Serikali ya Bangladesh yaingilia kati uchinjaji wa ng'ombe 'anayefanana na Trump'

Serikali ya Bangladesh yaingilia kati uchinjaji wa ng'ombe 'anayefanana na Trump'

ndege JOHN

JF-Expert Member
Joined
Aug 5, 2015
Posts
24,596
Reaction score
59,944
Kuchinjwa kwa fahali aliyekuwa akisemekana kufanana na kupewa jina la utani “Donald Trump” kutokana na nywele zake kusimama.
Fahali huyo, ambaye alikuwa anatarajiwa kuchinjwa wakati wa Eid, amechukuliwa na serikali ya Bangladesh ambayo imesema imechukua jukumu la kumtunza.
Siku moja kabla ya Eid al-Adha, ilitangazwa kuwa serikali imeamua kumlinda ng’ombe huyo dhidi ya kuchinjwa wakati wa sikukuu hiyo. Waziri wa Mambo ya Ndani wa Bangladesh, Salahuddin Ahmed, alichukua jukumu maalum katika suala hilo.
Kwa mujibu wa polisi, fahali huyo alichukuliwa kutoka nyumbani kwa mmiliki wake siku ya Jumatano kufuatia amri kutoka Wizara ya Mambo ya Ndani.
Waziri wa Mambo ya Ndani wa Bangladesh, Salahuddin Ahmed, aliiambia BBC Bangla kuwa alinunua fahali huyo aliyeitwa “Donald Trump.” Alisema serikali inapanga kulinda aina hiyo adimu ya ng’ombe.
Siku chache kabla ya Eid al-Adha, fahali huyo mwenye ualbino alipata umaarufu mkubwa nchini Bangladesh.
Mmiliki wa fahali huyo, Ziauddin, mwenye umri wa miaka 37, alisema kaka yake alimpa fahali huyo mwenye uzito wa kilo 700 jina la Rais wa Marekani Donald Trump kutokana na nywele zake.
Ziauddin aliongeza kuwa watu walikuwa wakimiminika kila mara kuja kumuona fahali huyo katika mwezi mzima wa Mei.
1779971187432.png


SOURCE:BBC SWAHILI
 
Hao wabangladesh haziwatoshi, ng'ombe wa maonesho wanamjinjia nini? Wangemuweka kwenye makumbusho waingize fedha za utalii
 
Kuchinjwa kwa fahali aliyekuwa akisemekana kufanana na kupewa jina la utani “Donald Trump” kutokana na nywele zake kusimama.
Fahali huyo, ambaye alikuwa anatarajiwa kuchinjwa wakati wa Eid, amechukuliwa na serikali ya Bangladesh ambayo imesema imechukua jukumu la kumtunza.
Siku moja kabla ya Eid al-Adha, ilitangazwa kuwa serikali imeamua kumlinda ng’ombe huyo dhidi ya kuchinjwa wakati wa sikukuu hiyo. Waziri wa Mambo ya Ndani wa Bangladesh, Salahuddin Ahmed, alichukua jukumu maalum katika suala hilo.
Kwa mujibu wa polisi, fahali huyo alichukuliwa kutoka nyumbani kwa mmiliki wake siku ya Jumatano kufuatia amri kutoka Wizara ya Mambo ya Ndani.
Waziri wa Mambo ya Ndani wa Bangladesh, Salahuddin Ahmed, aliiambia BBC Bangla kuwa alinunua fahali huyo aliyeitwa “Donald Trump.” Alisema serikali inapanga kulinda aina hiyo adimu ya ng’ombe.
Siku chache kabla ya Eid al-Adha, fahali huyo mwenye ualbino alipata umaarufu mkubwa nchini Bangladesh.
Mmiliki wa fahali huyo, Ziauddin, mwenye umri wa miaka 37, alisema kaka yake alimpa fahali huyo mwenye uzito wa kilo 700 jina la Rais wa Marekani Donald Trump kutokana na nywele zake.
Ziauddin aliongeza kuwa watu walikuwa wakimiminika kila mara kuja kumuona fahali huyo katika mwezi mzima wa Mei.
View attachment 3596417

SOURCE:BBC SWAHILI
Hii habari nimeona kwa kingereza nimecheka sana
 
Kuchinjwa kwa fahali aliyekuwa akisemekana kufanana na kupewa jina la utani “Donald Trump” kutokana na nywele zake kusimama.
Fahali huyo, ambaye alikuwa anatarajiwa kuchinjwa wakati wa Eid, amechukuliwa na serikali ya Bangladesh ambayo imesema imechukua jukumu la kumtunza.
Siku moja kabla ya Eid al-Adha, ilitangazwa kuwa serikali imeamua kumlinda ng’ombe huyo dhidi ya kuchinjwa wakati wa sikukuu hiyo. Waziri wa Mambo ya Ndani wa Bangladesh, Salahuddin Ahmed, alichukua jukumu maalum katika suala hilo.
Kwa mujibu wa polisi, fahali huyo alichukuliwa kutoka nyumbani kwa mmiliki wake siku ya Jumatano kufuatia amri kutoka Wizara ya Mambo ya Ndani.
Waziri wa Mambo ya Ndani wa Bangladesh, Salahuddin Ahmed, aliiambia BBC Bangla kuwa alinunua fahali huyo aliyeitwa “Donald Trump.” Alisema serikali inapanga kulinda aina hiyo adimu ya ng’ombe.
Siku chache kabla ya Eid al-Adha, fahali huyo mwenye ualbino alipata umaarufu mkubwa nchini Bangladesh.
Mmiliki wa fahali huyo, Ziauddin, mwenye umri wa miaka 37, alisema kaka yake alimpa fahali huyo mwenye uzito wa kilo 700 jina la Rais wa Marekani Donald Trump kutokana na nywele zake.
Ziauddin aliongeza kuwa watu walikuwa wakimiminika kila mara kuja kumuona fahali huyo katika mwezi mzima wa Mei.
View attachment 3596417

SOURCE:BBC SWAHILI
kwani wanataka kumpeleka ICC?
 
Back
Top Bottom