Dreams LLC
JF-Expert Member
- Jun 15, 2013
- 449
- 513
umofia kwenu,
Bara la Africa nadhani kweli bado tupo gizani,huwa sielewi kwanini wengi wa viongozi wetu huwa wanawakumbatia watu wa rangi tofauti na yetu,licha ya sisi kutendewa mambo ya ajabu na hawa watu tukiwa nchi zao.Sijui ni kuwa huwa tuna chagua na kuweka madarakani watu ambao hawana exposure ama ni huwa wanajitoa ufahamu ili mradi wanapata personal benefit.
Note;Nimesafiri na kuishi nchi mbalimbali,ila nina shida na hii nchi ambayo nipo sasa hivi (china).Kwa mtu ambaye hajafika china anaweza dhani hawa watu ni wastaarabu kweli na wanania ya kusaidia Afrika,ila kiukweli hawa viumbe ni wabaguzi wa rangi kweli kweli,zaid rangi ya mtu mweusi ni ya mwisho kwao.Nimekaa china zaidi ya miaka sita(isingekuwa kupata riziki nisingekuwa hapa).Corona virus ilivoanza walikuwa wakilalamika kweli kubaguliwa USA,ila hali ilivyo sasa kwao wao ndo wabaguzi kuzidi.
Afrika hatuja kumbwa na maambukizi ya kutisha ya corona kama mabara mengine,lakini uchina sasa hivi waafrika ndio watu ambao hawawezi kutembea mtaani kwa amani.mashuleni,mitaani, nk ni waafrika pekee ambao wanapimwa corona virus ,kukataliwa huduma kama taxi,pharmacy nk kisa corona ni kitu cha kawaida.
Najiuliza corona si imeanzia china ,leo mtu mweusi anabaguliwa sababu ya corona kweli tena akiwa sehemu corona ilikoanzia?Nimendika haya sababu binafsi masahibu hayyamenikuta.Nimepigiwa simu na police mara mbili (mara zote wamefika ninapoishi na madaktari kunipima corona virus ) mara mbili,jana na leo,ilihali taarifa zangu zote wanazo na sijasafiri nje ya mji niliopo toka january (nilikosa ndege kurudi nyumbani).waafrika pekee ndio wanao pimwa,tuamke tupinge hizi tawala za kishenzi,nashangaa sana Congo kukubali kuwa sehemu ya testing ya corona virus vaccine.Nimeendika kutokana na experience nimepata mahali nilipo (guangzhou).
Mtu unaachiwa bus zima kisa ni mweusi na wanahofia uko na corona ilihali corona imeanza kwao.Viongozi wetu ama mabalozi wetu nadhani wamelala usingizi wa pono,Nikipata cheo tu Afrika,hizi ngozi waandike wameumia. 😬 😬
nitarudi jukwaani hasira ikiisha
Bara la Africa nadhani kweli bado tupo gizani,huwa sielewi kwanini wengi wa viongozi wetu huwa wanawakumbatia watu wa rangi tofauti na yetu,licha ya sisi kutendewa mambo ya ajabu na hawa watu tukiwa nchi zao.Sijui ni kuwa huwa tuna chagua na kuweka madarakani watu ambao hawana exposure ama ni huwa wanajitoa ufahamu ili mradi wanapata personal benefit.
Note;Nimesafiri na kuishi nchi mbalimbali,ila nina shida na hii nchi ambayo nipo sasa hivi (china).Kwa mtu ambaye hajafika china anaweza dhani hawa watu ni wastaarabu kweli na wanania ya kusaidia Afrika,ila kiukweli hawa viumbe ni wabaguzi wa rangi kweli kweli,zaid rangi ya mtu mweusi ni ya mwisho kwao.Nimekaa china zaidi ya miaka sita(isingekuwa kupata riziki nisingekuwa hapa).Corona virus ilivoanza walikuwa wakilalamika kweli kubaguliwa USA,ila hali ilivyo sasa kwao wao ndo wabaguzi kuzidi.
Afrika hatuja kumbwa na maambukizi ya kutisha ya corona kama mabara mengine,lakini uchina sasa hivi waafrika ndio watu ambao hawawezi kutembea mtaani kwa amani.mashuleni,mitaani, nk ni waafrika pekee ambao wanapimwa corona virus ,kukataliwa huduma kama taxi,pharmacy nk kisa corona ni kitu cha kawaida.
Najiuliza corona si imeanzia china ,leo mtu mweusi anabaguliwa sababu ya corona kweli tena akiwa sehemu corona ilikoanzia?Nimendika haya sababu binafsi masahibu hayyamenikuta.Nimepigiwa simu na police mara mbili (mara zote wamefika ninapoishi na madaktari kunipima corona virus ) mara mbili,jana na leo,ilihali taarifa zangu zote wanazo na sijasafiri nje ya mji niliopo toka january (nilikosa ndege kurudi nyumbani).waafrika pekee ndio wanao pimwa,tuamke tupinge hizi tawala za kishenzi,nashangaa sana Congo kukubali kuwa sehemu ya testing ya corona virus vaccine.Nimeendika kutokana na experience nimepata mahali nilipo (guangzhou).
Mtu unaachiwa bus zima kisa ni mweusi na wanahofia uko na corona ilihali corona imeanza kwao.Viongozi wetu ama mabalozi wetu nadhani wamelala usingizi wa pono,Nikipata cheo tu Afrika,hizi ngozi waandike wameumia. 😬 😬
nitarudi jukwaani hasira ikiisha