Nigeria vs Morocco katika Nusu Fainali ya AFCON 2025 mchezo uliopangwa kufanyika kwenye Stade Prince Moulay Abdallah, Rabat ni pambano la kihistoria kati ya nchi mbili kuu za soka barani Afrika ambazo zote zimefika kwenye hatua hii bila kupoteza mechi yoyote katika mashindano haya.
Nigeria ina...
Mashabiki wengi wa timu ya Taifa ya Nigeria wanahofu ya kukosa nafasi ya kuingia uwanjani kuiunga mkono timu yao hii leo , kwa sababu mashabiki wa Morocco wamenunua tiketi zote. Hii sio mara ya kwanza kwa Morocco kufanya hivyo, walifanya hivyo mwaka jana wakati wa fainali ya timu ya wanawake...
Bondia maarufu wa Uingereza na Nigeria,Anthony Joshua amepata ajali ya barabarani katika eneo la Makun, jimbo la Ogun, nchini Nigeria.
Ajali hiyo imetokea katika barabara kuu ya Lagos-Ibadan, ambapo gari lake aina ya Lexus Jeep liligongana na gari lingine ambalo lilikuwa limesimama.
Joshua...
Marekani kwa kushirikiana na Serikali ya Nigeria, imewashambulia magaidi huko kaskazini magharibi mwa Nigeria. Trump anadai anapambana na magaidi wanaowashambulia wakristo wa Nigeria. Serikali ya US imedai kuwa mashambulizi hayo ni endelevu iwapo magaidi hawataacha njia zao ovu.
Viongozi wa Afrika kwenye mali za umma wawekewe restrictions kali kwasababu default settings wanawaza UPIGAJI
Mnamo Aprili 2017, Taasisi ya kupambana na rushwa wa Nigeria iligundua kiasi kikubwa cha fedha taslimu katika ghorofa moja eneo la Ikoyi, Lagos, takribani dola milioni 43 za Marekani...
Timu ya Taifa ya Tanzania, Taifa Stars, inaendelea kukumbwa na wakati mgumu nchini Morocco baada ya kuruhusu bao moja hadi kufikia dakika ya 40 ya kipindi cha kwanza katika mchezo dhidi ya Nigeria.
Ikumbukwe kuwa msafara wa Taifa Stars unaongozwa na Naibu Waziri wa Wizara ya Habari, Utamaduni...
Katika Hali ya kushangaza watu wamejiuliza hivi wanigeria nao wamesusa? Ukitoa waandishi wa habari, na familia ya mke wa jux uwanja unabaki holaaa Yani unaweza hata wahesabu, na ukagawa chai na vitumbua vinne na bado ukarudi navo.
Muheshimiwa waziri na msemaji wetu girishoni tunaomba show...
(1) Largest country in Africa by land mass - Algeria 🇩🇿
2) Largest country in Africa by population - Nigeria 🇳🇬
3) Largest movie industry in Africa - Nigeria 🇳🇬
4) Largest democracy in Africa - Nigeria 🇳🇬
5) Richest Black man - Nigerian 🇳🇬
6) Richest African woman - Nigerian 🇳🇬
7) largest...
Waziri wa Ulinzi wa Nigeria, Mohammed Badaru Abubakar, amejiuzulu mara moja kutokana na sababu za kiafya, Ikulu ya nchi hiyo imethibitisha Jumatatu. Hatua hii imekuja wakati taifa hilo likikumbwa na msururu wa matukio ya utekaji wa watu, hasa wanafunzi, yaliyosababisha Rais Bola Tinubu kutangaza...
Afrika taabu sana aisee!
Watu wenye silaha wamevamia Kijiji cha Chacho kilichopo jimbo la Sokoto, kaskazini magharibi mwa Nigeria, na kuwateka Wanawake 13, akiwemo mtoto mdogo.Utekaji huo ulitokea usiku wa Novemba 29, na umeongeza hofu miongoni mwa wakazi kutokana na ongezeko la matukio ya...
Rais Donald Trump (Mungu ambariki sana) amesema atatumia US military might kulinda Christians wanaouliwa na muslim jihadists nchini Nigeria.
God Bless D.Trump ...
—————
Christianity is facing an existential threat in Nigeria. Thousands of Christians are being killed. Radical Islamists are...
Ni muda mrefu sasa maskini wawatu, wakiristo wa Nigeria wamekuwa wakichinjwa na Waislamu wenye Siasa Kali huko Nigeria katika maeneo ya kaskazini na kwa siku za karibuni Central Plateau States.
Kibaya zaidi Serikali ya Nigeria hasa baada ya kuingia madarakani the Islamist Muhammad Bhukhari...
Msanii Agness Suleiman maarufu kama Aggy Baby, ameibuka mshindi wa Tuzo ya Muigizaji Bora wa Kike wa Mwaka 2025 katika Achievers Awards International zilizofanyika nchini Nigeria, kutokana na mchango wake katika sanaa na huduma kwa jamii.
Tuzo hiyo imeelezwa kuwa ni alama muhimu ya ushirikiano...
Maelfu ya Wakristo wameuwawa Nigeria kwa miongo miwili mfululizo na magaidi wa Boko Haram lakini hakuna kelele kubwa katika vyombo vya habari Africa wala popote duniani. Huko DRC magaidi wanachinja watu lakini hakuna kelele.
Maisha ya Waafrika hayana thamani kama ya Waarabu na Wazungu?!
Nauliza wanawake wa Bongo mko wapi kudai mabadiliko kwenye masuala ya uongozi?
Mmezubaa sana jamani. Em jitahidini. Hili la Nigeria liwe funzo kwenu
=====
Leo Septemba 22, 2025 Mamia ya wanawake waliandamana jijini Abuja, mji mkuu wa Nigeria, wakishinikiza kupitishwa kwa muswada...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.