johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,965
- 141,968
Namfahamu mwanasiasa mmoja ambaye alikuwa akimtuma house girl kwenda kununua nyama buchani/ supermarket Afrika ya Kusini kila wiki.
Hili la kufua nguo Ulaya, Nairobi au Pretoria ni la kawaida sana kwa viongozi na wengi wao wanakwepa dry cleaners za hapa nyumbani kwa kuhofia kulogwa kupitia nguo zao.
Yawezekana Mwigullu Nchemba alimlenga mtemi Chenge au Nyalandu lakini kiukweli wenye mapene wote walifua nguo zao nje ya nchi, ndio hawa akina Adam, Ngelejela, Maigae nk nk.
Hiyo ilikuwa kawaida sana kwa waishio mjini.
Maendeleo hayana vyama!
Hili la kufua nguo Ulaya, Nairobi au Pretoria ni la kawaida sana kwa viongozi na wengi wao wanakwepa dry cleaners za hapa nyumbani kwa kuhofia kulogwa kupitia nguo zao.
Yawezekana Mwigullu Nchemba alimlenga mtemi Chenge au Nyalandu lakini kiukweli wenye mapene wote walifua nguo zao nje ya nchi, ndio hawa akina Adam, Ngelejela, Maigae nk nk.
Hiyo ilikuwa kawaida sana kwa waishio mjini.
Maendeleo hayana vyama!