Ed Kawiche
JF-Expert Member
- May 28, 2020
- 2,587
- 4,611
Hii ni mara ya pili sasa mafundi nguo wananiharibia nguo zangu!
Namwambia vizuri tu kwa lugha inayoeleweka "...punguza urefu na upana." tunakubaliana... nampa pesa yake nasepa.
Leo nimekuja kuchukua nguo zangu kubabake zimemodolewa zote! Hapa nilipo nimechukia kinoma!
Nahisi sinaga bahati na mafundi nguo, alafu inaonekana hawa mafundi nguo wanatabia za kufafana, maana fundi wa mara ya kwanza alinifanyia ujinga kama huu... anachukua vipimo then haandiki pembeni... kuja kuchukua nguo amefanya asichoambiwa!
Ulishawahi kukumbwa na mkasa kama huu? Tueleze ilikuaje na ulichukua uamuzi gani.
Maana hapa napanga bajeti ya kununua suruali zingine.
Namwambia vizuri tu kwa lugha inayoeleweka "...punguza urefu na upana." tunakubaliana... nampa pesa yake nasepa.
Leo nimekuja kuchukua nguo zangu kubabake zimemodolewa zote! Hapa nilipo nimechukia kinoma!
Nahisi sinaga bahati na mafundi nguo, alafu inaonekana hawa mafundi nguo wanatabia za kufafana, maana fundi wa mara ya kwanza alinifanyia ujinga kama huu... anachukua vipimo then haandiki pembeni... kuja kuchukua nguo amefanya asichoambiwa!
Ulishawahi kukumbwa na mkasa kama huu? Tueleze ilikuaje na ulichukua uamuzi gani.
Maana hapa napanga bajeti ya kununua suruali zingine.