nguo

  1. M

    Anatropia Lwehikila awashukia wabunge waliodai kunyanyaswa kingono, asema wanajidhalilisha kutojua wapi pa kupeleka malalamiko yao

    Anaandika Anatropia Theonest Lwehikila (Mbunge wa Viti maalumu Segerea). _________________ Somo la bure kwa wanawake wenzangu hasa wanaokihama CHADEMA. Endeleeni na tuhuma bandia dhidi ya chama kinachojua kilipowatoa. Leo tumependeza, tunanukia, shukrani halisi zimekuwa mateke. Semeni yote...
  2. Erythrocyte

    Makonda kabla ya kuudanganya umma kuhusu punguzo la bei ya nguo, tueleze kuhusu punguzo la kodi za nyumba kama ulivyoagiza

    Ikiwa kama watanzania wanaweza kudanganywa na mtu mmoja kama mazombie na bado wakakaa kimya , basi hii itakuwa bahati mbaya sana . Paulo Makonda ambaye ni Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam alitoa amri kwa wenye nyumba kuwapunguzia kodi wapangaji wao kutokana na ugumu wa maisha uliosababishwa na...
  3. Erythrocyte

    Tundu Lissu amvua nguo Lijualikali

    Madai ya kwamba Lijuakali alipata ubunge kwa juhudi zake ni uongo , Chadema ndio iliyompigania hadi akafanikiwa kuwa mbunge , Tundu Lissu anadai kwamba hata mwaka 2013 Lissu alimpigia kampeni lijuakali kuwa diwani wa Ifakara kwa gharama zake Tundu Lissu anadai kwamba Baba yake mzazi Lijuakali...
  4. Analogia Malenga

    Mazava chawapa likizo ya kibabe ya miezi 3 isiyo na malipo wafanyakazi wake

    Wafanyakazi wa kiwanda cha kuzalisha Nguo cha Winds Group ltd maarufu kama Mazava kilichopo Msamvu, kinadaiwa kuwapa likizo ya miezi 3 wafanyakazi wake bila malipo. Wafanyakazi wamezuiwa kuingia kiwandani kuendelea na shughuli humo leo Mei, 15.
  5. M-mbabe

    Serikali lugha gongana: Wizara ya Afya inakataza matumizi ya barakoa za nguo kujilinda na COVID-19, Wizara ya Viwanda yahimiza zitengenezwe kwa wingi

    Yaani nchi hii ni pasua kichwa. Makosa yaliyofanywa na kina JK, Oktoba 2015 ni dhambi kubwa sana ambayo sidhani kama Mungu atawasamehe. Pathetic!!
  6. Z

    Kisa cha Abunuasi na nguo ya Sultan isiyonekana kwa wenye dhambi

    Wakongwe wa hadithi naomba niwakumbushe juu ya kisa hiki cha kale. Najua kimesimuliwa sana, ila nafikiri si vibaya nikiwasimulia tena. Siku moja Abunuasi alienda kwa Sultan. Katika mazungumzo akamweleza Sultan jinsi yeye Abunuasi alivyokuwa fundi hodari wa kushona nguo za kila aina. Akamwambia...
  7. Samia atosha tukutane2030

    Ushauri: Usiwalishe watoto tembele kila siku na kutokuwanunulia nguo mpya kisa unajenga.

    Huu ni ushauri kwa mzazi/wazazi. Ukitaka kujenga au kufungua biashara katu usibadili mfumo wa maisha wa wanao kwa kuwanyima baadhi ya huruma au vitu walivyokuwa wanavitarajia kutoka kwako mzazi. Mioyo yao ikiumia hutafanikiwa kumaliza ujenzi, na ukimaliza hiyo nyumba itakosa baraka...
  8. Mzukulu

    Kwanini Chupi au Soksi zikitatuka ( zikiraruka ) watu hawapendi kuzipeleka kwa Fundi kushonwa kama zilivyo kwa Nguo nyingine?

    Hilli jambo huwa linanitatiza sana hivyo huenda leo nikapata majibu mujarab kabisa kutoka kwenu ndugu zangu.
  9. N

    Naomba tufahamishane kwa wajuzi na wanaofanya biashara ya kununua nguo za kike za mitumba(especially suruali nzur za kike na blouses)pale memorial mos

    Habari wanajamvi naomba msaada kwa wabobezi na wanaofanya biashara hii ya kuchukua nguo za mitumba kwa kupoint suruali na blouses za kike pale sokoni memorial moshi,binafsi ni mgeni Kanda hii ya kaskazini na natarajia kuanza kufanya biashara io ya nguo Kali za mitumba za kike. Naomba...
  10. R

    Maajabu: Jana nimenyimwa utamu baada ya kufika hotelini na nguo tumeshavua

    Wandugu mnaweza kuniita jina lolote baya mnaloweza kujisikia kuniita. Iwe zezeta, zoba, Boya, punga, mwanaume suruali, hanithi vyovyote mimi nitakubali tu. Ni baada ya jana ambapo nilipanga na mpenzi wangu tukutane ktk hotel moja ya kifahari hapa jijini Dar baada ya muda kama mwaka hivi...
  11. DITOPILE WAPILI

    Katika Kuzuia Corona nguo za Mitumba zapigwa marufuku Kenya

    Kenya imepiga marufuku uingizaji wa nguo za mitumba nchini humo ikiwa ni tahadhari ya kusambaa kwa virusi vya corona. === NAIROBI, Kenya Mar 18 – As the coronavirus pandemic continues ravaging major sectors of the economy, small and medium-sized enterprises have not been spared and...
  12. B

    Wapi naweza kupata nguo za mtumba kwa Dar?

    Wakubwa anaejua chimbo za kulenga mitumba nguo hasa kadet,viatu nk kwa jumla anisaidie.
  13. F

    COVID-19; Serikali izuie kuingiza mitumba nchini

    NIkiangalia jenga la CORONA na uvaazi wa mitumba naona kabisa tunaenda kupata UGONJWA HUO kwa njia za mitumba. Ugonjwa huo unasemwa unaambikizwa kwa kugusa sehemu yenye virusi hivyo ndio maana tunashauri kunawa mikono mara kwa mara. njia za kupata zipo nyingi ila hiyo ya kugusa ni mojawapo...
  14. cleverr

    Biashara ya nguo za dukani

    Habari, Naomba nipewe 1,2,3 kuhusu biashara ya nguo za dukani (kijijini kwetu tunaita special). Nahitaji kuchukulia Dar - Kyela border. Naomba kujua profit, cost, TRA. Binafsi nimekomaa mpaka mwisho nimepata 1M. NB: Fremu ipo free, ni yangu. Mchango wa mdau
  15. shamimuodd

    Wafiwa wazika nguo tu baada ya kushindwa kulipa gharama za matibabu na Mochwari Hospitali ya Bungando

    GTs, Imetokea huko Mwanza, familia moja ilipata majanga ya mtoto kuungua moto, akapelekwa hospitali Bungando na kulazwa kwa siku kadhaa na bahati mbaya akafariki. Uongozi wa Hospitali ya Bungando walizuia mwili na hivyo kupelekea familia kwenda kuzika nguo tu. Na hili limetokea mwezi huu, na...
  16. S

    Fundi nguo anahitajika

    Fundi nguo anahitajika Awe na miaka 24 - 38 Awe na uzoefu usiopungua miaka 3 Awe anajua kushona nguo za kike vizuri Awe Mchapakazi, Muaminifu na Mtafutaji Ofisi ipo Dar Kinondoni Studio wasiliana na namba 0737 610 682. Similar threads Natafuta fundi wa kushona nguo Fundi nguo...
  17. N'yadikwa

    Makanisa, misikiti, halmashauri ziweke utaratibu wa kukusanya nguo zisizotumika kutoka kwa raia

    Ili ziwekewe utaratibu maalum wa kufuliwa na kupelekwa kwa wenye uhitaji. utafiti wangu mdogo usio rasmi umebaini kwamba watu wengi hasa wenye kipato maeneo kama ya mijini hapa Tanzania wanaishi na nguo,viatu kandambili, madela, vikoi, vidani, nakadhalika ambavyo hawavitumii. Aidha vitu hivi...
  18. mitale na midimu

    Pendekezo : Nguo za Askari wa usalama barabarani zisiwe na mifuko

    Hawa jamaa ni jasiri sana linapokuja suala la kuchukua takrima. Japo wapo wachache waaminifu ila kwa siku hizi mbili jana na leo nimewaona wakiwa makini barabarani kukagua ila konda na dereva nawasikia tu wanatajiana viwango vya kuwapa kila gari linaposimamishwa. Kupunguza rushwa (sio kuondoa...
  19. Its Pancho

    Hawa ndio wapenda kuvaa suruali za vitambaa jf /nguo...

    Hawa watu wafuatao ni wavaa suruali waliobobea kunako fani hii.. Ni zile suruali zao zinazong'aa kama bati (satini) Pia huwa wanavalia suruali tumboni... Lucas Mobutu CONTROLA Nyaru-sare Daby Mshana Jr Kawe Alumni MKWEPA KODI Asprin (huyu anavaaga na vinyandu siku nyingine) Kichwa...
  20. Masokotz

    Kwa wamiliki wa maduka ya nguo Kariakoo

    Kwa utafiti mdogo niliofanya kuhusu mwenendo wa biashara katika soko la kariakoo nimeona kuna fursa ambazo zinaweza kusisimua zaidi biashara na kuwezesha kukuza mauzo ya wamiliki wa maduka ya nguo ya Jumla na Rejareja Kariakoo. Iwapo wewe ni mmiliki wa duka la Nguo kariakoo na ungependa...
Back
Top Bottom