasababu default settings wanawaza UPIGAJI Mnamo Aprili 2017, Taasisi ya kupambana na rushwa wa Nigeria iligundua kiasi kikubwa cha fedha taslimu katika ghorofa moja eneo la Ikoyi, Lagos, takribani dola milioni 43 za Marekani...
  10. Its Tesha

    JamiiForums Tanzania FT Nigeria 2-1 Tanzania| AFCON 2025| Group Stage| Group C| Match 1 of 3|

    Timu ya Taifa ya Tanzania, Taifa Stars, inaendelea kukumbwa na wakati mgumu nchini Morocco baada ya kuruhusu bao moja hadi kufikia dakika ya 40 ya kipindi cha kwanza katika mchezo dhidi ya Nigeria. Ikumbukwe kuwa msafara wa Taifa Stars unaongozwa na Naibu Waziri wa Wizara ya Habari, Utamaduni...
  11. BIG BROTHER ALEX

    JamiiForums Tanzania Tetesi: Show ya Diamond na Jux Nigeria imebuma, spana na utu, spana ziendelee

    Katika Hali ya kushangaza watu wamejiuliza hivi wanigeria nao wamesusa? Ukitoa waandishi wa habari, na familia ya mke wa jux uwanja unabaki holaaa Yani unaweza hata wahesabu, na ukagawa chai na vitumbua vinne na bado ukarudi navo. Muheshimiwa waziri na msemaji wetu girishoni tunaomba show...
  12. Mafyangula

    JamiiForums Tanzania Farouk Ahmed, CEO wa Mamlaka ya Udhibiti wa Sekta ya Mafuta ya Petroli ya Kati na ya Chini ya Nigeria ajiuzulu

    Farouk Ahmed, Mtendaji Mkuu (CEO) wa Mamlaka ya Udhibiti wa Sekta ya Mafuta ya Petroli ya Kati na ya Chini ya Nigeria (NMDPRA), amejiuzulu
  13. The Palm Beach

    JamiiForums Tanzania Facts about Africa: Four countries dominate every sector - Nigeria, South Africa, Morocco & Egypt

    (1) Largest country in Africa by land mass - Algeria 🇩🇿 2) Largest country in Africa by population - Nigeria 🇳🇬 3) Largest movie industry in Africa - Nigeria 🇳🇬 4) Largest democracy in Africa - Nigeria 🇳🇬 5) Richest Black man - Nigerian 🇳🇬 6) Richest African woman - Nigerian 🇳🇬 7) largest...
  14. R

    JamiiForums Tanzania Waziri wa Ulinzi Nigeria ajiuzulu kufuatia hali ya usalama na Matukio ya Utekaji

    Waziri wa Ulinzi wa Nigeria, Mohammed Badaru Abubakar, amejiuzulu mara moja kutokana na sababu za kiafya, Ikulu ya nchi hiyo imethibitisha Jumatatu. Hatua hii imekuja wakati taifa hilo likikumbwa na msururu wa matukio ya utekaji wa watu, hasa wanafunzi, yaliyosababisha Rais Bola Tinubu kutangaza...
  15. Bawabu wa pili

    JamiiForums Tanzania Nigeria: Matukio ya utekaji bado ni mwiba kwa wananchi

    Afrika taabu sana aisee! Watu wenye silaha wamevamia Kijiji cha Chacho kilichopo jimbo la Sokoto, kaskazini magharibi mwa Nigeria, na kuwateka Wanawake 13, akiwemo mtoto mdogo.Utekaji huo ulitokea usiku wa Novemba 29, na umeongeza hofu miongoni mwa wakazi kutokana na ongezeko la matukio ya...
  16. Kijakazi

    JamiiForums Tanzania Trump aahidi kuwalinda Wakristo nchini Nigeria!

    Rais Donald Trump (Mungu ambariki sana) amesema atatumia US military might kulinda Christians wanaouliwa na muslim jihadists nchini Nigeria. God Bless D.Trump ... ————— Christianity is facing an existential threat in Nigeria. Thousands of Christians are being killed. Radical Islamists are...
  17. J

    JamiiForums Tanzania Ukweli ni kwamba kuna Mauaji ya Kimbari ya Wakiristo yanaendelea Nigeria

    Ni muda mrefu sasa maskini wawatu, wakiristo wa Nigeria wamekuwa wakichinjwa na Waislamu wenye Siasa Kali huko Nigeria katika maeneo ya kaskazini na kwa siku za karibuni Central Plateau States. Kibaya zaidi Serikali ya Nigeria hasa baada ya kuingia madarakani the Islamist Muhammad Bhukhari...
  18. Damaso

    JamiiForums Tanzania Aggy Baby Aibuka mshindi wa Tuzo Nigeria, je kwa vigezo gani?

    Msanii Agness Suleiman maarufu kama Aggy Baby, ameibuka mshindi wa Tuzo ya Muigizaji Bora wa Kike wa Mwaka 2025 katika Achievers Awards International zilizofanyika nchini Nigeria, kutokana na mchango wake katika sanaa na huduma kwa jamii. Tuzo hiyo imeelezwa kuwa ni alama muhimu ya ushirikiano...
  19. Yoda

    JamiiForums Tanzania Kwa nini mauaji ya kimbari ya Wakristo Nigeria na DRC hayapewi uzito mkubwa kama Gaza?

    Maelfu ya Wakristo wameuwawa Nigeria kwa miongo miwili mfululizo na magaidi wa Boko Haram lakini hakuna kelele kubwa katika vyombo vya habari Africa wala popote duniani. Huko DRC magaidi wanachinja watu lakini hakuna kelele. Maisha ya Waafrika hayana thamani kama ya Waarabu na Wazungu?!
  20. R

    JamiiForums Tanzania Wanawake wa Nigeria Waandamana Kudai uwakilishi wa Viti Maalum Bungeni. Wanawake Watanzania mko wapi?

    Nauliza wanawake wa Bongo mko wapi kudai mabadiliko kwenye masuala ya uongozi? Mmezubaa sana jamani. Em jitahidini. Hili la Nigeria liwe funzo kwenu ===== Leo Septemba 22, 2025 Mamia ya wanawake waliandamana jijini Abuja, mji mkuu wa Nigeria, wakishinikiza kupitishwa kwa muswada...
Back
Top Bottom