Aisee nakumbuka miaka fulani ya nyuma nimesoma shule moja ya advance, sasa kulikuwa na mwalimu wa kihindi jinsia ke na alikuwa na sauti nyembamba halafu sauti kali, alivyoanza kufundisha economics paper one, nikawaambia wenzangu hapa tumefeli wote..lakn mwishowe tulimuelewa ijapo miezi miwili ya kwanza tulikuwa tumehenya!Kuna press moja trump alikua anafanya na waandishi wa habar mwandishi mmoja wa kihindi akamuuliza swali trump akauliza ameongea Nini
Wanigeria na wahindi ni kazi sana kuwaelewa
Inaitaji moyo kwenye kuelewana haswa kama ni mgeni kwenye lafudh yaoAisee nakumbuka miaka fulani ya nyuma nimesoma shule moja ya advance, sasa kulikuwa na mwalimu wa kihindi jinsia ke na alikuwa na sauti nyembamba halafu sauti kali, alivyoanza kufundisha economics paper one, nikawaambia wenzangu hapa tumefeli wote..lakn mwishowe tulimuelewa ijapo miezi miwili ya kwanza tulikuwa tumehenya!
Kiswahili cha Zanzibar kwa 90% kinaeleweka, Kuna maneno machache huwa yanaweza kuwa mapya lakini bado ni rahisi kuyaelewa ukivuta picha kidogo mfano skuli, tunguja, marikiti, ushanifahamu n.kI dey sabi, no wahala!
Lugha ya mtaani hiyo wanaita Nigerian pidgin
Kile unachosikia mara nyingi si English ya kawaida bali ni mchanganyiko English na lugha za asili kama Yoruba, Igbo, na nyinginezo.
Ina sarufi na msamiati wake tofauti kabisa,
Wetin - what
How far? - Mambo?
I dey fine - niko poa
No wahala - no problem
Sawa na vile Sheng ya Kenya au hata mtu wa Tz Bara hawezi kumuelewa vizuri wa Zbar ambao nao kuna wale wa Makunduchi hawawaelewi na kuna watu Dar pia kumuelewa mwenyeji aliyekulia Vingunguti, Manzese au Buguruni
Labda awe amezaliwa au kukulia U.K au U.S ila kama ni China aisee wale watu wana lafudhi mbaya sanaWachina wanaeleweka vizuri.
Waingereza tofauti yao ni accent zaidi, Adele akiongea kukiwa na subtitles utaelewa hao Wa Nigeria hata mfano Burna boy akiimba na subtitles bado kuelewa ni mtihani.Pia kuna kiingereza cha waingereza wametofautiana hawa nao ni mzozo kuwaelewa.
Msikilize mwanamzuki Adele akiongea huelewi kitu
Wetin be dis wanapenda haya maneno sijui yana maana gani sasa akiongea mimi wananikera na kupenda kuongeza ooo kwenye kuongea nakereka sanaWaingereza tofauti yao ni accent zaidi, Adele akiongea kukiwa na subtitles utaelewa hao Wa Nigeria hata mfano Burna boy akiimba na subtitles bado kuelewa ni mtihani.
Nipo Zanzibar muda huu,kuna muhindi - mswahili hivi Hilo neno "ushanifahamu" lazima ulisikie akiwa anaongea!!!Kiswahili cha Zanzibar kwa 90% kinaeleweka, Kuna maneno machache huwa yanaweza kuwa mapya lakini bado ni rahisi kuyaelewa ukivuta picha kidogo mfano skuli, tunguja, marikiti, ushanifahamu n.k