Kina dada: Mazoezi yenu kando ya barabara ni ufuska mtupu

mandella

JF-Expert Member
Oct 29, 2011
3,048
3,227
Hii sasa imegeuka kama style flani hivi kwa sasa na hii inafanyika mikoa mikubwa especially Dar na Arusha. Kina dada wamegeuza sehemu hiyo kua fursa ya kufanya ufuska wao mwingine. Mtu unajiuliza gym hakuna? Basi kama gym gharama, hakuna maeneo special kwa ajili ya hayo mazoezi?

Au labda kukimbia barabarani kunaongeza ufanisi wa mazoezi? Sasa tazama nguo wanazovaa vs maumbilie yao, tazama maeneo ya barabara wanapofanyia hayo mazoezi, tazama na muda pia. Kisha jumlisha, unipe jibu.

Mimi hesabu zangu zimeniletea majibu mazuri, "Mazoezi barabarani ni njia ya kina dada kujipatia wanaume. (huwenda sio wote)
 
Hii sasa imegeuka kama Style Flani hivi kwa Sasa , na hii inafanyika Mikoa Mikubwa Especially Dsm and Arusha .
Kina Dada wamegeuza Sehemu hiyo kua Fursa ya Kufanya Ufuska wao mwengine.
Mtu unajiuliza Gym hakuna ? Basi kama Gym Gharama , Hakuna maeneo Special kwa Ajili ya Hayo Mazoezi ? .au labda Kukimbia Barabarani kunaongeza Ufanisi Wa mazoezi ?

Sasa Tazama nguo wanazovaa Vs Maumbilie yao , Tazama maeneo ya Barabara wanapofanyia hayo mazoezi, Tazama na Muda pia.. kisha Jumlisha, unipe Jibu.


Mm Hesabu zangu zimeniletea Majibu Mazuri , "mazoezi barabarani ni njia ya Kina Dada kujipatia Wanaume. (Huwenda Sio wote)
Mi naona ni maua pembeni ya barabara..... at least tunapata something new to stare at
 
Mimi ambaye ni bachelor huwa nafurahi sana kuwaona maeneo ya barabara ya Mbuyuni mpaka Africana pale,wapo weupe,wapo weusi,wenye chura na wasio na chura!

Raha sana,yaani we acha tu!!!
Ikifika mida ya jioni jioni kama saa kumi vile,mdogo mdogo naanza kusogea ili kujionea mavitu ya bure bure! :)
:D :D :D :D
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom