Ufugaji wa ng'ombe wa maziwa

Ufugaji wa ng'ombe wa maziwa

jems12

Member
Joined
Jun 16, 2026
Posts
5
Reaction score
13
Wauzaji wa ng'ombe bora wa maziwa Ng'ombe wetu wana maziwa mengi kwa siku wanakamuliwa lit30 ...pia tuna ndama wadogo kuanzia miezi Mitano tupo makambako 0763 357 978
 

Attachments

  • 1000001455.jpg
    1000001455.jpg
    180.5 KB · Views: 11
Biashara za Africa na waafrica zimejaa utapeli sana.

Unakuta mtu anauza kitu ila bei hataki Kuweka ,yote haya ni ule uhuni wa kwenye biashara.

Sioni Kuna ugumu Gani wa Kuweka bei ili kupunguza usumbufu.

Masoko makubwa ya mitandaoni yangekuwa yanaendesha biashara zake kwa namna hii ingekuwa tabu.

Weka bei,acha utapeli tapeli kwenye biashara yako,au hao ng'ombe sio wako
 
Kwa bei iyo million 4. Hapana
Kazi ni kipimo cha utu
 
Back
Top Bottom