Yani ndoa inakuwa ni siku ya kusaini na kuvishana pete, kisherehe cha mchana hadi jioniKabsaa, mlolongo na kiringi sio poa kabsa..
Twende lini m babyhao ni wengi bado😀😀me niende na ba mtu tufunge ndoa twende honeymoon yaishe
Nyie wanawake ndo mnatakaga mambo mengihao ni wengi bado😀😀me niende na ba mtu tufunge ndoa twende honeymoon yaishe
Hata kanisani ipo hio, Magufuli alifunga style hio, walienda kanisani yeye na mke wake wakamaliza halafu usiku akaendelea na kitabuLabda kama Introvert wa kiume, ila wa kike hata awe Introvert vipi atataka sherehe, plus wazee wako ndio kabisa. Mimi na wakubaligi maostaz yaani hawana mambo mengi hata mpiga picha haitwi, anaitwa shekhe kijana wake mmoja wakumshikia vitabu anamaliza, watu hata hamjui baada ya siku tatu mnasikia fulani kaoa na unaweza ukakuta kijiweni mlikuwa mnakaa nae.
Fasta tu yani, ilikuwa kanisani, msikitini, mahakamani (bomani) au ?hao ni wengi bado😀😀me niende na ba mtu tufunge ndoa twende honeymoon yaishe
Hao wengi sana..Hii ndio ndoto ya introvert hata kama ni bilionea
Na hawa bado ni wengi kwa baadhi yao 😂
View attachment 3632814sh
Ndo shida ya makurumbembe ya humu.Hapa kila mtu ni introvert 😁
hata kesho darling😊Twende lini m baby
😀😀😀😀bado ila najua watatushangaaFasta tu yani, ilikuwa kanisani, msikitini, mahakamani (bomani) au ?
hawakuwashangaa ?😀
mi sio mambo yangu 😀😀au na mi wakiumeLabda kama Introvert wa kiume, ila wa kike hata awe Introvert vipi atataka sherehe, plus wazee wako ndio kabisa. Mimi na wakubaligi maostaz yaani hawana mambo mengi hata mpiga picha haitwi, anaitwa shekhe kijana wake mmoja wakumshikia vitabu anamaliza, watu hata hamjui baada ya siku tatu mnasikia fulani kaoa na unaweza ukakuta kijiweni mlikuwa mnakaa nae.
kwa kweli mi hapana😀😀😀Nyie wanawake ndo mnatakaga mambo mengi