Asemavyo
JF-Expert Member
- Oct 22, 2017
- 312
- 821
Mkuu Naomba unisaidie kuomba ushauri huko
Ni week sasa nimempisha lakin anaomba msamaha nirudi
Ishu yenyewe iko hivi, mwaka huu nilimpata Dada mmoja nesi tukapendana nilikuta amepanga nyumba, nami kwakuwa nilikuwa kwenye shughuli za kikazi maeneo yale nilikuwa nimefikia nyumba ya wagen kabla ya kumpata
Nilivyompata akanishawish kukabidhi rum kwenye gest house nikae kwake, nikasema ngoja kwanza nikamilishe kazi
Nikakamilisha kazi nikasafiri kuipeleka sehem husika alinisindikiza hadi uwanja wa ndege na kulia sana kwamba namuacha,
Nikapiga moyo konde ndani ya Emirates nikafika huku mawazo ya hapa na pale yakitawala,
Baada ya kumaliza miezi 4 nikaamua kurudi Tanzania nikakuta kanisubiria kawaida
Kufika nyumbani nikakaa week jamaa akaja kuniambia yaliyokuwa yanaendelea nikakaa kimya nilichofanya nikaenda Kwa rafiki yake wa kike nikajifanya kuomba simu kumpigia mtu,
Nilijua fika kwamba hawezi fichana na rafiki au awez fanya jambo bila rafiki yake kujua,
Nikakuta wanayochat na shoga yake wakizungumzia yanayofanyikaga nikiwa sipo, niliumia
Nilipomuuliza akasema nipishe kwangu
Akanipangia nguo na kunitolea nje ilikuwa saa 5 usiku,
Nikatafta piki PIKI nikatafta nyumba ya wageni,
Sasa analia eti turudiane mara anakili kosa , Kuwa nimsamehe
Huku akishikiria msimamo wa kwamba alisingiziwa zilikiwa hasira
Msimamo wangu simrudii ni aibu dume kuwekewa nguo kW begi huko kodi nililipa miezi 5 na biashara nikamfungulia,
Au mnanishaurije
Ni week sasa nimempisha lakin anaomba msamaha nirudi
Ishu yenyewe iko hivi, mwaka huu nilimpata Dada mmoja nesi tukapendana nilikuta amepanga nyumba, nami kwakuwa nilikuwa kwenye shughuli za kikazi maeneo yale nilikuwa nimefikia nyumba ya wagen kabla ya kumpata
Nilivyompata akanishawish kukabidhi rum kwenye gest house nikae kwake, nikasema ngoja kwanza nikamilishe kazi
Nikakamilisha kazi nikasafiri kuipeleka sehem husika alinisindikiza hadi uwanja wa ndege na kulia sana kwamba namuacha,
Nikapiga moyo konde ndani ya Emirates nikafika huku mawazo ya hapa na pale yakitawala,
Baada ya kumaliza miezi 4 nikaamua kurudi Tanzania nikakuta kanisubiria kawaida
Kufika nyumbani nikakaa week jamaa akaja kuniambia yaliyokuwa yanaendelea nikakaa kimya nilichofanya nikaenda Kwa rafiki yake wa kike nikajifanya kuomba simu kumpigia mtu,
Nilijua fika kwamba hawezi fichana na rafiki au awez fanya jambo bila rafiki yake kujua,
Nikakuta wanayochat na shoga yake wakizungumzia yanayofanyikaga nikiwa sipo, niliumia
Nilipomuuliza akasema nipishe kwangu
Akanipangia nguo na kunitolea nje ilikuwa saa 5 usiku,
Nikatafta piki PIKI nikatafta nyumba ya wageni,
Sasa analia eti turudiane mara anakili kosa , Kuwa nimsamehe
Huku akishikiria msimamo wa kwamba alisingiziwa zilikiwa hasira
Msimamo wangu simrudii ni aibu dume kuwekewa nguo kW begi huko kodi nililipa miezi 5 na biashara nikamfungulia,
Au mnanishaurije