ng'ombe

Ng'ombe
Ng'ombe ni wanyama wakubwa wanaokula nyasi. Ni wanyama wanaofugwa kwa wingi sana kwa ajili ya nyama, maziwa, ngozi au pia kwa kuvuta plau au gari la kukokotwa.

Kwa asili kuna aina mbili za ng'ombe-kaya: ng'ombe wa Ulaya na ng'ombe wa Uhindi ambazo ni nususpishi za B. primigenius (B. p. taurus na B. p. indicus mtawalia, ingawa mara nyingi nususpishi hizo zinaainishwa kama spishi za B. taurus na B. indicus). Zinatoka kwa nususpishi za zamani B. p. primigenius na B. p. namadicus.

Ng'ombe hula nyasi na hutembea kwa kwato. Ng'ombe waliofugwa na binadamu walitokana na ng'ombe-mwitu ili kujipatia nyama na maziwa. Katika nchi nyingi hutumiwa pia kama mnyama wa mizigo anayevuta plau au magari.
  1. Huihui2

    Je Chung Ju Yung, mwanzilishi wa Hyundai aliyeuza ng'ombe mmoja wa baba yake ili kupata nauli ya kuhama Korea Kaskazini

    Chung Ju Yung: Mwanzilishi wa Hyundai na Mfano wa Mafanikio Je Chung Ju Yung (1915–2001) alikuwa mfanyabiashara wa Korea Kusini ambaye alibadilisha historia ya uchumi wa taifa hilo kupitia uanzishaji wa Hyundai Group. Anaenziwa kama moja ya nguzo muhimu za “Miracle on the Han River”—kuinuka kwa...
  2. Chibike

    Tupeane connection kwenye biashara za mifugo kama ng'ombe na mbuzi

    Wadau hamjambo nyote Wafanya mishe za biashara za mifugo haswa mifugo kama mbuzi na ng'ombe tupeane fursa mbalimbali ziizoko kwenye biashara hio. Na je swali la ziada Yale maduka ya kuuza dawa za mifugo tu hua tunaziitaje? au ndio AGROVET... Na Kama Kuna thread zilishaanzishwa kwa kuelezea...
  3. M

    Muda sahihi wa kumpandisha ng'ombe

    --- 🐄📌 ELIMU KWA WAFUGAJI ⏱️ MUDA SAHIHI WA KUPANDISHA NG’OMBE --- 🔍 Kwa nini ni muhimu? Kupandisha kwa wakati sahihi huongeza nafasi ya kushika mimba na kuepuka kurudia mara kwa mara. --- ✅ NG’OMBE JIKE ANAPOTAYARI KUPANDWA: 1. Dalili za Joto: - Kutokwa na ute mweupe wa kunata -...
  4. M

    Faida za kukata pembe kwa ng'ombe (dehorning)

    Faida za Kukata Pembe kwa Ng’ombe (Dehorning):* --- 🐄📌 ELIMU KWA WAFUGAJI ✂️ Faida za Kukata Pembe kwa Ng’ombe (Dehorning) --- 🔍 Dehorning ni nini? Ni zoezi la kuondoa pembe za ndama au ng’ombe ili kuboresha afya, usalama na ustawi wa mifugo. --- 🗓️ Muda Sahihi wa Kukata Pembe: ➡️ Wiki...
  5. M

    Ugonjwa wa ndigana baridi (anaplasmosis) kwa ng'ombe

    --- 🐄📌 ELIMU KWA WAFUGAJI Ugonjwa wa Anaplasmosis (Ndigana Baridi) kwa Ng’ombe --- 🔍 Utangulizi: Anaplasmosis ni ugonjwa hatari unaosababishwa na vimelea vinavyoenezwa na kupe. Husababisha homa, upungufu wa damu, udhaifu na unaweza kusababisha vifo ikiwa haitatibiwa kwa wakati. --- 🦠...
  6. Stability

    Naungana na Dr Hayaland, ulaji wa ugali ni mateso, no wonder wenzetu wanalishia nguruwe na ng'ombe

    Kwanza Mwili unakuwa hauweleki kabisa, watu wengi wameambulia kuwa vijeba kisa ya ugali au miili ilijitengeneza utafikiri scooby dooby doo. Ugali, haswa unapokobolewa, una index ya juu ya glycemic, kumaanisha kuwa inaweza kusababisha kuongezeka kwa kasi kwa viwango vya sukari kwenye damu...
  7. M

    Ugonjwa wa ndigana kali (east coast fever) kwa ng'ombe

    --- 📌 Elimu kwa Wafugaji – Ugonjwa wa Ndigana Kali (East Coast Fever – ECF) kwa Ng’ombe --- 🔬 ECF ni nini? Ni ugonjwa hatari unaowashambulia ng’ombe, husababishwa na kimelea aitwaye Theileria parva, anayeenezwa na kupe aina ya Brown Ear Tick (Rhipicephalus appendiculatus). --- 🚨 Dalili za...
  8. Yoda

    Yanga tunaomba Wasabato mashabiki wachinjiwe ng'ombe, ngamia ni haramu kwa Wasabato.

    Yanga Ili kuwa na timu jumuishi ya mashabiki wote ni vyema mahitaji ya makundi yote ya washabiki ikiwemo Wasabato kuzingatiwa katika kipindi hichi cha kusherehekea ubingwa. Kutoa supu ya ngamia tu kunawanyima fursa mashabiki wasabato wasiokula ngamia kwani ni haramu kwao, ni vyema wao...
  9. M

    Ugonjwa wa ndorobo (trypanosomiasis) kwa ng'ombe

    Habari za Leo wafugaji nashukuru mungu kwa muda huu mzuri ambapo nitakwenda kutoa elimu juu ya ugonjwa wa ndorobo kwa ng'ombe; --- Ugonjwa wa (ndorobo) Trypanosomiasis kwa Ng'ombe --- Sababu: Ugonjwa huu husababishwa na vimelea vidogo vinavyoitwa Trypanosoma, vinavyoenezwa na mbu aina ya...
  10. M

    Jinsi ya kumtambua ng'ombe wako kama yupo joto

    Habari wafugaji, Leo tutajifunza juu ya kumjua ng'ombe wako Kama yupo kwenye joto (estrus), dalili za joto kwa ng’ombe: 1. Kukubali kupandwa (standing heat): - Dalili kuu! Ng’ombe husimama kimya anapopandwa na wenzake au dume. 2. Kutoka ute mwepesi (clear mucus) sehemu za siri - Mara...
  11. M

    Aina za mbegu za ng'ombe wa maziwa

    Habari wafugaji Leo napenda kuwaletea somo juu ya aina ya mbegu za ng'ombe wa maziwa.karibi sana uwe kujifunza ✅AINA ZA MBEGU ZA NG'OMBE WA MAZIWA; --- Breed za Ng’ombe wa Maziwa (Dairy Breeds) 1. Friesian (Holstein-Friesian) - Maziwa mengi sana, rangi nyeusi na nyeupe - Uwezo wa...
  12. figganigga

    Watu wa CCM Wanaobebwa kwenye Malori kuitwa ng'ombe ni kuwadhalilisha

    CCM huwa wanabeba watu kutoka sehemu mbalimbali nchini ili kujaza Uwanja hasa anapokuwepo Kiongozi wa Kitaifa kama Rais. Na kweli uwanja unajaa na Mgeni anafurahi. Japo ni hatari na hairuhusiwi kisheria. Wala Polisi hawana cha kufanya. Ila hawa Watanzania kuitwa ng'ombe napingana nalo. Nadhani...
  13. Android

    INAUZWA Ng'ombe mzuri wa maziwa anauzwa

    Friessian cow Bei Tsh 2,8m Ni bonge la ng'ombe akitoka kuzaa ana litres 20+ Anayo mimba ina miezi mitatu Kwa sasa ana litres 12 kwa siku Amezaa mara 2 hii mimba ya 3 Location: Kivule , Dar es Salaam . Simu: 0699208889 Whatsapp: 0743542046
  14. Just Pray

    Picha: Ajali mtu mmoja adaiwa kufariki, BMW X5 yateketea kwa moto, dereva akwepa Ng'ombe na kugongana na basi la ABC

    Mtu mmoja ameeefariki dunia kwenye ajali iliyohusisha gari aina ya BMW na Bus la abiria la ABC,ajali hiyo iliyotokea barabara ya Dodoma-Morogoro eneo la Makalavati kwa mujibu wa mashuhuda wanasema dereva wa gari ndogo alikuwa anamkwepa Ng'ombe na kupelekea kwenda kugongana na Bus la abiria la...
  15. Mganguzi

    DOKEZO Walaji wa nyama ya ng'ombe kwa sasa tupo hatarini kufa, kupata kansa ya Koo, Kuvimba kongosho na Figo kupoteza uwezo wake !

    Ndugu zangu hili liwafikie maafisa mifugo kote nchini Yale masindano wanayotumia kuwachoma ng'ombe ni hatari sana kwa afya ya binadamu nimeshuhudia ng'ombe wanachomwa sindano mnadani saa chache kabla ya kwenda kuchinjwa ! Na pia zinachomwa shindano zinapokaribia kusafirishwa na mlaji anaipata...
  16. BigTall

    DOKEZO Maji machafu ya Machinjio ya Ng'ombe yanatutesa Wananchi wa Mbagala - Sabasaba

    Sisi Wananchi tunaoishi hapa Mbagala Sabasaba tunapata changamoto ya mazingira kuchafuliwa na kuwa hatari kwa afya kutoka katika Machinjio ya Ng’ombe ambayo yapo kwenye makazi ya Watu. Maji machafu ambayo yanatoka kwenye machinjio hayo tanatiririka kwenye makazi yetu na hakuna jitihada...
  17. Right Marker

    Je, ulishawahi kukutana na Trekta, Guta, au mikokoteni ya ng'ombe na punda inayohatarisha usalama wa barabarani?

    FUNGUKA! Huenda safari zako nyingi ni za usiku. 1. Je, uliwahi kukutana na Trekta, Guta, au mikokoteni ya ng'ombe na punda ambayo inahatarisha usalama wa barabarani? 2. Taja wilaya/mkoa, au eneo lolote lenye changamoto ya wingi wa matrekta, guta, au mikokoteni ya ng'ombe na punda ambayo...
  18. Imani rubaba

    Ng'ombe wa Ayrshire – Malkia wa Maziwa ya Ubora! 🐄✨

    Unamfahamu Ayrshire? Huyu ni ng’ombe wa maziwa mwenye mchanganyiko wa tija kubwa, maziwa bora, na uvumilivu wa hali ya hewa ya Tanzania! Sifa Kuu za Ayrshire: Hutoa lita 20–30 za maziwa kwa siku 🥛 Maziwa yake yana kiwango kizuri cha mafuta (karibu 4%) – bora kwa matumizi ya nyumbani au...
  19. N

    Ewe mwanaume usinunue ng'ombe Kijiji ulichotoka

    Mwanaume, unaponunua ngo'mbe kamwe usinunue kwenye eneo au kijiji ulichopo. Kwanini?! Kwa sababu kuna siku ng'ombe ataenda mtoni kwa lengo la kunywa maji. Kisia nani atakuwa eneo hilo?! Ni mmiliki wake wa mwanzoni. Unajua atakachokifanya huyo mmiliki wake wa zamani?! Atakachofanya ni kumpigia...
  20. Imani rubaba

    Fahamu Ng'ombe wa Maziwa Fresian – Utajiri wa Lita 15+ kwa Siku! Sawa Ya Hadi Laki 9+ Kila Mwezi

    Leo katika group letu la mafunzo tunaendelea na somo letu, ambapo tutachambua aina bora zaidi za ng'ombe wa maziwa moja baada ya nyingine. Tutazungumzia sifa zao, changamoto wanazokumbana nazo, na mambo muhimu unayopaswa kufahamu kabla ya kuwafuga. Kumbuka hapa tunazungumzia ng'ombe wenye uwezo...
Back
Top Bottom