nigeria

  1. Mafyangula

    Farouk Ahmed, CEO wa Mamlaka ya Udhibiti wa Sekta ya Mafuta ya Petroli ya Kati na ya Chini ya Nigeria ajiuzulu

    Farouk Ahmed, Mtendaji Mkuu (CEO) wa Mamlaka ya Udhibiti wa Sekta ya Mafuta ya Petroli ya Kati na ya Chini ya Nigeria (NMDPRA), amejiuzulu
  2. The Palm Beach

    Facts about Africa: Four countries dominate every sector - Nigeria, South Africa, Morocco & Egypt

    (1) Largest country in Africa by land mass - Algeria 🇩🇿 2) Largest country in Africa by population - Nigeria 🇳🇬 3) Largest movie industry in Africa - Nigeria 🇳🇬 4) Largest democracy in Africa - Nigeria 🇳🇬 5) Richest Black man - Nigerian 🇳🇬 6) Richest African woman - Nigerian 🇳🇬 7) largest...
  3. R

    Waziri wa Ulinzi Nigeria ajiuzulu kufuatia hali ya usalama na Matukio ya Utekaji

    Waziri wa Ulinzi wa Nigeria, Mohammed Badaru Abubakar, amejiuzulu mara moja kutokana na sababu za kiafya, Ikulu ya nchi hiyo imethibitisha Jumatatu. Hatua hii imekuja wakati taifa hilo likikumbwa na msururu wa matukio ya utekaji wa watu, hasa wanafunzi, yaliyosababisha Rais Bola Tinubu kutangaza...
  4. Bawabu wa pili

    Nigeria: Matukio ya utekaji bado ni mwiba kwa wananchi

    Afrika taabu sana aisee! Watu wenye silaha wamevamia Kijiji cha Chacho kilichopo jimbo la Sokoto, kaskazini magharibi mwa Nigeria, na kuwateka Wanawake 13, akiwemo mtoto mdogo.Utekaji huo ulitokea usiku wa Novemba 29, na umeongeza hofu miongoni mwa wakazi kutokana na ongezeko la matukio ya...
  5. Kijakazi

    Trump aahidi kuwalinda Wakristo nchini Nigeria!

    Rais Donald Trump (Mungu ambariki sana) amesema atatumia US military might kulinda Christians wanaouliwa na muslim jihadists nchini Nigeria. God Bless D.Trump ... ————— Christianity is facing an existential threat in Nigeria. Thousands of Christians are being killed. Radical Islamists are...
  6. J

    Ukweli ni kwamba kuna Mauaji ya Kimbari ya Wakiristo yanaendelea Nigeria

    Ni muda mrefu sasa maskini wawatu, wakiristo wa Nigeria wamekuwa wakichinjwa na Waislamu wenye Siasa Kali huko Nigeria katika maeneo ya kaskazini na kwa siku za karibuni Central Plateau States. Kibaya zaidi Serikali ya Nigeria hasa baada ya kuingia madarakani the Islamist Muhammad Bhukhari...
  7. Damaso

    Aggy Baby Aibuka mshindi wa Tuzo Nigeria, je kwa vigezo gani?

    Msanii Agness Suleiman maarufu kama Aggy Baby, ameibuka mshindi wa Tuzo ya Muigizaji Bora wa Kike wa Mwaka 2025 katika Achievers Awards International zilizofanyika nchini Nigeria, kutokana na mchango wake katika sanaa na huduma kwa jamii. Tuzo hiyo imeelezwa kuwa ni alama muhimu ya ushirikiano...
  8. Yoda

    Kwa nini mauaji ya kimbari ya Wakristo Nigeria na DRC hayapewi uzito mkubwa kama Gaza?

    Maelfu ya Wakristo wameuwawa Nigeria kwa miongo miwili mfululizo na magaidi wa Boko Haram lakini hakuna kelele kubwa katika vyombo vya habari Africa wala popote duniani. Huko DRC magaidi wanachinja watu lakini hakuna kelele. Maisha ya Waafrika hayana thamani kama ya Waarabu na Wazungu?!
  9. R

    Wanawake wa Nigeria Waandamana Kudai uwakilishi wa Viti Maalum Bungeni. Wanawake Watanzania mko wapi?

    Nauliza wanawake wa Bongo mko wapi kudai mabadiliko kwenye masuala ya uongozi? Mmezubaa sana jamani. Em jitahidini. Hili la Nigeria liwe funzo kwenu ===== Leo Septemba 22, 2025 Mamia ya wanawake waliandamana jijini Abuja, mji mkuu wa Nigeria, wakishinikiza kupitishwa kwa muswada...
  10. ELI COHEN

    Naamini kuna mamlaka zinazohakikisha kile kinachopaswa kuzungumzwa ni Palestine pekee huku maeneo kama Sudan, Syria, Nigeria kaskazini, etc.. kimya

    Jeshi la houthi lisababisha vifo ya mamilioni ya watoto huko yemen na kuacha utapia mlo ambao upo hadi leo unatesa watoto. Jeshi la ISIS liliwateka wanawake wa kisyria na iraq na kuwageuza watumwa wa kingono na wengine kuwauza kwa watu wengine. Jeshi la boko haram limesababisha chaos nigeria...
  11. Chizi Maarifa

    Siku hazirudi nyuma: Naikumbuka sana hii Nigeria. Nalia kwa uchungu

    Ya akina Daniel Amokachi, Emmanuel Amunike, Babangida, Rashid Yekin, Emmanuel Okocha, Taribo West, Uche Ukwechuku, George Finidi, Sunday Oliseh, Samson Siasia, Victor Ikpeba, Peter Rufai, Peter Rufai,.... Huwa napowakumbuka hawa jamaa naenda room najifungia nalia sana. Nalia , kisha nalia na...
  12. Dalton elijah

    si kweli kuwa Nigeria ndio taifa lililoelimika zaidi barani Afrika

    Mnano agosti 24 2025 kumekuwa a chapisho ambalo linasambaa kwenye mitandao ya kijamii hasa facebook likieleza kuwa taifa la Nigeria ndio taifa ambalo limeelika zaidi huku likifuatiwa na mataifa kadha wa kadha barani afrika …. kando na halo chapisho hilo linasomeka kuwa nchi zilizoelimika zaidi...
  13. R

    Jeshi la Anga la Nigeria limewaokoa watu 76 waliotekwa nyara

    Kwa mujibu wa taarifa zilizotolewa na Mamlaka Agosti 23, 2025, Jeshi la Anga la Nigeria limewaokoa watu 76 waliokuwa wametekwa nyara, wakiwemo wanawake na watoto, baada ya kufanya shambulio la angani kwa usahihi kwenye ngome ya majambazi katika jimbo la Katsina Kaskazini Magharibi. Operesheni...
  14. Lord Denning

    GE2025 State Capture: Kuna tofauti ndogo sana kati ya hawa wawili. Imeichukua Nigeria miongo karibu 2 kupona, sijui Tanzania itakuwaje?

    HAKUNA JIPYA CHINI YA JUA Wote ni Wanajeshi waliokulia Jeshini na kuingia kwenye uongozi wa kisiasa. Wote walitengeneza mitandao ya Kimafia iliyoamua nani awe nani kwenye Mataifa yao kwa miaka mingi. Wote wana sifa moja. Ongea ya bashasha, kucheka na wewe usoni ukiwa hujui wanakuwazia nini...
  15. Isenye

    Hivi maisha ya Nigeria yakoje?

    Kuna mtu wangu wa karibu anaenda safari Nigeria. Ningependa kujua maisha ya huko yakoje kuanzia usalama,social life,vyakula na mambo mengine ya msingi.
  16. Royal Son

    Kisa cha tapeli aliyeuza uwanja wa ndege Nigeria

    🛫 Emmanuel Nwude: Mtu Aliyewauzia Wazungu Uwanja wa Ndege Ulio Hewa Katika historia ya dunia, matapeli wengi wamejaribu njia mbalimbali za kujipatia mali kwa ujanja. Lakini ni wachache sana waliowahi kufanikisha kile alichokifanya Emmanuel Nwude, raia wa Nigeria ambaye alitapeli benki kubwa ya...
  17. Dalton elijah

    TANZIA Rais wa zamani wa Nigeria, Muhammadu Buhari, afariki dunia

    Rais wa Nigeria Bola Tinubu ametangaza kifo cha Rais wa zamani Muhammadu Buhari, ambaye amefariki Jumapili mjini London baada ya kuugua kwa muda mrefu. Licha ya tangazo hilo familia ya Mohamed nayo imethibitisha kifo hicho cha Raisi huyo Baada ya taarifa hiyo Makamu wa Rais Kassim Shettima...
  18. Mr Beach Boy

    UAE yasitisha maombi ya visa kwa raia wa Nigeria kulikoni?

    Wapopo wamefanya Nini mpaka wamepigwa marufuku kuingia Dubai?
  19. The Zanzibar Echo

    Boko Haram waua watu 9 na kujeruhi wengine Nigeria

    Mamlaka nchini Nigeria zimesema wanamgambo wa Boko Haram wamewaua watu 9 na kuwajeruhi wengine 4 kaskazini mashariki mwa nchi hiyo.Mamlaka nchini Nigeria zimesema wanamgambo wa Boko Haram wamewaua watu 9 na kuwajeruhi wengine 4 kaskazini mashariki mwa nchi hiyo. Shambulio hilo limefanywa na...
  20. SweetyCandy

    SI KWELI Nigeria watu wasio na mahusiano (Single) watafungwa jela

    Nigeria Single ladies and men wanafungwa kwa kulala siku nzima nakupoteza oxygen ya buree.
Back
Top Bottom