nguo

  1. R

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Maajabu: Jana nimenyimwa utamu baada ya kufika hotelini na nguo tumeshavua

    Wandugu mnaweza kuniita jina lolote baya mnaloweza kujisikia kuniita. Iwe zezeta, zoba, Boya, punga, mwanaume suruali, hanithi vyovyote mimi nitakubali tu. Ni baada ya jana ambapo nilipanga na mpenzi wangu tukutane ktk hotel moja ya kifahari hapa jijini Dar baada ya muda kama mwaka hivi...
  2. DITOPILE WAPILI

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Katika Kuzuia Corona nguo za Mitumba zapigwa marufuku Kenya

    Kenya imepiga marufuku uingizaji wa nguo za mitumba nchini humo ikiwa ni tahadhari ya kusambaa kwa virusi vya corona. === NAIROBI, Kenya Mar 18 – As the coronavirus pandemic continues ravaging major sectors of the economy, small and medium-sized enterprises have not been spared and...
  3. Boutafrica

    JamiiForums Tanzania Wapi naweza kupata nguo za mtumba kwa Dar?

    Wakubwa anaejua chimbo za kulenga mitumba nguo hasa kadet,viatu nk kwa jumla anisaidie.
  4. F

    JamiiForums Tanzania COVID-19; Serikali izuie kuingiza mitumba nchini

    NIkiangalia jenga la CORONA na uvaazi wa mitumba naona kabisa tunaenda kupata UGONJWA HUO kwa njia za mitumba. Ugonjwa huo unasemwa unaambikizwa kwa kugusa sehemu yenye virusi hivyo ndio maana tunashauri kunawa mikono mara kwa mara. njia za kupata zipo nyingi ila hiyo ya kugusa ni mojawapo...
  5. cleverr

    JamiiForums Tanzania Biashara ya nguo za dukani

    Habari, Naomba nipewe 1,2,3 kuhusu biashara ya nguo za dukani (kijijini kwetu tunaita special). Nahitaji kuchukulia Dar - Kyela border. Naomba kujua profit, cost, TRA. Binafsi nimekomaa mpaka mwisho nimepata 1M. NB: Fremu ipo free, ni yangu. Mchango wa mdau
  6. shamimuodd

    JamiiForums Tanzania Wafiwa wazika nguo tu baada ya kushindwa kulipa gharama za matibabu na Mochwari Hospitali ya Bungando

    GTs, Imetokea huko Mwanza, familia moja ilipata majanga ya mtoto kuungua moto, akapelekwa hospitali Bungando na kulazwa kwa siku kadhaa na bahati mbaya akafariki. Uongozi wa Hospitali ya Bungando walizuia mwili na hivyo kupelekea familia kwenda kuzika nguo tu. Na hili limetokea mwezi huu, na...
  7. S

    JamiiForums Tanzania Fundi nguo anahitajika

    Fundi nguo anahitajika Awe na miaka 24 - 38 Awe na uzoefu usiopungua miaka 3 Awe anajua kushona nguo za kike vizuri Awe Mchapakazi, Muaminifu na Mtafutaji Ofisi ipo Dar Kinondoni Studio wasiliana na namba 0737 610 682. Similar threads Natafuta fundi wa kushona nguo Fundi nguo...
  8. N'yadikwa

    JamiiForums Tanzania Makanisa, misikiti, halmashauri ziweke utaratibu wa kukusanya nguo zisizotumika kutoka kwa raia

    Ili ziwekewe utaratibu maalum wa kufuliwa na kupelekwa kwa wenye uhitaji. utafiti wangu mdogo usio rasmi umebaini kwamba watu wengi hasa wenye kipato maeneo kama ya mijini hapa Tanzania wanaishi na nguo,viatu kandambili, madela, vikoi, vidani, nakadhalika ambavyo hawavitumii. Aidha vitu hivi...
  9. mitale na midimu

    JamiiForums Tanzania Pendekezo : Nguo za Askari wa usalama barabarani zisiwe na mifuko

    Hawa jamaa ni jasiri sana linapokuja suala la kuchukua takrima. Japo wapo wachache waaminifu ila kwa siku hizi mbili jana na leo nimewaona wakiwa makini barabarani kukagua ila konda na dereva nawasikia tu wanatajiana viwango vya kuwapa kila gari linaposimamishwa. Kupunguza rushwa (sio kuondoa...
  10. Its Pancho

    JamiiForums Tanzania Hawa ndio wapenda kuvaa suruali za vitambaa jf /nguo...

    Hawa watu wafuatao ni wavaa suruali waliobobea kunako fani hii.. Ni zile suruali zao zinazong'aa kama bati (satini) Pia huwa wanavalia suruali tumboni... Lucas Mobutu CONTROLA Nyaru-sare Daby Mshana Jr Kawe Alumni MKWEPA KODI Asprin (huyu anavaaga na vinyandu siku nyingine) Kichwa...
  11. Masokotz

    JamiiForums Tanzania Kwa wamiliki wa maduka ya nguo Kariakoo

    Kwa utafiti mdogo niliofanya kuhusu mwenendo wa biashara katika soko la kariakoo nimeona kuna fursa ambazo zinaweza kusisimua zaidi biashara na kuwezesha kukuza mauzo ya wamiliki wa maduka ya nguo ya Jumla na Rejareja Kariakoo. Iwapo wewe ni mmiliki wa duka la Nguo kariakoo na ungependa...
  12. G Sam

    JamiiForums Tanzania Paul Makonda: Wanaotetea watoto wanaopata mimba shuleni wana akili za kuvaa nguo tu

    Leo Paul Makonda ameporomosha maneno mazito kwa wanaowatetea wanaopata mimba mashuleni kwa kusema kuwa akili zao zinawatosha kuvaa nguo tu. Pamoja na hayo pia amesema watu hao ni wajinga na wapumbavu.
  13. A

    JamiiForums Tanzania Tunauza nguo nzuri kwa bei nafuu sana

    kwenye wakati ambao demand inaweza kuwa kubwa kuliko supply kutokana na matatizo yanaoyoendelea china oneline traders tumeshusha contena la v tishrt tunauza kwa bei nzuri zaid v tishrt cotton bei 9000 jumla ni plain tshrt unaweza vaa kokote haipauki haitanuki jumla 9000 rejareja 12000 maduka...
  14. Mmawia

    JamiiForums Tanzania Waziri Zungu: Mitumba inachafua mazingira

    Nikushukuru sana Rais kwa kuniamini na kuniteua kuwa Waziri, wakati nakuja Watu waliniuliza utavaa nguo zako za mitumba au utavaa kitu kipya, lakini leo nimetia suti mpya, maana hata hiyo mitumba ni sehemu ya mazingira na ni sehemu ambayo inachafua hadhi ya Nchi yetu. Rais Magufuli umefanikiwa...
  15. S

    JamiiForums Tanzania Fundi nguo anahitajika

    Fundi nguo anahitajika Awe na miaka 24 - 38 Awe na uzoefu usiopungua miaka 3 Awe anajua kushona nguo za kike vizuri Awe Mchapakazi, Muaminifu na Mtafutaji Ofisi ipo Dar Kinondoni Studio wasiliana na namba 0737 610 682.
  16. I

    JamiiForums Tanzania Biashara ya mikoba, viatu na nguo kutoka Uganda naomba msaada wa mawazo

    Habari wanajamvi nimefanya utafiti juu ya baadhi ya uzi humu JF ambazo zina husiana na biashara kutoka Uganda nyingi ni za mda. Naomba kama kuna mtu yoyote anaefanya biashara ya kununua vitu Uganda na kuleta Tz naomba aje nahitaji mwongozo. Juu ya namna ya kufika Uganda masoko ikiwezekana...
  17. masai dada

    JamiiForums Tanzania Biashara ya nguo, viatu, mikoba na cosmetics kutoka Uganda

    Habari wana jamvi, Naomba ushauri nataka kwenda uganda kuleta nguo za mitumba, pochi na viatu pamoja na vipodozi napenda kujua cha kufanya maana ndo nataka kuanza ikiwemo accomodation nikiwa uganda,je huku Tanzania nitaziuzaje, mtaji kwa mzigo wa kwanza uwe shingapi vip usafiri,Ushuru na TRA...
  18. William mushi

    JamiiForums Tanzania, JamiiForums Uganda Sehemu au gulio la mitumba Uganda lipo maeneo gani?

    Hello sehemu au gulio la mitumba Uganda ipo maeneo gan na bei zikoje balo la viatu na nguo first grade
  19. Babu Kijiwe

    JamiiForums Tanzania Wafanyabiashara wa mikoani mnaochukua vitu Kariakoo, njooni tujuzane machimbo ya bidhaa

    Baadhi ya mahitaji ya wadau: Naombeni kupewa orodha ya maduka ya suti za kiume (za kisasa) yaliyopo Kariakoo. Nahitaji kuyazungukia. Kwasababu ya muda siwezi ku-design kwa fundi ndo maana nataka kuitungua dukani. Shukrani. Kariakoo au Dar ni wapi tutapata pochi, vitenge na viatu vya kike bei za...
  20. Erythrocyte

    JamiiForums Tanzania Ni lini Amiri Jeshi Mkuu atavaa sare za Askari Polisi au Magereza?

    iko wazi kwamba yeye ndiye kiongozi wa juu kabisa wa majeshi yote nchini. Swali langu ni dogo tu , ni lini Mheshimiwa atavaa sare za polisi ili kuonyesha kuunga mkono juhudi zao za kupambana na uhalifu au ni lazima avae za JWTZ tu kama ambavyo ameonekana mara kadhaa? Naomba kuwasilisha...
Back
Top Bottom