Kijana wa Nigeria ajiuliza maswali magumu akiwazia hukumu ya kaburi

Kijana wa Nigeria ajiuliza maswali magumu akiwazia hukumu ya kaburi

Yoda

JF-Expert Member
Joined
Jul 22, 2018
Posts
60,960
Reaction score
100,816
"Kwa hiyo nikifariki malaika wawili watakuja kwenye kaburi langu na kuanza kuniuliza maswali kwa Kiarabu. Ikiwa nitashindwa kuelewa, watanitesa kijana wa kiYoruba kwa sababu tu ya kushindwa kuelewa Kiarabu kaburini? 😂"
Screenshot_20260315-220402~2.jpg
 
"Kwa hiyo nikifariki malaika wawili watakuja kwenye kaburi langu na kuanza kuniuliza maswali kwa Kiarabu. Ikiwa nitashinwa kuelewa, watanitesa kijana wa kiYoruba kwa sababu tu ya kushindwa kuelewa Kiarabu kaburini? 😂"
View attachment 3558356
Anasema haya akiwa ndani ya Nigeria au nje? Maana Kobazi wa Nigeria hawanaga masihara. Watamtafuta wamchinje huku anarekodiwa.😀😀😀
 
Huyo kijana ni kama kashakata tamaaa hivi, yeye badala awaze kunywa pombe na kuichapa mbususu yeye anawaza marungu ya kaburini.
 
Kwani amemwambia nani kuwa kaburini ataulizwa maswali kwa kiarabu?

Hadithi za Kiislam ndio zinasema hivyo. Na watakuuliza maswal matatu.
Alaf baada ya ww kujibu na kusema kama mtume wako ni Mohamed au lah. Basi wao watakupa adhabu ya kaburi au wakupeleke uone peponi.

Its obvious watakuuliza kwa Kiarabu. Si ndio lugha ya allah. Na ndio lugha alishushia Quran had mbingu ya 1.
 
Dini zimeleta fix nyingi sana!! "M/Mungu atupunguzie adhabu ya kaburi"....mambo ya ajabu haya!!
 
Hadithi za Kiislam ndio zinasema hivyo. Na watakuuliza maswal matatu.
Alaf baada ya ww kujibu na kusema kama mtume wako ni Mohamed au lah. Basi wao watakupa adhabu ya kaburi au wakupeleke uone peponi.

Its obvious watakuuliza kwa Kiarabu. Si ndio lugha ya allah. Na ndio lugha alishushia Quran had mbingu ya 1.
Hakuna hadith inayosema kuwa huko kitaongelewa kiarabu
 
Back
Top Bottom