CHADEMA TUNAPIGANIA MARIDHIANO YA DOLA NA Watanzania. Tusikate tamaa. Ndoto ya haki karibu itatimia

CHADEMA TUNAPIGANIA MARIDHIANO YA DOLA NA Watanzania. Tusikate tamaa. Ndoto ya haki karibu itatimia

Heche

Member
Joined
Dec 10, 2025
Posts
27
Reaction score
47
Tunaamini katika ndoto ya kweli. Ndoto ya haki, ukweli na usawa.
Sasa Chadema tutaifanya ndoto ya watanzania iwe ya kweli.

Chadema hatupo kutaka kugawana madaraka na CCM ndio tuite maridhiano. Tunaamini katika maridhiano ya kweli.

Walioamini kwenye maridhiano ya kugawana ela, vyeo na madaraka. Na kukubali kutishwa walishaingia tayari kwenye hayo maridhiano.

Waliacha ajenda za watu wakaangalia matumbo yao. Wengi sasa ni wabunge na ata mawaziri. Sasa ndio watesi wetu? Je baada ya kulidhiana na viongozi na kupata vyeo sasa Rushwa imepungua. Barabara zinajengwa? Sasa kuna haki. Wananchi wanamamlaka dhidi ya serikali yao au ni watumwa wa serikali yao. Je kuna uhuru wa maoni. Je mikataba ya serikali iko wazi kwa wananchi wote?

Hayo sio maridhiano bali ni kujisalimisha kwa utawala katili.
Sasa tunandoto.

Tunandoto ya kubwa 10. Bado mda kidogo tu.

1. Tunandoto ya kukomeshwa mauaji yote kwa wazalendo na manabii wote wanaowakosoa viongozi kwaajili ya kesho bora kwa Tanzania. Tunaamini punde hakuna atakaechinjwa kwasababu ya chama chake au kutetea wanyonge.

2. Tunandoto ya kurudisha nguvu na mamlaka kwa wananchi dhidi ya serikali. Wananchi watawachagua viongozi wanaowataka kwa amani, utulivu na haki na tutapata viongozi wawajibikaji na wakututumikia.

3.. Tuna ndoto ambapo vyama vikuu vinavyopingana vitashindana kwa hoja sio kwa kutishiana na kutukanana.

4. tuna ndoto ya kutoa uadui kabisa kati ya vyama vya siasa. Kuishi katika siasa safi itakayoheshimu kila mtu.
5. Tuna ndoto ampapo mtumishi wa serikali atakopeshwa bila riba ili ajenge nyumba za kisasa kabisa. Pia kuondoa kodi kandamizi kwa watumishi wa uma.

CHADEMA NI CHAMA CHA HAKI. HATUWEZI KWENDA KUPIGA PICHA ZA KUKUBALIANA WAKATI KILASIKU TUNAKABILWA NA UNYANYASAJI. TUNANDOTO YA KUONGOZA TAIFA KWA HAKI. BILA VISASI.

TUNATAKA KUJA KUWAONESHA CCM UPENDO WA AGAPE. TUNATAKA WAJUE JINSI TUNAVYOWEZA KUUNGANISHA WATANZANIA WA DINI,KABILA NA VYAMA TOFAUTI.

6.
 
Wewe sio heche koma kutumia jina la kiongozi wetu
Kuna shida gani mtu kujiita jina la celebrity? Kuna wanaojiita konde boy, diamond, Messi, Mama samia nk

Mbona makasiriko kila mahali ndugu wanachadema
 
Tunaamini katika ndoto ya kweli. Ndoto ya haki, ukweli na usawa.
Sasa Chadema tutaifanya ndoto ya watanzania iwe ya kweli.

Chadema hatupo kutaka kugawana madaraka na CCM ndio tuite maridhiano. Tunaamini katika maridhiano ya kweli.

Walioamini kwenye maridhiano ya kugawana ela, vyeo na madaraka. Na kukubali kutishwa walishaingia tayari kwenye hayo maridhiano.

Waliacha ajenda za watu wakaangalia matumbo yao. Wengi sasa ni wabunge na ata mawaziri. Sasa ndio watesi wetu? Je baada ya kulidhiana na viongozi na kupata vyeo sasa Rushwa imepungua. Barabara zinajengwa? Sasa kuna haki. Wananchi wanamamlaka dhidi ya serikali yao au ni watumwa wa serikali yao. Je kuna uhuru wa maoni. Je mikataba ya serikali iko wazi kwa wananchi wote?

Hayo sio maridhiano bali ni kujisalimisha kwa utawala katili.
Sasa tunandoto.

Tunandoto ya kubwa 10. Bado mda kidogo tu.

1. Tunandoto ya kukomeshwa mauaji yote kwa wazalendo na manabii wote wanaowakosoa viongozi kwaajili ya kesho bora kwa Tanzania. Tunaamini punde hakuna atakaechinjwa kwasababu ya chama chake au kutetea wanyonge.

2. Tunandoto ya kurudisha nguvu na mamlaka kwa wananchi dhidi ya serikali. Wananchi watawachagua viongozi wanaowataka kwa amani, utulivu na haki na tutapata viongozi wawajibikaji na wakututumikia.

3.. Tuna ndoto ambapo vyama vikuu vinavyopingana vitashindana kwa hoja sio kwa kutishiana na kutukanana.

4. tuna ndoto ya kutoa uadui kabisa kati ya vyama vya siasa. Kuishi katika siasa safi itakayoheshimu kila mtu.
5. Tuna ndoto ampapo mtumishi wa serikali atakopeshwa bila riba ili ajenge nyumba za kisasa kabisa. Pia kuondoa kodi kandamizi kwa watumishi wa uma.

CHADEMA NI CHAMA CHA HAKI. HATUWEZI KWENDA KUPIGA PICHA ZA KUKUBALIANA WAKATI KILASIKU TUNAKABILWA NA UNYANYASAJI. TUNANDOTO YA KUONGOZA TAIFA KWA HAKI. BILA VISASI.

TUNATAKA KUJA KUWAONESHA CCM UPENDO WA AGAPE. TUNATAKA WAJUE JINSI TUNAVYOWEZA KUUNGANISHA WATANZANIA WA DINI,KABILA NA VYAMA TOFAUTI.

6.
Kama watoa maoni tofauti ndani ya chama mnawafukuza kama mbwa, mkiingia madarakani si mtakuwa zaidi ya Kiduku wa Korea Kaskazini?
Watanzania sio wajinga. Wanaona mnayosema na mnayofanya ni tofauti kabisa! Mtabaki mnapiga kelele kama mbwa koko, lakini Ikulu HAMTAIFIKIA KAMWE!
 
Hakuna sehemu aliyosema yeye ni makamu mwenyekiti zaidi ya utambulisho wake

Mimi kujiita mello sio kuwa ndio founder wa jf ni kumkubali tu huyo founder na mifano mingi ipo
Basi mshauli ajiite molo asijiite Heche na kuleta maada zinazohusu Chadema akome
 
Kumbe nahangaika na mpuuzi Basi nimekupuuza
Ushaanza matusi hapo yatakuja hadi ya nguoni kiuweli mna tatizo la psychology kila mtu mnamkasirikia kwanini

Hoja ni kuwa kujiita heche ni kumkubali kiongozi na isitoshe ujumbe wake umesimama sio wa kudhihaki tatizo liko wapi!
 
Tunaamini katika ndoto ya kweli. Ndoto ya haki, ukweli na usawa.
Sasa Chadema tutaifanya ndoto ya watanzania iwe ya kweli.

Chadema hatupo kutaka kugawana madaraka na CCM ndio tuite maridhiano. Tunaamini katika maridhiano ya kweli.

Walioamini kwenye maridhiano ya kugawana ela, vyeo na madaraka. Na kukubali kutishwa walishaingia tayari kwenye hayo maridhiano.

Waliacha ajenda za watu wakaangalia matumbo yao. Wengi sasa ni wabunge na ata mawaziri. Sasa ndio watesi wetu? Je baada ya kulidhiana na viongozi na kupata vyeo sasa Rushwa imepungua. Barabara zinajengwa? Sasa kuna haki. Wananchi wanamamlaka dhidi ya serikali yao au ni watumwa wa serikali yao. Je kuna uhuru wa maoni. Je mikataba ya serikali iko wazi kwa wananchi wote?

Hayo sio maridhiano bali ni kujisalimisha kwa utawala katili.
Sasa tunandoto.

Tunandoto ya kubwa 10. Bado mda kidogo tu.

1. Tunandoto ya kukomeshwa mauaji yote kwa wazalendo na manabii wote wanaowakosoa viongozi kwaajili ya kesho bora kwa Tanzania. Tunaamini punde hakuna atakaechinjwa kwasababu ya chama chake au kutetea wanyonge.

2. Tunandoto ya kurudisha nguvu na mamlaka kwa wananchi dhidi ya serikali. Wananchi watawachagua viongozi wanaowataka kwa amani, utulivu na haki na tutapata viongozi wawajibikaji na wakututumikia.

3.. Tuna ndoto ambapo vyama vikuu vinavyopingana vitashindana kwa hoja sio kwa kutishiana na kutukanana.

4. tuna ndoto ya kutoa uadui kabisa kati ya vyama vya siasa. Kuishi katika siasa safi itakayoheshimu kila mtu.
5. Tuna ndoto ampapo mtumishi wa serikali atakopeshwa bila riba ili ajenge nyumba za kisasa kabisa. Pia kuondoa kodi kandamizi kwa watumishi wa uma.

CHADEMA NI CHAMA CHA HAKI. HATUWEZI KWENDA KUPIGA PICHA ZA KUKUBALIANA WAKATI KILASIKU TUNAKABILWA NA UNYANYASAJI. TUNANDOTO YA KUONGOZA TAIFA KWA HAKI. BILA VISASI.

TUNATAKA KUJA KUWAONESHA CCM UPENDO WA AGAPE. TUNATAKA WAJUE JINSI TUNAVYOWEZA KUUNGANISHA WATANZANIA WA DINI,KABILA NA VYAMA TOFAUTI.

6.
Unachoongea kwa Sasa kinawezekana kinadharia lakini kivitendo hakiwezekani Abadani.Mimi nawapongeza ACT kwakufikia kiwango hicho walicho fikia kwa siasa za Sasa kwani kwa Sasa siasa za kistaarabu kama hizo mnazo zitaka nyie hakiwezekani hata kidogo humu nchini Aidha mkubaliane na matakwa ya serikali iliyopo madarakani au muwapatishe shida na dhiki viongozi na wanachama chenu kwa muda usiyo julikana.Eleweni kabisa kwenye swala la Madaraka CCM Huwa hawatanii ila nyiee mnafanya jokes baadhi yenu wananuliwa na wananulika Kisha mnawachekea ingekuwa ni Latin America mnajua ni nini kingewapata wasaliti.Kwahiyo kwa Sasa kubalini hata kama nikinafiki Ili muweze ku buy time lasivyo siwadanganyi mtatoweka.Njia mnayo tumia kwa Sasa ya harakati imepitwa na wakati kwanini wakati nyie natumia harakati wenzenu wanatumia bullet wakati nyie mnataka barot.Bila kutumia njia mbadala ambayo ni kucompromise kwa Sasa hamtoboi.Maswala yakutegemea vikwazo vinavyo wekwa na wazungu hata nyie vitawaumiza.Kubalini kaeni chini vuteni mpunga kistaarabu bmbina Watanzania wanawaelewsbtu.
 
Back
Top Bottom